Kwanini watu wanaochukia ndoa wanaongezeka kila kukicha, sisi tunaoendelea kuoa ni fala au?

Kwanini watu wanaochukia ndoa wanaongezeka kila kukicha, sisi tunaoendelea kuoa ni fala au?

I will never get married, not even in a Dream - 50 Cent

“Women are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.

Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I don’t want stories tomorrow.

How many women have you seen make men great?

Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.

I’ll have my kids, take care of them and move.
"The worse prison in the world is a home without peace, be very careful who you get married or fall in love with."
Johnny Depp
 
I will never get married, not even in a Dream - 50 Cent

“Women are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.

Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I don’t want stories tomorrow.

How many women have you seen make men great?

Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.

I’ll have my kids, take care of them and move.
Hii ni ishara kujiridhisha, Tomaso hakuwa Mjinga!
 
The problem of these days people are no longer fearing of The God Almighty. Marriage is a must according to God. Ndo maana Mungu aliwaumba mtu mme na mtu mke( Adamu na Hawa)Hiyo ndo ilikuwa ndoa ya kwanza duniani na Mungu akaibarikia. Usipooa au kuolewa unafanya kinyume cha mapenzi ya Mungu.
Ni kweli kabisa..

Sasa vijana wa sasa wanakuambia ndoa ni mzigo...

Lakini as a man, hivi unawezaje kuishi bila mke? Unawezaje kuishi bila watoto?

Hivi kuna raha hapa duniani kama ile ya unatoka utokako unarudi home unapokelewa na wanao na mkeo?

Hiki kizazi cha sasa kuna kitu kinamiss hakika.
 
Kuna mzee mmoja alishawahi niambia kabla ya kuoa kwanza mchunguze mama yake na binti anaishi vipi na mume wake , yani alikua anasema kwa kifupi kabla ya kumwoa binti muoe kwanza mama yake[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kama binti ni yatima utachunguza kipi?
 
Ni kweli kabisa..

Sasa vijana wa sasa wanakuambia ndoa ni mzigo...

Lakini as a man, hivi unawezaje kuishi bila mke? Unawezaje kuishi bila watoto?

Hivi kuna raha hapa duniani kama ile ya unatoka utokako unarudi home unapokelewa na wanao na mkeo?

Hiki kizazi cha sasa kuna kitu kinamiss hakika.
Kabla ya kuwa na hiyo so called ndoa hizo raha ulikuwa unazipataje?
 
Ni kweli kabisa..

Sasa vijana wa sasa wanakuambia ndoa ni mzigo...

Lakini as a man, hivi unawezaje kuishi bila mke? Unawezaje kuishi bila watoto?

Hivi kuna raha hapa duniani kama ile ya unatoka utokako unarudi home unapokelewa na wanao na mkeo?

Hiki kizazi cha sasa kuna kitu kinamiss hakika.
Kosa pesa kama hiyo raha utaiona , mwanamke sio ndugu yako kukuonea huruma kama huna kinacho mfaidi.
 
Back
Top Bottom