Kwanini Watu wanaoendesha magari binafsi wanapenda kuwachungulia walio kwenye daladala?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenivunja mbavu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kwa sasa hali ni mbaya sana, yani mimi gari langu natumia kwenda ofisin mara mbili tu kwa mwezi, siku nyingine zote niko kwenye kupangwa mistari miwili na kaka kondakta
Mwenye uhitaji aje nimuuzie hili gari aisee
Pole sana mkuu, cha muhimu uhai tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…