Kwanini watu wa mkoa wa Kagera wanaongoza kwa kipato cha chini licha ya Wahaya kutamba sana?

Kwanini watu wa mkoa wa Kagera wanaongoza kwa kipato cha chini licha ya Wahaya kutamba sana?

Takwimu zinaonesha kwamba, Kagera ni kati ya mikoa ambayo watu wake wana kipato kidogo zaidi. Pamoja na yote tunayofahamu kuhusu wenyeji wa mkoa huo (Si unajua tena: wasomi, wenye pesa, watu wa kwenda nje ya nchi na mengine). Mkoa huo umezidi kudorora kwenye kila nyanja ya maendeleo.

Toa Maoni: unahisi wahaya wanafeli wapi licha ya wao kuwa miongoni mwa makabila matano makubwa Tanzania na kutamba kwenye Majiji kama Dar na Mwanza kwa Elimu, Pesa pia kuongoza kwa kuvuka Border kwenye Ughaibuni, lakini Kagera inapumulia Oxygen kimaendeleo?

Mhaya wa mjini DR HAYA LAND jibuni hoja hizi pamoja na watu wengine.
Wanaotamba hawako Bukoba.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Wahaya wanaishi Maisha yenye maana na uhalisia wao wako Mbele ya Muda uwekezaji wa mashule wahaya wamewekeza Sana fatilia shule zinazofanya Vizuri Tanzania lazima utazikuta shule Kama Kaizirege na Kemebos ambako nimesoma Mimi Ada kipindi hicho ilikuwa 2.5Mil 2012 .


Shule wamejengh Sana wahaya Tena shule Bora Sana zenye viwango vya chuo kikuu.
Nani kakuuliza umesoma wapi na ada uliyokua unalipa?
Misifa ya kijinga hii
 
Kipato Cha Mtu mmoja mmoja kagera wapo vizuri ila Swala la uchumi huwa wanatazama zaidi revenue mapato yanayokusanywa Sasa bukoba Hakuna viwanda wala product Ambazo zinazalishwa kwa wingi compare to other regions
Sasa inakuwaje Pwani uwe mkoa wa 23 ilhali una viwanda kama vyote vile?
 
Takwimu zinaonesha kwamba, Kagera ni kati ya mikoa ambayo watu wake wana kipato kidogo zaidi. Pamoja na yote tunayofahamu kuhusu wenyeji wa mkoa huo (Si unajua tena: wasomi, wenye pesa, watu wa kwenda nje ya nchi na mengine). Mkoa huo umezidi kudorora kwenye kila nyanja ya maendeleo.

Toa Maoni: unahisi wahaya wanafeli wapi licha ya wao kuwa miongoni mwa makabila matano makubwa Tanzania na kutamba kwenye Majiji kama Dar na Mwanza kwa Elimu, Pesa pia kuongoza kwa kuvuka Border kwenye Ughaibuni, lakini Kagera inapumulia Oxygen kimaendeleo?

Mhaya wa mjini DR HAYA LAND jibuni hoja hizi pamoja na watu wengine.
 
Nani kakuuliza umesoma wapi na ada uliyokua unalipa?
Misifa ya kijinga hii
Huo ni ufafanuzi ili kuondoa utata Mkuu Ada imepanda Muda huu ni 4Mil

Kuna mtu kasema wahaya wawekeze katika shule nikamwambia bukoba Kuna shule nyingi Sana nzuri Ambazo sio rahisi kuziona mikoa mingine means wahaya wamewekeza Sana katika kujenga shule zenye ubora wa hali ya Juu.
 
Takwimu zinaonesha kwamba, Kagera ni kati ya mikoa ambayo watu wake wana kipato kidogo zaidi. Pamoja na yote tunayofahamu kuhusu wenyeji wa mkoa huo (Si unajua tena: wasomi, wenye pesa, watu wa kwenda nje ya nchi na mengine). Mkoa huo umezidi kudorora kwenye kila nyanja ya maendeleo.

