Kwanini watu wanaochukia ndoa wanaongezeka kila kukicha, sisi tunaoendelea kuoa ni fala au?

Kwanini watu wanaochukia ndoa wanaongezeka kila kukicha, sisi tunaoendelea kuoa ni fala au?

Ndoa ni kitu kizuri saana

tena ndoa hututengenezea kizazi kilichostarabika maana watoto wanapokea malezi ya pande zote mbili
Omba Mungu akupe mtu sahihi anayejua thamani ya uwepo wako kwake
 
Back
Top Bottom