Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afrika umedondoka kwa bahati mbaya sana sasa ufanye mpango ukaishi uingereza au marekani, kwa mantiki yako itapendeza sana.Huwa inakera sana mtu kushindwa kufuata mambo yake anasalimia salimia mara kuulizia ulizia hovyo. Mimi napenda ukimya na nafurahi mtu akiwa busy na mambo yake
Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Ofcoz Kama unasalimiwa na wanyia na wafipa bas Wana kuchora tuHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Hata ukiishi mahali lazima ujenge urafiki na watu fulaniSalamu ni security tangu awali, kumjulia mtu hali, kumjua.
Mkuu kama hupendi salamu jamii fulani za Ulaya/ Marekani zingekufaa.
Yani kuna sehemu mtu anaona kukusalimu ni kama kukusumbua.
Ila Kiafrika afrika kama hupendi salamu, unaonekana mchawi.
Kuna mtu alikuwa anaishi jirani kwangu,yaani mtaani ambao nipoBro ukienda kwa swaga za kujitenga tenga na umjini mwingi utashindwa na hutofaidi vingi dance accordingly with the beat,UTAROGWE WEWE!!!
Watu wa kitaa lazima wajue code hizi.Hata ukiishi mahali lazima ujenge urafiki na watu fulani
Salam salam unakaa nao dk kadhaa
Tosha
Ukijifanya kauzu siku yanaweza kukuta wakakuangalia tu
Ova
Hiyo ni issue ya kula kimasihara, salamu za nini hao unao wasalimia ndiyo wanatafuta gear za kukukazia mkeo, sitaki mazoeaKuna mtu alikuwa anaishi jirani kwangu,yaani mtaani ambao nipo
Huku mitaa ya garden
Alikuwa anaishi na mke wake,mke bonge la dude tako tako kiuno nyigu
Sasa jamaa yake alikuwa kauzu hana stori na mtu mtaani
Akipita kafunga viooo,akisafiri mke anamuacha ,ah kuna jamaa anakuja anamrukia sana mke wake
Sasa hapo mfano jamaa angekuwa na stori na vijana mtaani mke wake asingefanya mambo kifal hadharani
Contact na watu muhimu sana
Ova
Toa salam usiishi kwa kujitengaAisee ila ni kweli ukipita karibu n nyumbani kwake anakwambia karibu hata kama ulikuwa huna nia ya kumsalimia inakubidi kingine unakuta limama likubwa linakuamkia shikamoo
Watu wa mkoani kwani wewe ni wa wapi? Kuna mtu nchini hapa asiye ishi mkoani? We ni mshamba sanaHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Hata watu wanaweza kukusanua kama kuna jambo linataka kutokeaWatu wa kitaa lazima wajue code hizi.
Yani Uswazi hata kama wewe si mtu wa kukaa maskani, wewe kibosile ofisi kubwa, lakini ukipita maskani lazima utoe hi.
kasirika na hoja si mwenye hojaWatu wa mkoani kwenye wewe ni wa wapi? Kuna mtu nchini hapa asiye ishi mkoani? We ni mshamba sana
Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?