Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salam kama hii ikutane na mtu wa Dar, jamani watu wa Dar wanajua kuongea haraka..hujajibu yeye keshaongea, kashauliza mara mia kidogo....mimi huwa nasikiliza akimaliza ndio najibu."Habari yako? umeshindaje? za mihangaiko? wanao hawajambo? vipi huko kwenu umewaachaje? unaelekea wapi? vipi huko mjini hawajambo? Naona unazidi kupendeza tu,Sisi tupo bhana,maisha magumu tu"
Punguza stress kijana, una maneno makali sana tena kwa mtu ambaye hamko ana kwa ana.umekuja na I'd nyingine?
Sijaona Tatizo la kusalimiwa kama ni shida...Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Ungeliingia jeshi hata kwa mujibu wa sheria (short term), usingeongea haya kwa sababu salamu ni lazima na siyo ombi wala hiyari.Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Nimetaja wazungu kwa sababu huo utamaduni wa kutosakimiana ndio wakwao.Kwani mzungu ndio Nani sasa Sasa Hadi awe Kama special case?kwanza ushawahi ona huyo mzungu anasalimia kila mtu,anasalimia mtu mwenye kazi nae.
Na we wacha ushamba basi. Maskini mna mbwembwe sanaMkuu, huwezi lazimisha mimi nitafakari au kuchakata vitu au mambo kwa namna yako, wewe amini unacho aminini na mimi naaamini ninacho amini
Unatafutwa kwenye uzi wako, watu wanasubiri mwendelezoTuoneshe kitu Cha maana ulichofanya huko mjini baada ya ku save energy ya kusalikiwa.
Acha ulimbukeni, mjini kwenyewe unaishi Kwa shemejiako
Simu za mvua vip inanyesha hukoooHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Zilongwa mbali, zitendwa mbali.Kumbe we jamaa ni Msukuma😂😂😂
Nilifikiri Waukae Mwenzangu.
😅😅dah Mimi huyu wakuwa na stress?sema ngoja nikuwache kwanza mrembo.spendi kuwagombeza warembo.😘Punguza stress kijana, una maneno makali sana tena kwa mtu ambaye hamko ana kwa ana.
Aisee kabisa Yani na hawana salamu fup na kilamtu asalimiwe pekeyake ukikuta wapo wengi uanze kuwasalimia mmoja mmojaUmenikumbusha mbali sana.
Kuna kipindi nilienda likizo Mwanza, nikakuta kuna vitoto fulani barabarani nikavipita tu. Vitoto vidogo tu, hata siku vi register.
Basi wee, vile vitoto vilimind vibaya sana. Vikawa vinasema Kisukuma kwamba huyu mbona kapita tu kama hajatuona.
Nilishangaa sana, nikaja kugundua siko Dar. Halafu nilishanmgaa kwa sababu nilitegemea wao kwa sababu ni wadogo, kama wana mind kusalimiana sana wangeanza kunisalimia wao.
Nilikuja kugundua kuwa kum recognize mtu pale ni kitu cha muhimu sana.
Ila, unaweza kuvipita vitoto hivi, halafu ukakutana navyo ukaambiwa ni vitoto vya shangazi yako fulani, vinakujua ila wewe huvijui.
Sasa hapo muhimu kusalimiana tu.
Tatizo bora salamu zingekuwa fupi zile kama za Kiswahili "Za saa hizi?" unajibiwa "Salama" unapita.
Msukuma salamu anakusimamisha, ukimaliza kumtajia ukoo wako, anakuuliza na mkeo hajambo, na watoto? Na hapo hapo anaunga stories, kama una haraka unachelewa.
Hahaa,Aisee kabisa Yani na hawana salamu fup na kilamtu asalimiwe pekeyake ukikuta wapo wengi uanze kuwasalimia mmoja mmoja
Kabisa ila inabidi kama hujazoea ujizoeshe mfano tumezoea kusalimia za sahiz then unaamkia ukimwambia mtu mzima za sahiz hakuelew anataka shikamoo 😀 alafu wana Ile mnapiga story wee anakaribia kuondoka ndo anasalimia 😂😂😂Hahaa,
Wakihamia mijini wataacha tu.
Kuna Uncle mmoja alikuwa hivyo hivyo, ti na yeye baada ya kukaa mjini sana akawa analalamika watu wanaosalimia sana.
Unajua kuna spidi fulani ya maisha ikiongezeka mambo kama hayo yanaondoka yenyewe.
umesema upo shamba, bado unalalamikia code za kishamba.. ulitaka code zipi wakati upo shamba??? next time uje na watu wako wa mjini uwamwage huko halafu waambie wasikusalimie, simple.Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana,
😂😂umesema upo shamba, bado unalalamikia code za kisahamba.. ulitaka code zipi wakati upo shamba??? next time uje na watu wako wa mjini uwamwage huko halafu waambie wasikusalimie, simple.