Huruma siyo malezi JF-Expert Member Joined Jul 18, 2020 Posts 1,433 Reaction score 3,210 Oct 22, 2024 #81 Ndoa ni kitu kizuri saana tena ndoa hututengenezea kizazi kilichostarabika maana watoto wanapokea malezi ya pande zote mbili Omba Mungu akupe mtu sahihi anayejua thamani ya uwepo wako kwake
Ndoa ni kitu kizuri saana tena ndoa hututengenezea kizazi kilichostarabika maana watoto wanapokea malezi ya pande zote mbili Omba Mungu akupe mtu sahihi anayejua thamani ya uwepo wako kwake