Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?

Hahah, sema mwamba una kiburi, kejeli na dharau mpaka umeamua kuwabatiza majina eti "watu wa mikoani" aka wapori pori, hii Dar tuliyopo imetengenezwa na haohao watu kutoka mikoani kwa hiyo usipende kujiclassify wakati wote tunatumia resources za aina moja

Kuhusu Salamu jaribu kufata mila na desturi za sehemu husika hata kama kwako unaona ni ushamba na usumbufu ipo siku itakulipa
 
Nilichogundua watu wengi humu JF ni wapori pori
 
We muulize tu yeye ni kabila gani, uone kama siyo wa mkoani ye mwenyewe, ni ushamba tu unamsumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…