Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?

Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?

Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Hizo zako ni tabia za nchi nyingi ulaya huko, watu hawana habar Kila mtu Yuko busy na yake mnapishana kama mangombe
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Wamefundishwa ukimuona mkubwa wako salimia.Kwahiyo wamekuwa na hiyo.
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Ndo raha ya kijijini. No stress.
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Usiposalimiwa utasema hawasalimii
 
Umeenda kununua bangi afu wenyewe wanakusalimiasalimia [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hii dunia huwezi kumfurahisha kila mja!Kuna mtu anakusalimia unadhani Ni heshima kumbe nia na madhumuni Ni kukutapeli au kukuibia usiamini Sana kwenye hizo masuala ya salamu salamu Ni miavuli ya maovu sometimes...Nitasalimia kwa kiasi pale inapobidi Ila siwezi kuwa mtumwa wa salamu,maana binafsi usiponisalimia najisikia vizuri tu
Uko ka mimi.....yaan mi usiponisalimia kwanza ndo natokea kukupenda!

Sipendi salamu asee...yaan unakuwa kama mtumwa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
"Habari yako? umeshindaje? za mihangaiko? wanao hawajambo? vipi huko kwenu umewaachaje? unaelekea wapi? vipi huko mjini hawajambo? Naona unazidi kupendeza tu,Sisi tupo bhana,maisha magumu tu"
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji38] yote hayo nianze kuyasikiliza kweli[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Jana nikiwa naenda kanisani mdogo mdogo
Kwenye rough road ya kupandishia kanisani, nikawa nimesogea pembeni kupisha gari lipite, Alikuwa ni katibu wa kanisa.Alifungua mlango wa gari lake kali na kunisalimia
Alikuwa naye anapandisha kuingia kanisani.

Ni mtu na hela zake nyingi tu,ila alionyesha heshima kwa kunisalimia mm binti mdogo tu.

Heshima kutu cha bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
Safiii jirani Na mimi NAKUSALIMIA..
 
Jamii za vijijini zinaamini katika ujamaa , communalism. Kwahiyo ni kawaida sana hata kukukaribisha ule japo hawakujui. Wanaamini binadamu wote ni ndugu na ni kitu kimoja kama familia moja. Ila mijini Ubepari umetutawala. Kijijini ukienda Halafu Usimtembelee mtu anasikitika sana. Na unapoondoka wanapenda uage na watakupatia chochote kitu. Tofauti n mjini mtu asipokuja unafurahi na unaona angekupotezea muda tu.
Watu wa kijijini ni wachawi sana.. hivyo vitu vyao ukivila utakoma

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom