Kwanini watu wa vijijini na masikini sana huwa na sura na maumbile mabaya tofauti na wa mjini au matajiri?

Kwanini watu wa vijijini na masikini sana huwa na sura na maumbile mabaya tofauti na wa mjini au matajiri?

Ushindie michembe na uji hauna sukari ufanane na mtu nakula soseji ,nayai na maziwa,??mwili haunengwi na tofali.

Pili mkiambiwa ntafute hela mnakasirika ikiwa masikini utaoa demu mbaya utazaa watoto wabaya
Ulichisema ni kweli ila najiuliza mbna rihanna ni bilionaire ila kazaa toto linafanana na hamorapa?
 
Asilimia kubwa watakao kupinga humu ni wale waliokulia vijijini na uswazi..Profesa J mwenyewe amewahi imba kuhusu binti alie mtoa Sichimbi na kumpeleka mjini.
Mjini shule.
Watu wa vijiji hawana acces ya vyakula tofauti vinavyorutubisha mwili. Vipo vijiji vichache angalau.
Binafsi nimejiingiza kwenye kazi za watu wa vijijini, aisee nikikaa shamba mwezi hakuna mafuta yanakubali ngozi.
Nahisi kupigwa mionzi ya jua nayo inachangia sana, mfano trafic polisi hupigwa na jua sana na kuwa ngozi nyeusi sijui kama mmeliona hilo.
Vijijini watu huoga matope mda mwingi kuliko wa mjini, tope hufubaza ngozi.
Mizigo mizito, yaani watu wa vijijini hudumaa kwa kubeba mizigo mizito mara kwa mara kuanzia utotoni wakati mjini wanatumia usafiri.
Kazi ngimu, kutokana na kazi ngumu wanapoteza sehemu kubwa ya nishati wakati mjini mfano wanawake hio nishati hugrika mafuts na huifadhiwa kwenyr makalio.Makalio asilimia kubwa ni mafuta.
Kutembea mwenfo mrefu aisee hao watu wanatembea japo boda xipo ila wabahiri sana.
Kuuza vyakula vizuri na kubaki na makapi au masalia, mfano unyakyusani huchuja maziwa mazuri na kuyasafirisha mijini na wao kunywa makapi wanayaita 'Masulu"
Kulewa.Aisee kuna vijiji wanalewa mpaka wanasahau kula kuoga na kufanya kazi.
[emoji817][emoji818][emoji818]
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Hivyo ni vijiji vya zamani, mambo yameanza kubadilika, had huko matombo watu washaanza kuishi kama mjini
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.

Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
kwa haraka haraka umri wako inaonekana ni chini ya miaka 25 una utoto bado kichwani

Mungu hajaumba na hajawahi kuumba binadamu mwenye muonekano (sura) mbaya

binadamu mbaya ambaye kiuhalisia hayupo unaetuaminisha wewe angelikwepo kwenye hii dunia hata wewe husingemkaribia kumtizama

ubaya na uzuri wa muonekano ni perception zetu sisi wenyewe anaweza kuwa kwako ana muonekano mbaya kwa mwingine akavutiwa nae
 
ili suala ata mim uwa silielewagi sijui limekaaje kaaje, kijijini hakuna pisi kali kabisa, wanaume sasa sura za kimafia kinoma ndita tupu,

nikiendaga kanisani unakuta kanisa zima kuna wenye mvuto kisura na kwashep wapo wawili watatu tu, ila mjini ukienda kanisani dah hutoacha kuhudhuria ibada pisi kali tupu, ukienda bar pis kali,

ILI NAHISI LIPO KIMAZINGIRA SANA, MIILI INADETECT WAPI ULIPO ILI UKUPE MWONEKANO WA KUYAMUDU MAZINGIRA
Vijijini hakuna pisi kali nyingi ndo mana kila siku tunasikia kesi za mauaji kisa wivu wa mapenzi. Ww fikiria kijiji kizima kuna mademu wazuri hawafiki hata 10 afu wanaume wapo zaidi ya 200 wote wanawagombea hao madem what is next.

