Kwanini watu wa vijijini na masikini sana huwa na sura na maumbile mabaya tofauti na wa mjini au matajiri?

Kwanini watu wa vijijini na masikini sana huwa na sura na maumbile mabaya tofauti na wa mjini au matajiri?

Mkuu Mpwapwa ndani ndani unawasema ndugu zangu wa Wotta, Lufu, Mang’aliza [emoji23][emoji23]

Anyway hapo sababu ni mazingira na Hali ya maisha. Hali ya maisha vijijini si wanawake wala wanaume wanafanya kazi ngumu sana sana. Na aina ya chakula huwa ni moja tu ugali wakibadilisha makande. Kuoga ni nadra kutokana na mazingira ya upatikanaji maji au nature za kazi maana hawezi kuoga kwenda shambani. Pia hakuna vipodozi zaidi ya mafuta ya baby care. Mavazi na malazi ni duni. Sababu ni nyingi sana na hoja yako ni kweli. Ndio maana mtu tajiri wa kijijini familia yake watoto na mke huwa ni wazuri kumbe issue ni maisha tu.
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Watu wa kijijini wengi naona wanakuwa bila kupata lishe Bora hivyo inapelekea udumavu wa mwili hata kiakili pia kuna mtoto mmoja nimemuona ana miaka 11 katoka kijijini uko unaeza hisi ana miaka 6 au 7 pia kazi wanazofanya ni ngumu kiasi inapelekea wakomae haraka imagine mtoto anatembea kuvuka mapori kwenda shule au zaidi ya kilomita 3 kwenda kutafuta maji
 
Hii mada ni ya mwaka mmoja uliopita.

JF nyuzi hazina expire date.

Kuna sababu nyingi za kufanya watu wa mjini na vijijini kutofautiana. Wengi wameongelea lishe, mazingira, ugumu wa maisha, ugumu wa kazi n.k ambapo nakubaliana nao kwa asilimia mia kabsa.

Sababu moja ambayo wengi hawajaisema ni MUINGILIANO WA DAMU.

Tuchukulie Dar es salaam ni kawaida kukuta mhaya kaoana na mchaga au mndengeleko. Hii inafanya kuwa na machotara wa makabila. Na kuchanganya muonekano.

Sasa fikiria wote mnatokea Namtumbo na mmekutana namtumbo na mnatokea kabila moja. Lazima ule muonekano wa sura zenu zitafanana na wananamtumbo walio wengi kwa sababu uki fatilia sana utakuta huko kale walikua ndugu. Kwa hiyo mnaendelea kuoana bandugu kwa bandugu. Kama mna machogo ni machogo kama pua kubwa ni pua kubwa kama mwanya ni mwanya.

Kwa hiyo muingiliano wa wanajamii pia husaidia kuchanganya damu.

Msukuma akikutana na mmbulu lazima watoe kitu tofauti.
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Dhihaka hizi ila ni ukweli.Kutumia Nguvu nyingi kutafuta chakula , kiufupi wanafanya kazi za kutweza mwili,wanakula Kwa jasho jingi mwili inakosa Nuru.
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
SubhanAllah!😎
 
Samahani uzi huu hauna nia ya kukashifu au kutweza utu wa mtu na maumbile ya mwanadamu !

Lakini ukichunguza watu wanaoishi vijijini sana au maskini sana huwa na sura mbaya na maumbile mabaya tofauti na ya Wale wanaoishi mijini na au matajiri.

Mfano unaweza kujua kipato cha mtu au anapoishi kwà kumuangalia muonekano wa umbile na sura yake.

Asha kum si matusi.
Watu wanaoishi milimani vijijini huko matombo mfano wanafanana na nyani kwà karibu wakati binti anaeishi masaki anakuwa anafanana na malaika kabisa yani.

Wakati wa vijijini milimani kule matombo au mpwapwa ndanindani watakuwa weusi wafupi wakavu waliopinda miguu na migongo na wenye vichwa vibaya bàsi wa masaki watakuwa warefu walionyooka awe mweusi au mweupe atakuwa mzuri wa sura macho na vihipsi laini matombo huwezi kuipata figure ya namna hii.
Sikusudii kumkwaza mtu ni utafiti wangu.
Wazungu wanaona Waafrika kama manyani, nawe mwafrika mwenzetu unaona mwenzako kama nyani?
 
Hapo unazungumzia nature and nuture.

Binadamu kiasili huwa ni mzuri , ila binadamu anaweza kuathiriwa na athari za kimazingira . na mwonekano wake ukapotea.

Mfano swala la chakula
Ufanyaji wa kazi.

Makazi .

Ukianza na chakula ,watu wa vijijini hula chakula kingi amabacho hakina virutubisho muhimu hivyo hufanya mmengenyo wa chakula kuwa mkubwa Sana. (Metabolism) na metabolism ikiwa juu lazima MTU azeeke mapema na kuonekana Ana sura ngumu na mzee.


Ufanyaji wa kazi- hii watu wa vijijini hujikuta wanafanya kazi ngumu za kuuchosha mwili na kupelekea mwili kuchoka na kuzeeka mapema.


Makazi - watu wa vijijini huwa na makazi mabovu Sana ambayo hayana huzuia urutibishaji wa mwili .


Nb Hizo point hapo juu ni lifestyle hivyo lifestyle yako ikiwa duni sehemu yoyote iwe mjini au kijijini utaonekana kuchoka mapema.
 
Kipato ni one of the biggest factors kumshepu binadamu. Umaskini huleta maradhi ambayo yana big effects kwenye physiological appearance ya mtu.

Mfano, maskini wanaoliea na funza automatically vidole vya miguuni vitakaa upande hence hata tembea zitakuwa na kasoro; watadeviate from normal. The same kwa maskini wanaosumbuliwa na chawa, kunguni, etc ngozi zao lazima ziwe na kasoro. Mshukuru Mungu.
Lakini kuna mboga saba wanatembea kama wana shida kwenye nyonga,wanakuwa soft ila wana maumbo ya hovyo sana kama wahindi.
 
Back
Top Bottom