Toa Maoni: unahisi wahaya wanafeli wapi licha ya wao kuwa miongoni mwa makabila matano makubwa Tanzania na kutamba kwenye Majiji kama Dar na Mwanza kwa Elimu, Pesa pia kuongoza kwa kuvuka Border kwenye Ughaibuni, lakini Kagera inapumulia Oxygen kimaendeleo?

Mhaya wa mjini DR HAYA LAND jibuni hoja hizi pamoja na watu wengine.
Ohoooooo umeharibu tayari, ngoj yule jamaa aje na mipichapicha ya vijijini kwao huko
 
Kipato Cha Mtu mmoja mmoja kagera wapo vizuri ila Swala la uchumi huwa wanatazama zaidi revenue mapato yanayokusanywa Sasa bukoba Hakuna viwanda wala product Ambazo zinazalishwa kwa wingi compare to other regions

Yale makusanyo kutoka katika Biashara (revenue ) ndo huwa wanayatumia Kama kigezo kuwa bukoba au kagera ni mkoa masikini .

Personally ukienda bukoba hasa bukoba mjini, karagwe, bukoba vijijini n.k watu Kama watu hawana Maisha Magumu wanaishi vizuri wananyumba za bati mashamba ya ndizi ya kutosha mifungo n.k

Sasa ukija Kama dsm ukatafuta Mtu mmoja mmoja utashangaa kuona a lot of people wana shida Sana na hali ngumu za Maisha kulinganisha na watu wa bukoba kagera

Lakini dsm ina viwanda , bandari , Biashara nyingi n.k Ambazo zinaingiza mapato Makubwa serikalini. That is way Wanasema dsm ipo vzr kiuchumi .

Ila tukiangalia quality ya Maisha ya Mtu mmoja mmoja hakuna mkoa watu wanaishi vizuri Kama Bukoba kagera fatilia vizuri.
Wacha urongo weweeee, wanaishi vizuri kwa kitu gani
 
Upo sahihi Sana ukipima individual watu wa bukoba wanaishi vizuri Sana chakula wanacho mvua zipo samaki wapo so watu wa kule sio watu wa Biashara kubwa kubwa Wala viwanda n.k lakini kumkuta mtu ana Maisha Magumu labda apende yeye.


Sasa hii ni tofauti na mikoa mingine Kama DSM one mistake one goal


Niseme bukoba hata Mtu mjinga anaishi vizuri analala Sehemu Safi na Milo 3-4 anapata hii huwezi kuipata Sehemu Kama DSM Kama hauna Akili lazima uzekee uswahilini .
Siku hizi instanbul umebadili ID
 
U naandika vitu vya kawaida mno.....
Havikutakiwa utumie kama ndio reference ya maendeleo.
Kama unatumia lami kama ndio kipimo cha maendeleo, basi kazi ipo.
Nadhani nikuache na upumbavu wa wako....

Lakin kaa ukijua...Tz kama nchi hakuna maendeleo yoyote mpaka kufikia hatua ya kuchekana..
 
Wahaya tatizo lao ujuaji mwingi halafu wengi ni wabinafsi, madhulumati sana!

Ukiwekeza na Mhaya jua umepigwa!

Strategic investors wanawaogopa sana!
Wao wacha waendelee na Katerero yao basi!

Guest Houses zao nyingi vitandani magodoro yamefunikwa maturubari utadhani vitanda vya kujifungulia wazazi!

Hivi karibuni Mhe.Mbowe,Mwemyekiti wa CHADEMA kwenye ziara yake Bukoba aliwambia yeye amesoma Ihungo na anawafahamu vizuri kwani wamebarikiwa kuwa na MAJI MENGI yanayofaa kwa kilimo!

Wahaya acheni kulialia kwani mna MAJI MENGI yafaayo kwa kilimo.
 
Takwimu zinaonesha kwamba, Kagera ni kati ya mikoa ambayo watu wake wana kipato kidogo zaidi. Pamoja na yote tunayofahamu kuhusu wenyeji wa mkoa huo (Si unajua tena: wasomi, wenye pesa, watu wa kwenda nje ya nchi na mengine). Mkoa huo umezidi kudorora kwenye kila nyanja ya maendeleo.

