Huruma siyo malezi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,433
- 3,210
Ndoa ni kitu kizuri saana
tena ndoa hututengenezea kizazi kilichostarabika maana watoto wanapokea malezi ya pande zote mbili
Omba Mungu akupe mtu sahihi anayejua thamani ya uwepo wako kwake
tena ndoa hututengenezea kizazi kilichostarabika maana watoto wanapokea malezi ya pande zote mbili
Omba Mungu akupe mtu sahihi anayejua thamani ya uwepo wako kwake