Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Umeukimbia Uzi umeamua kuja na ID mpya Ili uone utumbo ulokuwa umeuandikaMbona maneno MACHAFU SANA TENAH
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeukimbia Uzi umeamua kuja na ID mpya Ili uone utumbo ulokuwa umeuandikaMbona maneno MACHAFU SANA TENAH
watu wa mikoani ndio watu gani, mkoa maana yake nini we ni mshamba mwenye ulimukeni wa ajabu. mkoa ni eneo la utawala we unaishi wapi, si kwenye mkoa flani? maana maeneo yote ya nchi hii yamegawanywa kwenye mikoa hakuna eneo lililokaa kipekee ambalo haliko ndani ya mkoa. Acha ubaguzi, acha dharau acha kujisikia tofauti na binadamu wenzio. Sijaona mtu wa hovyo km wewe tena ulivyo na akili ndogo unatuandikia huu upumbavu wako.Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Mkuu matusi ya nini? Shughulika na hoja. Unaweza ukakuta umeishia la saba alafu unataka kupambana na wabobezi.watu wa mikoani ndio watu gani, mkoa maana yake nini we ni mshamba mwenye ulimukeni wa ajabu. mkoa ni eneo la utawala we unaishi wapi, si kwenye mkoa flani? maana maeneo yote ya nchi hii yamegawanywa kwenye mikoa hakuna eneo lililokaa kipekee ambalo haliko ndani ya mkoa. Acha ubaguzi, acha dharau acha kujisikia tofauti na binadamu wenzio. Sijaona mtu wa hovyo km wewe tena ulivyo na akili ndogo unatuandikia huu upumbavu wako.
Wewe unaishi jimboni?kitongojini?watu wa mikoa ndo watu gani?yani kifupi unaujinga mwingi.Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
unaposema "mikoani" unamaanisha nini? manake makao makuu kwa sasa ni Dodoma, ninyi wa DSM na kwengine kote ni wa mikoani.funguka vizuri.Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Kwani Dar siyo mkoani ?Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Tatizo ni kuona kwamba dar es salaam ndo Kila kitu, kwa taarifa yako unahitaji kujifunza sana Kwa hao watu unaowaita wa mikoaniHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Utapata shida ukienda mkoa kama Kilimanjarosipendi kusalimia wala sipendi kusalimia , jama hatujuani tupishane tu bila kelele
Sasa hapa mshamba ni nani kama si wewe? Unasalimiwa wewe huko maporini ulikoenda kisha unakuja hapa kwa hasira kutaka nasi tusisalimie watu....uoni kama unapoteza nguvu?Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
kama hupendi kusalimiwa si unakaa kimya mbona simple tu!?Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Kiburi cha uzimaHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
MapembeloHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?