Sawa BABU nimekupata. Hayo ni mapito tu yatakwisha usijali.Nimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akinimbia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.
Sijaka sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.
Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"
Kwa sasa niko Mabibo safarini.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Niko poa babu 😁Hujambo " kichaa wangu" 😂
Miss you sana chalii anguNiko poa babu 😁
NaamNafikiri zamani tulikua tunaitana MWANANGU sasa tumeweka heshima kidogo tunaitana BABU.
Anahisi binti akimwita babu anamwekea kizingiti....!pole sana mjomba, utazoea tu babu
Ndio maana naambiwa Bob Marley alikuwa mchaga kutoka ukoo wa Malya sema wazungu wakashindwa kuita Malya wakaita Marley.Mwanzoni lengo lilikuwa ni kuitana Bob kwa kuiga slang ya black Americans maana yake ni rafiki (buddy/pal/friend)
Ila wabongo wengi kusema bob kumewashinda mwisho wa siku imekuwa babu
Oyaa vipi bob?
mie naamka saa 9 usiku...upo babu!Dar kila mtu ana hasira, anaamka saa kumi na moja asubuhi anarudi nyumbani saa 4. Anatoka kama mwizi anarudi nyumbani kama kibaka.
Sijui watu wanawezaje kuishi dar
HahahajajUsijali Babu, Arusha sasa watakuita : Niambie kichaa wangu. Maneno ya heshima hayo.
Ndio waniite babu mmDar kila mtu ana hasira, anaamka saa kumi na moja asubuhi anarudi nyumbani saa 4. Anatoka kama mwizi anarudi nyumbani kama kibaka.
Sijui watu wanawezaje kuishi dar
Ukimzidi miaka 30 wewe ni babu, unashangaa Nini babu?Nimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akinimbia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.
Sijaka sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.
Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"
Kwa sasa niko Mabibo safarini.
unafatilia kweli mambo ya machoko mkuuDar mapunga ni wengi,Kuna Moja ilizuka kuitana babi,bobo,na mengine ya kipunga kama hayo.Atleast Kuna Muda waliitana "bro"
saa 4 tunakuwa tumewahi sana broDar kila mtu ana hasira, anaamka saa kumi na moja asubuhi anarudi nyumbani saa 4. Anatoka kama mwizi anarudi nyumbani kama kibaka.
Sijui watu wanawezaje kuishi dar
Mwana FANimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akinimbia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.
Sijaka sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.
Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"
Kwa sasa niko Mabibo safarini.
Mwana FA ashawambia msije mjini ila bado hamsikii bado mnakaza fuvuNimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akinimbia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.
Sijaka sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.
Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"
Kwa sasa niko Mabibo safarini.