Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Kwa comment hii,kumbe wewe hamnazoKwa hivyo ukiwa shamba ukaona watu wanakunya vichakani na wewe ukanye vichakani, siyo kuwajengea vyoo? Is it? Hapo ndipo akili yako ilipofikia mwisho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa comment hii,kumbe wewe hamnazoKwa hivyo ukiwa shamba ukaona watu wanakunya vichakani na wewe ukanye vichakani, siyo kuwajengea vyoo? Is it? Hapo ndipo akili yako ilipofikia mwisho?
Mbona maneno MACHAFU SANA TENAHwee kum unanipiga Mimi mkwara?ushamaliza kutoka damu ya hedhi kwanza?
umekuja na I'd nyingine?Mbona maneno MACHAFU SANA TENAH
Hizo zako ni tabia za nchi nyingi ulaya huko, watu hawana habar Kila mtu Yuko busy na yake mnapishana kama mangombeHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Wamefundishwa ukimuona mkubwa wako salimia.Kwahiyo wamekuwa na hiyo.Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Ndo raha ya kijijini. No stress.Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Usiposalimiwa utasema hawasalimiiHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Ndicho unachokiwaza?Haukuliwa kimasihara?
Acha mifano ya kitoto, hata hilo la kusalimia kikawaida unasema hello kwa kila mtu? Mpaka yatokee mazingira ya kusalimia bwana!Madam, kuna recovery services, breakdown services utasalimia watu wote millioni 65 wa Tanzania for fear of unknown?
Uko ka mimi.....yaan mi usiponisalimia kwanza ndo natokea kukupenda!Hii dunia huwezi kumfurahisha kila mja!Kuna mtu anakusalimia unadhani Ni heshima kumbe nia na madhumuni Ni kukutapeli au kukuibia usiamini Sana kwenye hizo masuala ya salamu salamu Ni miavuli ya maovu sometimes...Nitasalimia kwa kiasi pale inapobidi Ila siwezi kuwa mtumwa wa salamu,maana binafsi usiponisalimia najisikia vizuri tu
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji38] yote hayo nianze kuyasikiliza kweli[emoji848]"Habari yako? umeshindaje? za mihangaiko? wanao hawajambo? vipi huko kwenu umewaachaje? unaelekea wapi? vipi huko mjini hawajambo? Naona unazidi kupendeza tu,Sisi tupo bhana,maisha magumu tu"
Makopa kopa mengi kwakoUko ka mimi.....yaan mi usiponisalimia kwanza ndo natokea kukupenda!
Sipendi salamu asee...yaan unakuwa kama mtumwa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Safiii jirani Na mimi NAKUSALIMIA..Jana nikiwa naenda kanisani mdogo mdogo
Kwenye rough road ya kupandishia kanisani, nikawa nimesogea pembeni kupisha gari lipite, Alikuwa ni katibu wa kanisa.Alifungua mlango wa gari lake kali na kunisalimia
Alikuwa naye anapandisha kuingia kanisani.
Ni mtu na hela zake nyingi tu,ila alionyesha heshima kwa kunisalimia mm binti mdogo tu.
Heshima kutu cha bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima mzigo ulitoka, si kwa kusimulia kule
Watu wa kijijini ni wachawi sana.. hivyo vitu vyao ukivila utakomaJamii za vijijini zinaamini katika ujamaa , communalism. Kwahiyo ni kawaida sana hata kukukaribisha ule japo hawakujui. Wanaamini binadamu wote ni ndugu na ni kitu kimoja kama familia moja. Ila mijini Ubepari umetutawala. Kijijini ukienda Halafu Usimtembelee mtu anasikitika sana. Na unapoondoka wanapenda uage na watakupatia chochote kitu. Tofauti n mjini mtu asipokuja unafurahi na unaona angekupotezea muda tu.