Kwanini watu wa mkoa wa Kagera wanaongoza kwa kipato cha chini licha ya Wahaya kutamba sana?

Ogopa sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mshaanza sifa hapahapa sasa
 
Acha takwimu zibaki hivyo hivyo....

Siku hiz kagera imekumbukwa sana...kuliko kuitwa matajiri bora uitwe maskini...

Maana sisi Tanzania kama nchi bado sana hakuna unafuu wowote...

Siku hiz bukoba nayo inajengwa dual carriageway? Bukoba hatimaye stendi inajengwa? Bukoba kuna jengwa university? Bukoba bandari inapanuliwa...uwanja wa mpira uko vzr, Airport inawekewa Taa, kuna miradi ya maji nk...

Bukoba imekumbukwa sana kuliko hata kipindi cha magu...

Hapa wanajenga barabara ya njia nne Bukoba...


View: https://youtu.be/5wy3ve2dGUk?si=CJKW3P7R8dfC2yen
 
Acha takwimu zibaki hivyo hivyo....

Siku hiz kagera imekumbukwa sana...kuliko kuitwa matajiri bora uitwe maskini...

Maana sisi Tanzania kama nchi bado sana hakuna unafuu wowote...

Siku hiz bukoba nayo inajengwa dual carriageway? Bukoba hatimaye stendi inajengwa? Bukoba kuna jengwa university? Bukoba bandari inapanuliwa...uwanja wa mpira uko vzr, Airport inawekewa Taa, kuna miradi ya maji nk...

Bukoba imekumbukwa sana kuliko hata kipindi cha magu...

Hapa wanajenga barabara ya njia nne Bukoba...


View: https://youtu.be/5wy3ve2dGUk?si=CJKW3P7R8dfC2yen
 
If hakuna viwanda wala uzalishaji wala kilimo.
Hao watu hela wanatoa wapi?
Au ulidhani vitu hivyo vinatengana?
Msipobadilika maendelea kukamata mkia, Si ndio nyie mliambiwa na Chalamila mnafungua maduka saa 5 asubuhi?
Kagera ipo top five nchini kwa kilimo mkuu

Kagera inaongoza kuzalisha ndizi, kahawa, vanilla, maharagwe etc
 
Shemeji zangu nyie mnajikweza mno ila maisha yenu ya kawaida mno.

Binafsi mimi nawachukia kwa mambo yenu madogo madogo ya kifalaguzi:misifa,dada zenu kugawa mali hovyo,ukabila yaani ukienda uhayani kama sio muhaya utasengenywa sana jamaa yanaongea kilugha tu hawajali kama wapo na mtu wa jamii/kabila jingine.Mungu aendelee kuwapa mateso hadi akili iwarudi,mnapitwa kipato na mtu wa Singida na Dodoma mikoa yenye ukame.[emoji1]
 
Hivi vitu ni vya kawaida sana mzee wangu.....
Kama ndio vinawekwa sasa kweli Bukoba palikuwa pa ajabu.
Means Bukoba ipo miaka 15 nyuma ukilinganisha na mikoa Mingine.
 
Hivi vitu ni vya kawaida sana mzee wangu.....
Kama ndio vinawekwa sasa kweli Bukoba palikuwa pa ajabu.
Means Bukoba ipo miaka 15 nyuma ukilinganisha na mikoa Mingine.
Taja mkoa wenye miradi na maendeleo yote hayo kwa pamoja...ukitoa Dar na Dodoma

Tuungalie mkoa wa Iringa ambao unatajwa wa pili kwa kipato nchini...je una uwanja wa ndege kama wa bukoba? Tazama vijiji vya kilolo je vina barabara za lami na maji kama ilivyo lets say Bukoba vijijini? Je iringa kuwa uwanja wa mpira wa kisasa kama kaitaba? Unaoweza host hata mechi za usiku?
Vip iringa ukiachana na wilaya zinazopiwa na barabara kuu...wilaya za huko zina lami?
Ukiachana na barabara moja ya hapo mjini kati iringa ni wap kuna barabara nzr dual iringa nzima...

Hebu yateje maendeleo yaliyoko Iringa na Kagera hakuna....
 
Iringa ipo mbele ya Kagera miaka 20 mbele.
Let alone Iringa Manispaa, bukoba haifiki hata level za Mafinga.
Kama umefikia level za kufananisha Iringa na Kagera nadhani nikuache mkuu.
 
Kigezo ilichotumika ni per Capita na price index.

Price index itaonesha Kagera walinunua sh 23,000 Kwa mwezi na dsm 230,000 Kwa mwezi. Kgr walikata mgomba, walijichotea maharage, wakanywa kayoga, miti wanapigiana migombani, maziwa wanakamua na nyanya pori.

Kwa dar mahitaji niliyotaja yote wanalipia.


Kagera wanafuraha kuliko dsm.

Wana mijengo mizuri

Shule zao hawarundikani except bmlo

Madem kukupa ni uhakika, wakiwa na ham ya kuliwa coz wanashiba na hawana stress.
Hewa safi
Usafiri hawabanani
Hakuna ushirikina
Hakuna vibaka, Kuna majambazi wenye vyuma vya kupambana jw
Umeme na maji yote, uhakika
Imani ya kikatoliki, kkkt na kiisilam inapendeza
Majamaa yamegonga shule sio mchezo
Makampuni makubwa na mengi yanamilikiwa ama na mhaya au mchaga


Misifaaaaaa kama yote.

Nitarudi bukoba, Charlotte bar & Lodge ndo naloweshaga magodoro
 
Bukoba ipi acha kujifariji nynyi ni maskini
 
Ona bukoba mjini tena stand hata kubadili mabati kazi
 

Attachments

  • Screenshot_20231013-222310_Chrome.jpg
    329 KB · Views: 8
Ona bukoba mjini tena stand hata kubadili mabati kazi
Picha za 2010 hiz...hata kama una hoja jaribu kuleta current evidence...
Hio stendi ilihamishwa na hakuna stendi tena mahali hapo....magari yamehamishiwa kwa muda kibeta karibu 5km kutoka Bukoba ili kupisha ujenzi wa stendi hiyo ambayo haitatumika kwa mabus tena bali kwa daladala itakapokamilika...
Eneo hilo pia kuna msikiti mkubwa na barabara hizo zimskuwa njia nne ujenzi unaendelea

Serikali iko inajenga upya stendi mahali hapo
 
Makabila gan hayo yako mbali sana katika elimu kuliko wahaya nchi hii?
Hebu yataje....
Tatizo mnakuwa na inferiority complex....mnataka wahaya waanze kujidharau kisa tu mkoa wa chimbuko lao una per capita ndogo?

Mkoa kutajwa kuwa na per capita basi kushambulia wahaya...kwan msomi wa kihaya hapaswi kufanya maendeleo sehemu yoyote hadi afanye Bukoba hata kama hayampi faida?

Wahaya watabaki kuwa wasomi na bado wanazidi kutoboa tazama hata idadi yao vyuoni...

Kuhusu kagera kukiwepo chochote cha kuwafanya wawekeze watawekeza tu.....Juzi tu hapa manispaa ya bukoba imetangaza viwanja zaido ya 5000 na vyote vimenunuliwa ndani ya mwezi mmoja...around chuo kikuu kipya kinachojengwa Bukoba
 
Wanakula sana wadudu (senene), unajuwa unapokula hawa panzi nawe unakuwa na akili za kipanzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…