Toa Maoni: unahisi wahaya wanafeli wapi licha ya wao kuwa miongoni mwa makabila matano makubwa Tanzania na kutamba kwenye Majiji kama Dar na Mwanza kwa Elimu, Pesa pia kuongoza kwa kuvuka Border kwenye Ughaibuni, lakini Kagera inapumulia Oxygen kimaendeleo?

Mhaya wa mjini DR HAYA LAND jibuni hoja hizi pamoja na watu wengine.
Si kweli. Nadhani ni kwa sababu wanapoteza fedha nyingi kwenye majisifu na kujenga mahekalu vijijini yakaishia kuozea kule mbali na karoho kabaya. Rwabutomize. Are yu zea?
 
Takwimu zinaonesha kwamba, Kagera ni kati ya mikoa ambayo watu wake wana kipato kidogo zaidi. Pamoja na yote tunayofahamu kuhusu wenyeji wa mkoa huo (Si unajua tena: wasomi, wenye pesa, watu wa kwenda nje ya nchi na mengine). Mkoa huo umezidi kudorora kwenye kila nyanja ya maendeleo.

Toa Maoni: unahisi wahaya wanafeli wapi licha ya wao kuwa miongoni mwa makabila matano makubwa Tanzania na kutamba kwenye Majiji kama Dar na Mwanza kwa Elimu, Pesa pia kuongoza kwa kuvuka Border kwenye Ughaibuni, lakini Kagera inapumulia Oxygen kimaendeleo?

Mhaya wa mjini DR HAYA LAND jibuni hoja hizi pamoja na watu wengine.
Wahaya wengi hata wasomi ni watu ambao sio practical ni watu wa maneno mengi na majigambo zaidi kuliko uhalisia.
 
Takwimu zinaonesha kwamba, Kagera ni kati ya mikoa ambayo watu wake wana kipato kidogo zaidi. Pamoja na yote tunayofahamu kuhusu wenyeji wa mkoa huo (Si unajua tena: wasomi, wenye pesa, watu wa kwenda nje ya nchi na mengine). Mkoa huo umezidi kudorora kwenye kila nyanja ya maendeleo.

Toa Maoni: unahisi wahaya wanafeli wapi licha ya wao kuwa miongoni mwa makabila matano makubwa Tanzania na kutamba kwenye Majiji kama Dar na Mwanza kwa Elimu, Pesa pia kuongoza kwa kuvuka Border kwenye Ughaibuni, lakini Kagera inapumulia Oxygen kimaendeleo?

Mhaya wa mjini DR HAYA LAND jibuni hoja hizi pamoja na watu wengine.
Kwa njia, hiyo hiyo, tutoke nje ya Tanzania, tujilinganishe na South Afrika, Nigeria, Kenya, Morroco, wote Hao wanatuzidi kipato kwa wastani wa kila MTU!
Yes wananchi wetu wana kipato kidogo,ukilinganisha na wenzao kwenye nchi nyingine, richa ya, kuwa Diamond, bakhresa wapo bongo!
 
Makabila gan hayo yako mbali sana katika elimu kuliko wahaya nchi hii?
Hebu yataje....
Tatizo mnakuwa na inferiority complex....mnataka wahaya waanze kujidharau kisa tu mkoa wa chimbuko lao una per capita ndogo?

Mkoa kutajwa kuwa na per capita basi kushambulia wahaya...kwan msomi wa kihaya hapaswi kufanya maendeleo sehemu yoyote hadi afanye Bukoba hata kama hayampi faida?

Wahaya watabaki kuwa wasomi na bado wanazidi kutoboa tazama hata idadi yao vyuoni...

Kuhusu kagera kukiwepo chochote cha kuwafanya wawekeze watawekeza tu.....Juzi tu hapa manispaa ya bukoba imetangaza viwanja zaido ya 5000 na vyote vimenunuliwa ndani ya mwezi mmoja...around chuo kikuu kipya kinachojengwa Bukoba
Hamuwazidii wachaga ktk elimuu nikwambie tuu hivo japo wao hawaji brag km ninyii...... Nyie mnaonekana wasomi kwa kujisifia

Afu tofautisha msomi na mbobezii...... Ukielewa apo utajua wahaya ni wasomi au wabobezii

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani nikuache na upumbavu wa wako....

