John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
"The worse prison in the world is a home without peace, be very careful who you get married or fall in love with."I will never get married, not even in a Dream - 50 Cent
“Women are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.
Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I don’t want stories tomorrow.
How many women have you seen make men great?
Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.
I’ll have my kids, take care of them and move.
Hii ni ishara kujiridhisha, Tomaso hakuwa Mjinga!I will never get married, not even in a Dream - 50 Cent
“Women are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.
Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I don’t want stories tomorrow.
How many women have you seen make men great?
Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.
I’ll have my kids, take care of them and move.
Mtu sahihi ndiyo nani tena huyo ....kwanza ni upumbavu kupata mashauri kutoka kwa akili duni ya mwanamkemagumu kama yapi tena? omba upate mtu sahihi tu
Ni kweli kabisa..The problem of these days people are no longer fearing of The God Almighty. Marriage is a must according to God. Ndo maana Mungu aliwaumba mtu mme na mtu mke( Adamu na Hawa)Hiyo ndo ilikuwa ndoa ya kwanza duniani na Mungu akaibarikia. Usipooa au kuolewa unafanya kinyume cha mapenzi ya Mungu.
Kama binti ni yatima utachunguza kipi?Kuna mzee mmoja alishawahi niambia kabla ya kuoa kwanza mchunguze mama yake na binti anaishi vipi na mume wake , yani alikua anasema kwa kifupi kabla ya kumwoa binti muoe kwanza mama yake[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Hapo ni ngumu binafsi nilishaangukia pua tena nikiwa kijana mdogo 😁Kama binti ni yatima utachunguza kipi?
Ilikuaje?Hapo ni ngumu binafsi nilishaangukia pua tena nikiwa kijana mdogo [emoji16]
Kuishi na mtu wenye meno 32 inahitaji kujitoa haswaIlikuaje?
[emoji2][emoji2] pole.Kuishi na mtu wenye meno 32 inahitaji kujitoa haswa
Zamani sana now ni zaidi ya miaka 10 ishapita 😁[emoji2][emoji2] pole.
Kabla ya kuwa na hiyo so called ndoa hizo raha ulikuwa unazipataje?Ni kweli kabisa..
Sasa vijana wa sasa wanakuambia ndoa ni mzigo...
Lakini as a man, hivi unawezaje kuishi bila mke? Unawezaje kuishi bila watoto?
Hivi kuna raha hapa duniani kama ile ya unatoka utokako unarudi home unapokelewa na wanao na mkeo?
Hiki kizazi cha sasa kuna kitu kinamiss hakika.
Kosa pesa kama hiyo raha utaiona , mwanamke sio ndugu yako kukuonea huruma kama huna kinacho mfaidi.Ni kweli kabisa..
Sasa vijana wa sasa wanakuambia ndoa ni mzigo...
Lakini as a man, hivi unawezaje kuishi bila mke? Unawezaje kuishi bila watoto?
Hivi kuna raha hapa duniani kama ile ya unatoka utokako unarudi home unapokelewa na wanao na mkeo?
Hiki kizazi cha sasa kuna kitu kinamiss hakika.
Mkuu 'No man is an island' you must learn from others.Usiishi kwa kuangalia wengine wanaishi vipi. Kila mtu ana maisha yake, kila mtu ana machaguo yake.
Sio kama, Ndoa ni kamari 😹😹Mnaoa sio mafala na wasio oa pia nao sio mafala , kila mtu huwa na bahati yake .
Note; ndoa ni kama kamari Evelyn Salt
Ni lazima uwe tayari kwa lolote,Kuishi na mtu wenye meno 32 inahitaji kujitoa haswa
Mkuu acha uoga ingia vitani tena, wengi tuligonga miamba na tukarudi tena huo ndo wanaume alijari.Zamani sana now ni zaidi ya miaka 10 ishapita [emoji16]