Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?

Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?

Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
watu wa mikoani ndio watu gani, mkoa maana yake nini we ni mshamba mwenye ulimukeni wa ajabu. mkoa ni eneo la utawala we unaishi wapi, si kwenye mkoa flani? maana maeneo yote ya nchi hii yamegawanywa kwenye mikoa hakuna eneo lililokaa kipekee ambalo haliko ndani ya mkoa. Acha ubaguzi, acha dharau acha kujisikia tofauti na binadamu wenzio. Sijaona mtu wa hovyo km wewe tena ulivyo na akili ndogo unatuandikia huu upumbavu wako.
 
watu wa mikoani ndio watu gani, mkoa maana yake nini we ni mshamba mwenye ulimukeni wa ajabu. mkoa ni eneo la utawala we unaishi wapi, si kwenye mkoa flani? maana maeneo yote ya nchi hii yamegawanywa kwenye mikoa hakuna eneo lililokaa kipekee ambalo haliko ndani ya mkoa. Acha ubaguzi, acha dharau acha kujisikia tofauti na binadamu wenzio. Sijaona mtu wa hovyo km wewe tena ulivyo na akili ndogo unatuandikia huu upumbavu wako.
Mkuu matusi ya nini? Shughulika na hoja. Unaweza ukakuta umeishia la saba alafu unataka kupambana na wabobezi.
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Wewe unaishi jimboni?kitongojini?watu wa mikoa ndo watu gani?yani kifupi unaujinga mwingi.
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
unaposema "mikoani" unamaanisha nini? manake makao makuu kwa sasa ni Dodoma, ninyi wa DSM na kwengine kote ni wa mikoani.funguka vizuri.
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Kwani Dar siyo mkoani ?
 
Kwani salamu na stress zako kuna mahusiano gani, inawezekana unatatizo la kimaadili mahali
Ila kingine acha leo tukufundishe kitu, watu wa mikoani,hakuna lugha ya aina hiyo kwa sababu hapo na wewe ulipo ni katika mkoa, na jirani na mkoa uliopo kuna mkoa , wewe na mikoa ya mbali mkienda sehemu wote mnakuwa watu wa mikoani kama unavyosema, ukisalimia na wewe unakuwa mshamba, ila ukiona salamu ni ushamba, jitafakari sana, jifikirie sana, isijekuwa jua kali.
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Tatizo ni kuona kwamba dar es salaam ndo Kila kitu, kwa taarifa yako unahitaji kujifunza sana Kwa hao watu unaowaita wa mikoani
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Sasa hapa mshamba ni nani kama si wewe? Unasalimiwa wewe huko maporini ulikoenda kisha unakuja hapa kwa hasira kutaka nasi tusisalimie watu....uoni kama unapoteza nguvu?
 
Ukisalimiwa na wewe salimia, binafsi sipendezwi na tabia ya baadhi ya watu ambao hawasalimii. Wanakera mno.
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
kama hupendi kusalimiwa si unakaa kimya mbona simple tu!?
Hatimaye watajua kwamba we hupendi kusalimia wala kusalimiwa, hata kama umechanganyika nao watasalimia wao wenyewe ila we wanakupita tu.
 
Katika maisha yako, popote unapokuwa ishi na watu kutokana na utamaduni wao,itakusaidia kujua mengi na itakurahisishia maisha yako na utaweza kuishi popote,binafsi kila mkoa ninapokwenda huwa napenda kujifunza namna NATIVES wanavyoishi,vijiwe vya draft,Bao huwa ni sehemu ambazo huwa zinanirahisishia kujua mazingira niliyopo.Na namna ya kujua wanaishije.
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Kiburi cha uzima
 
Watu wa mikoa wanamaisha harisi na vtu vyao hufanya harisi au asilia ila watu wa majijini tabia zao nying nizakuigana na za kufake ni ayo tu
 
Mbona uzi wako umeuandika kwa kuanza na salamu " habari wana jf" kwanini umeanza na salamu wakati hupendi salamu
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Mapembelo
 
Back
Top Bottom