Kwanini watu wanachukia sana Ugali. Kwani ugali una kosa gani jamani?, Wanasayansi njoeni basi mtupe Elimu

Kwanini watu wanachukia sana Ugali. Kwani ugali una kosa gani jamani?, Wanasayansi njoeni basi mtupe Elimu

Ugali umedumaza sana akili za Watanzania na hiyo lishe ililetwa na Wakoloni..
Wadumavu wengi wanaamini ugali ni asili yao
 

Wadau habari ya Jioni,

kwani ugali una shida gani, mimi
nilijua ni hapa tu jamiiforum kumbe hata majumbani kwa watu.

Mimi ni mzanaki wa pale Kyabakari mbona kule kwetu tunakula ule ugali wa mtama na tupo fresh tu.

Tena ukila ugali wa mchanganyiko wa udaga na mtama alafu mboga yako ikawa kuku wa kienyeji jogoo ukalipika chuku chuku mbona tunakuwa tupo strong tu, kimwili na kiakili.

Watanzania tuachane na mambo ya kuzungu, Kama unapenda ugali basi dondosha comment yako kwa aina ya ugali unaopikwa kwenye kabila lako.

Nawasilisha;
Research yako uliifanyia wapi na lini mpaka ukaja na conclusion kwamba watu wengi wanauchukia ugali?.
 
Mna uonea tu ugaali, yani unakula ugali na kunde kwann usiuchukie, kula ugali na kitimoto, nyama ya foil, sato au kuku wa kuchoma, kuna dagaa mchele walio kaangwaa, au warji baridi wa mwanza kule sasa ugali. Sansa kweli??
 
Ugali chakula cha watwana!
 

Attachments

  • IMG_0506.jpeg
    IMG_0506.jpeg
    53.8 KB · Views: 4

Wadau habari ya Jioni,

kwani ugali una shida gani, mimi
nilijua ni hapa tu jamiiforum kumbe hata majumbani kwa watu.

Mimi ni mzanaki wa pale Kyabakari mbona kule kwetu tunakula ule ugali wa mtama na tupo fresh tu.

Tena ukila ugali wa mchanganyiko wa udaga na mtama alafu mboga yako ikawa kuku wa kienyeji jogoo ukalipika chuku chuku mbona tunakuwa tupo strong tu, kimwili na kiakili.

Watanzania tuachane na mambo ya kuzungu, Kama unapenda ugali basi dondosha comment yako kwa aina ya ugali unaopikwa kwenye kabila lako.

Nawasilisha;
ni basi tu, ila hiyo kitu siyo
hata watoto wanauchukia mno
 
Wali hupunguza nguvu za kiume kabisa!
Mkuu,China inashika number one Duniani kwa kutumia wali "Rice" na population yao ni sawa na watu wote wa bara la Africa 1.4 B plus mpaka kukawa na sheria ya kuzaa mtoto mmoja tu,

India ni nchi number two Duniani kwa kula wali,
Population yao ni 1.4 B plus

Sasa sijui wao huu wali hua hauwapunguzii hizo nguvu za kiume!
 
Mkuu,China inashika number one Duniani kwa kutumia wali "Rice" na population yao ni sawa na watu wote wa bara la Africa 1.4 B plus mpaka kukawa na sheria ya kuzaa mtoto mmoja tu,

India ni nchi number two Duniani kwa kula wali,
Population yao ni 1.4 B plus

Sasa sijui wao huu wali hua hauwapunguzii hizo nguvu za kiume!
Bao moja la kusababisha mimba hata tone TU la sekunde Tano linatosha!

Nguvu za kiume no neno Pana sana hata Resilience pia !
 
Back
Top Bottom