Lakin kaa ukijua...Tz kama nchi hakuna maendeleo yoyote mpaka kufikia hatua ya kuchekana..
Nadhani ni mimi nilitangulia kukuaga, maana
Hali ya Bukoba inachekesha......
Na ulipoifananisha Bukoba na Iringa ndipo nilipokuona wewe ni mjinga.
Na ujinga kama wako ndio unafanya Kagera yenu iendelee kutopea kwenye ufukara wa kutisha.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuita uwanja wa kaitaba maendeleo, sijui bandari kwenda Mwanza.
"Airpott inaifanya kagera iwe connected to the world".
Kwa airport gani?
Ushamba unawasumbua, ushamba utawamaliza.
 
Kipato Cha Mtu mmoja mmoja kagera wapo vizuri ila Swala la uchumi huwa wanatazama zaidi revenue mapato yanayokusanywa Sasa bukoba Hakuna viwanda wala product Ambazo zinazalishwa kwa wingi compare to other regions

Yale makusanyo kutoka katika Biashara (revenue ) ndo huwa wanayatumia Kama kigezo kuwa bukoba au kagera ni mkoa masikini .

Personally ukienda bukoba hasa bukoba mjini, karagwe, bukoba vijijini n.k watu Kama watu hawana Maisha Magumu wanaishi vizuri wananyumba za bati mashamba ya ndizi ya kutosha mifungo n.k

Sasa ukija Kama dsm ukatafuta Mtu mmoja mmoja utashangaa kuona a lot of people wana shida Sana na hali ngumu za Maisha kulinganisha na watu wa bukoba kagera

Lakini dsm ina viwanda , bandari , Biashara nyingi n.k Ambazo zinaingiza mapato Makubwa serikalini. That is way Wanasema dsm ipo vzr kiuchumi .

Ila tukiangalia quality ya Maisha ya Mtu mmoja mmoja hakuna mkoa watu wanaishi vizuri Kama Bukoba kagera fatilia vizuri.
Tumia theory hiyo kulinganisha Kagera na Iringa.
 
Nadhani ni mimi nilitangulia kukuaga, maana
Hali ya Bukoba inachekesha......
Na ulipoifananisha Bukoba na Iringa ndipo nilipokuona wewe ni mjinga.
Na ujinga kama wako ndio unafanya Kagera yenu iendelee kutopea kwenye ufukara wa kutisha.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuita uwanja wa kaitaba maendeleo, sijui bandari kwenda Mwanza.
"Airpott inaifanya kagera iwe connected to the world".
Kwa airport gani?
Ushamba unawasumbua, ushamba utawamaliza.
Mwambie kwanza kilimo cha iringa na kagera ni tofaut kabisaa.......
Ata kipind kahawa ikiwa na Bei wao walikuw wanauza Uganda asa Tzs equivalent to UGs bdo kuendelea kwao kugumu....

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Takwimu zinaonesha kwamba, Kagera ni kati ya mikoa ambayo watu wake wana kipato kidogo zaidi. Pamoja na yote tunayofahamu kuhusu wenyeji wa mkoa huo (Si unajua tena: wasomi, wenye pesa, watu wa kwenda nje ya nchi na mengine). Mkoa huo umezidi kudorora kwenye kila nyanja ya maendeleo.

Toa Maoni: unahisi wahaya wanafeli wapi licha ya wao kuwa miongoni mwa makabila matano makubwa Tanzania na kutamba kwenye Majiji kama Dar na Mwanza kwa Elimu, Pesa pia kuongoza kwa kuvuka Border kwenye Ughaibuni, lakini Kagera inapumulia Oxygen kimaendeleo?

Mhaya wa mjini DR HAYA LAND jibuni hoja hizi pamoja na watu wengine.

Itakuwa wengi wao wanalipa kodi nje ya mkoa huo.
 
Back
Top Bottom