Lakini mjini tuna wide chance of choosing,,,, demu akikukataa unatafuta mwngne mana pisi kali ni nyingi
 
Umemjibu kitaalamu..ata mavazi yanabadili sana muonekano wa mtu..sasa huko kijijini kupata mavazi ni shida huwezi fananisha na mtoto wa masaki anayevaa skin tight na kitop
Wanasemaga "Ur dress adress who u are"
 
Ulichisema ni kweli ila najiuliza mbna rihanna ni bilionaire ila kazaa toto linafanana na hamorapa?
huwa inashangaza sana! Unakuta dada ni mrembo ana sura nzuri lakini anazaa mtoto mbaya hata kumshika unamuogopa. Unakuta mtoto ana sura kauzu
 
huwa inashangaza sana! Unakuta dada ni mrembo ana sura nzuri lakini anazaa mtoto mbaya hata kumshika unamuogopa. Unakuta mtoto ana sura kauzu
Ndo matatzo ya kupenda hela,,, unakuta anaenda kuzaa na mstaafu[emoji28][emoji28][emoji28] anazaa katoto kamezeeka
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Hii ni kwa sababu CCM imejikita mizizi zaidi vijijini ndanindani huko tangia enzi na enzi.
 
Tembelea upareni siku ya soko. Utafuta hii kauli yako ya KIJINGA.
Kama ulikwenda Kigoma ulitegemea nini?
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Kila siku nawaambia wakulima na watu wa Vijijini wasipoungana kuwashikisha adabu Hawa watu wa Mjini wataendelea kuwadharau kama hivi..

Hapa wameshashiba tayari baada ya kushinikiza serikali ishushe bei za mazao ya Wakulima matokeo yake ndio haya matusi.
 
Ndio maana bora nilipwe 10k nikiwa mjini kuliko nilipwe 30 nikiwa kijijini.

Mjini ukikutana na mtoto wa Mwl anayelipwa Laki 4 utakuta ni msafi na mtanashati kuliko mtoto wa Daktari anayelipwa 1M karagwe.
Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.
 
Kila siku nawaambia wakulima na watu wa Vijijini wasipoungana kuwashikisha adabu Hawa watu wa Mjini wataendelea kuwadharau kama hivi..

Hapa wameshashiba tayari baada ya kushinikiza serikali ishushe bei za mazao ya Wakulima matokeo yake ndio haya matusi.
😅😅😅
 
Kipato ni one of the biggest factors kumshepu binadamu. Umaskini huleta maradhi ambayo yana big effects kwenye physiological appearance ya mtu.

Mfano, maskini wanaoliea na funza automatically vidole vya miguuni vitakaa upande hence hata tembea zitakuwa na kasoro; watadeviate from normal. The same kwa maskini wanaosumbuliwa na chawa, kunguni, etc ngozi zao lazima ziwe na kasoro. Mshukuru Mungu.
😅😅😅
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
We become what we eat.

MTu analiwa akiwa perfect. Mama anakulaza,chini ya mti akiwa analima ukiwa na mwezi mmoja tu au wiki mbili. Pale alipokulaza juu ya nyasi na kipande cha kanga after 2hrs kichwa kimepinda pinda bila yeye kunotice....life continues in similar fashion.... ukija kukua unajikuta meno yako nje kama yule bwana wa tume .
 
Mkuu unaishi kijijini ama mjini? Nataka kudraw conclusion kuhusu akili finyu za mahala ulipo. Mtu mwenye akili za kutosha hawezi kusema binadamu mwingine anafanana na nyani.
Hii ID ilipotea sana
 
Hii mikoa ndio inazalisha sehemu kubwa ya nafaka Tanzania. Kinachokosekana ni ni Milo mchanganyiko yenye lishe kamili. Mtu anakula ugali mwaka mzima!
Kwa uhalisia ugali sio chakula tunachopaswa kitumia, twakitumia sababu tumezoeshwa hivyo.
 
Back
Top Bottom