Kwanini watu wanaochukia ndoa wanaongezeka kila kukicha, sisi tunaoendelea kuoa ni fala au?

Kwanini watu wanaochukia ndoa wanaongezeka kila kukicha, sisi tunaoendelea kuoa ni fala au?

Mnaoa sio mafala na wasio oa pia nao sio mafala , kila mtu huwa na bahati yake .

Note; ndoa ni kama kamari Evelyn Salt
Not only ndoa ni Kama Kila kitu ni is all about kamari whether you accept or not. Nothing is sure in this planet. Life is full of uncertainties so we've to do a calculated gambling what happened in case things go out of my expectations/bets
 
The problem of these days people are no longer fearing of The God Almighty. Marriage is a must according to God. Ndo maana Mungu aliwaumba mtu mme na mtu mke( Adamu na Hawa)Hiyo ndo ilikuwa ndoa ya kwanza duniani na Mungu akaibarikia. Usipooa au kuolewa unafanya kinyume cha mapenzi ya Mungu.
Mkuu sikupingi, ila nikija kwenye mzani ,wote tunajua idadi ya wanawake ni kubwa compare to wanaume, bado hapo hatujanzungumzia ma gay n.k, sasa kila mwanaume angeoa mke mmoja au kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja, huoni kama bado kuna idadi kubwa ya wanawake wangekua wanasugua bench huko mtaa
 
Waolewaji wenyewe tunaowaona huku mtaani ni majanga maana sio kwa mavazi wanayoyavaa. Hivyo visuruali sasa. Lugha wanazotumia, ujuaji na tamaa ya pesa wanatanguliza mbele. Ni kweli tunaishia kuwatamani tu for a single night

Ila ndoa
 
Mama mwenye viji akili upata kiwewe anapo msikia mtoto wake akisema mzazi ni mungu wa pili ...tatizo lenu nyinyi na wazazi wenu akili zenu zimepinduka zimekuwa anithi hivyo amuwezi kupambanua mambo ....mama mwenye akili angempongeza mwanaye kwa kutamka haya ninayo yatamka na kumshukuru mungu kwa kumpata mtoto sahihi siyo wale watoto wapumbavu wanaothani kuwa mzazi ni lazima hawe na akili kuliko mwanawe....
wewe ni kimwenje tu ngoja nikupuuze
 
I will never get married, not even in a Dream - 50 Cent

“Women are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.

Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I don’t want stories tomorrow.

How many women have you seen make men great?

Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.

I’ll have my kids, take care of them and move.
Why keep a cow if you can buy a cup of milk
 
Kuna mzee mmoja alishawahi niambia kabla ya kuoa kwanza mchunguze mama yake na binti anaishi vipi na mume wake , yani alikua anasema kwa kifupi kabla ya kumwoa binti muoe kwanza mama yake🤔🤔🤔🤔🤔
Kuna uhalisia hapa kwa 90%.
 
Ni kweli kabisa..

Sasa vijana wa sasa wanakuambia ndoa ni mzigo...

Lakini as a man, hivi unawezaje kuishi bila mke? Unawezaje kuishi bila watoto?

Hivi kuna raha hapa duniani kama ile ya unatoka utokako unarudi home unapokelewa na wanao na mkeo?

Hiki kizazi cha sasa kuna kitu kinamiss hakika.
True mkuu mtu ambaye anakataa ndoa sio muda wa kawaida.
 
Ni kweli kabisa..

Sasa vijana wa sasa wanakuambia ndoa ni mzigo...

Lakini as a man, hivi unawezaje kuishi bila mke? Unawezaje kuishi bila watoto?

Hivi kuna raha hapa duniani kama ile ya unatoka utokako unarudi home unapokelewa na wanao na mkeo?

Hiki kizazi cha sasa kuna kitu kinamiss hakika.
Shida kupididdy!
 
I will never get married, not even in a Dream - 50 Cent

“Women are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.

Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I don’t want stories tomorrow.

How many women have you seen make men great?

Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.

I’ll have my kids, take care of them and move.
Alifanya mapenzi kama fashion ya kupatia mashabiki na likes.

Hizi ndoa za kina Shilole, Nikki, et al
 
Back
Top Bottom