Kwanini watu wa Dar wanaitana "Babu"?

Kwanini watu wa Dar wanaitana "Babu"?

Nimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akinimbia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.

Sijaka sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.

Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"

Kwa sasa niko Mabibo safarini.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sawa BABU nimekupata. Hayo ni mapito tu yatakwisha usijali.
 
Mwanzoni lengo lilikuwa ni kuitana Bob kwa kuiga slang ya black Americans maana yake ni rafiki (buddy/pal/friend)

Ila wabongo wengi kusema bob kumewashinda mwisho wa siku imekuwa babu

Oyaa vipi bob?
Ndio maana naambiwa Bob Marley alikuwa mchaga kutoka ukoo wa Malya sema wazungu wakashindwa kuita Malya wakaita Marley.

Jina halisi la Marley ni malya hivyo anaitwa Bob Malya
 
Nimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akinimbia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.

Sijaka sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.

Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"

Kwa sasa niko Mabibo safarini.
Ukimzidi miaka 30 wewe ni babu, unashangaa Nini babu?
 
Nimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akinimbia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.

Sijaka sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.

Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"

Kwa sasa niko Mabibo safarini.
Mwana FA
Nimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akinimbia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.

Sijaka sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.

Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"

Kwa sasa niko Mabibo safarini.
Mwana FA ashawambia msije mjini ila bado hamsikii bado mnakaza fuvu
 
Back
Top Bottom