Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Umenena vyemaNdoa za kisasa ni tatizo. Wenye akili hutatua matatizo, wenye hekima huepuka matatizo. Uamuzi ni wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena vyemaNdoa za kisasa ni tatizo. Wenye akili hutatua matatizo, wenye hekima huepuka matatizo. Uamuzi ni wako.
😂😂😂😂😂😂😂Ni sawa na kuibetia Simba kua ina kikosi makini, kumbe kikundi cha wahuni tu 😂😂😂
Not only ndoa ni Kama Kila kitu ni is all about kamari whether you accept or not. Nothing is sure in this planet. Life is full of uncertainties so we've to do a calculated gambling what happened in case things go out of my expectations/betsMnaoa sio mafala na wasio oa pia nao sio mafala , kila mtu huwa na bahati yake .
Note; ndoa ni kama kamari Evelyn Salt
Mkuu sikupingi, ila nikija kwenye mzani ,wote tunajua idadi ya wanawake ni kubwa compare to wanaume, bado hapo hatujanzungumzia ma gay n.k, sasa kila mwanaume angeoa mke mmoja au kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja, huoni kama bado kuna idadi kubwa ya wanawake wangekua wanasugua bench huko mtaaThe problem of these days people are no longer fearing of The God Almighty. Marriage is a must according to God. Ndo maana Mungu aliwaumba mtu mme na mtu mke( Adamu na Hawa)Hiyo ndo ilikuwa ndoa ya kwanza duniani na Mungu akaibarikia. Usipooa au kuolewa unafanya kinyume cha mapenzi ya Mungu.
Hahaha. Haya bana.Ni sawa na kuibetia Simba kua ina kikosi makini, kumbe kikundi cha wahuni tu 😂😂😂
wewe ni kimwenje tu ngoja nikupuuzeMama mwenye viji akili upata kiwewe anapo msikia mtoto wake akisema mzazi ni mungu wa pili ...tatizo lenu nyinyi na wazazi wenu akili zenu zimepinduka zimekuwa anithi hivyo amuwezi kupambanua mambo ....mama mwenye akili angempongeza mwanaye kwa kutamka haya ninayo yatamka na kumshukuru mungu kwa kumpata mtoto sahihi siyo wale watoto wapumbavu wanaothani kuwa mzazi ni lazima hawe na akili kuliko mwanawe....
Kuna kitu inaitwa Developmental Milestone & Developmental Tasks.Kabla ya kuwa na hiyo so called ndoa hizo raha ulikuwa unazipataje?
Why keep a cow if you can buy a cup of milkI will never get married, not even in a Dream - 50 Cent
“Women are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.
Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I don’t want stories tomorrow.
How many women have you seen make men great?
Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.
I’ll have my kids, take care of them and move.
Kuna mzee mmoja alishawahi niambia kabla ya kuoa kwanza mchunguze mama yake na binti anaishi vipi na mume wake , yani alikua anasema kwa kifupi kabla ya kumwoa binti muoe kwanza mama yake
Si 50/50 why achukue zote.Shangingi halina huruma limekomba majumba yote tena kupitia Mahakama.
Dingi kanyukwa talaka, magari na majumba yakauzwa, akabaki anahaha tu na chupi yake kichwani.
Kuna uhalisia hapa kwa 90%.Kuna mzee mmoja alishawahi niambia kabla ya kuoa kwanza mchunguze mama yake na binti anaishi vipi na mume wake , yani alikua anasema kwa kifupi kabla ya kumwoa binti muoe kwanza mama yake🤔🤔🤔🤔🤔
Ndoa Mzee Mimi mwenyewe nishafanya tathmini mwaka huu wote kimsingi mwakani mungu akisaidia navuta jiko Kuna faida nyingi kuwa na familia kama MwanaumeOf the two party who is most safe?
True mkuu mtu ambaye anakataa ndoa sio muda wa kawaida.Ni kweli kabisa..
Sasa vijana wa sasa wanakuambia ndoa ni mzigo...
Lakini as a man, hivi unawezaje kuishi bila mke? Unawezaje kuishi bila watoto?
Hivi kuna raha hapa duniani kama ile ya unatoka utokako unarudi home unapokelewa na wanao na mkeo?
Hiki kizazi cha sasa kuna kitu kinamiss hakika.
Shida kupididdy!Ni kweli kabisa..
Sasa vijana wa sasa wanakuambia ndoa ni mzigo...
Lakini as a man, hivi unawezaje kuishi bila mke? Unawezaje kuishi bila watoto?
Hivi kuna raha hapa duniani kama ile ya unatoka utokako unarudi home unapokelewa na wanao na mkeo?
Hiki kizazi cha sasa kuna kitu kinamiss hakika.
Nasikia wewe ni mungu wa pili kwa wanao 😁😁😁😁wewe ni kimwenje tu ngoja nikupuuze
Alifanya mapenzi kama fashion ya kupatia mashabiki na likes.I will never get married, not even in a Dream - 50 Cent
“Women are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.
Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I don’t want stories tomorrow.
How many women have you seen make men great?
Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.
I’ll have my kids, take care of them and move.
Hapa yupo sahihi kabisa,unawezaje kwanza 🤒Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.