Kwanini watu wa vijijini na masikini sana huwa na sura na maumbile mabaya tofauti na wa mjini au matajiri?

Kwanini watu wa vijijini na masikini sana huwa na sura na maumbile mabaya tofauti na wa mjini au matajiri?

Kwann watu wa mjini ni goigoi(wagonjwa), kulinganisha watu wa vijijin .
 
Hawana sura mbovu ila hawanaga Nuru ...Unajua Nuru inachangiwa na nn?

Kuna vitu kama lishe ndo maana ngozi Zina komaa na maswala ya kutumia hata showergel na mafuta mazuri hakuna ndo maana wanapoteza urembo wao.

Kuna madogo huko wanakosa matunzo ila wakija town hapa wanapendeza kwani wako na uzuri wa halisi..Mji ujuaji ni mwingi hata pisi mbovu itajipiga make up .

Angalia hyo mikoa lishe zao zilivyoduni ial wakija town ndo hao wengi ni warembo
View attachment 2519727
Si unaona vijijini moshi utadhani city centre halaf madem wakichaga pisi kali.
 
Ushindie michembe na uji hauna sukari ufanane na mtu nakula soseji ,nayai na maziwa,??mwili haunengwi na tofali.

Pili mkiambiwa ntafute hela mnakasirika ikiwa masikini utaoa demu mbaya utazaa watoto wabaya
Mkuu huku kijijini mbona maziwa na mayai yapo mengi tu. Tena vyote vya kienyeji.
Sema tu kazi nzito na kushinda juani ndo vinatukomaza tunakosa hata muda wa kujipodoa.
 
Swali ulilouliza katika mada, limefiti kwa umri huo.
Ipo hivi, mazingira ya mjini ni tofauti na kijijini. Ndio mana watu wa mjini mvua ikinyesha wanachukia ila kijijini wanaifurahia. Ukimaliza kidatu cha IV utajua sababu zingine.
 
Iko wazi sana


 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Ningekuona walahu una akili za kuvukia barabara kama ungeweka Picha za Diamond na Mmakonde before and after ingemake sense kuliko huu ufala ulioandika hapa,
 
Sasa hao wa vijijini huko tanga wakienda mjini watakuwa zaidi ya unavyowaona.
Mjini raha wewe asikwambie mtu.

Kuna watu wa kabila fulani walioko mkoani kwao ni weusi tii, lakini walioko mjini hata wakikwambi ni wa kabila hilo utakataa. Wako kama wasomali.
Na wanaolewa na kuoa kwa sababu ya kuishi maisha halisi tofauti na wazugaji wa mjini.
 
Ata wewe ungeishi huko ungefanana na nyani hao unawasema .sema bahati yako tu kuishi mjini
 
ili suala ata mim uwa silielewagi sijui limekaaje kaaje, kijijini hakuna pisi kali kabisa, wanaume sasa sura za kimafia kinoma ndita tupu,

nikiendaga kanisani unakuta kanisa zima kuna wenye mvuto kisura na kwashep wapo wawili watatu tu, ila mjini ukienda kanisani dah hutoacha kuhudhuria ibada pisi kali tupu, ukienda bar pis kali,

ILI NAHISI LIPO KIMAZINGIRA SANA, MIILI INADETECT WAPI ULIPO ILI UKUPE MWONEKANO WA KUYAMUDU MAZINGIRA
 
Mtoa mada yupo sahihi hata Mimi naliona hili niliwai kuwa mkoa mmoja kwenye pembeni ya mji pisi kali za pale ni ila zilizokuja ile sehemu kifanya Biashara ukiingia kijijini videmu aisee Kama anavyosema mtoa mada sio kwamba hawana mapoda ila moaka physical structure watu wanaokurupuka bila kufikiri wamejaa kwenye uzi
 
Mtoa mada yupo sahihi hata Mimi naliona hili niliwai kuwa mkoa mmoja kwenye pembeni ya mji pisi kali za pale ni ila zilizokuja ile sehemu kifanya Biashara ukiingia kijijini videmu aisee Kama anavyosema mtoa mada sio kwamba hawana mapoda ila moaka physical structure watu wanaokurupuka bila kufikiri wamejaa kwenye uzi
Kwa uandishi wako na wewe unajiitwa wa mjini?
 
acha kumkosoa mungu.kilichoumbwa na mungu mwanadamu hapaswi kukosoa. laana itakunyemelea mbwa ww
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wan

Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
a
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Sikudhamiria kucheka lakini daaah 😂😂😂😂😂😂😂 ila hii statment yako inachekesha "Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani."
 
Back
Top Bottom