FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hivi kinachofanya watu waogope kiasi hiki kuiba umeme ni nini hasa? Mbona mitaani wanakata mabomba ya maji na ku-bypass bila uwoga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmemalizaUmeme unahitaji ufundi na utundu mwingi.Vilevile changamoto nyingine ni urefu wa nguzo au juu ukutani.Ukianza utundu(wizi)kila mtu anakuona mubashar.Halafu,umeme ni moto ule.Ukileta maskhara unakufa au kupata majeraha au ulemavu.Tofauti na maji ambapo miundombinu ipo ardhini.Ukianza wizi wako wachache wataweza kugundua.Unaunganisha kwa ulaini huku umeshika jembe kama upo bustanini.Swali lingine,mwizi mwenzetu.
🤣🤣🤣🤣🤣 Hana swali mwizi mwenzetu Sasa tuingie kazini leo wapi mwizi mkuu..??Umeme unahitaji ufundi na utundu mwingi.Vilevile changamoto nyingine ni urefu wa nguzo au juu ukutani.Ukianza utundu(wizi)kila mtu anakuona mubashar.Halafu,umeme ni moto ule.Ukileta maskhara unakufa au kupata majeraha au ulemavu.Tofauti na maji ambapo miundombinu ipo ardhini.Ukianza wizi wako wachache wataweza kugundua.Unaunganisha kwa ulaini huku umeshika jembe kama upo bustanini.Swali lingine,mwizi mwenzetu.
Hahahaha "mwizi mwenzetu mbona kimya"?.Hivi kinachofanya watu waogope kiasi hiki kuiba umeme ni nini hasa? Mbona mitaani wanakata mabomba ya maji na ku-bypass bila uwoga?
Inataka timing na bahati,my partner in crimes!Kesi ya uhujumu uchumi itahusika hapo unajua?Bora tuendelee kuwasha koroboi na mishumaa tu,partner!😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Hana swali mwizi mwenzetu Sasa tuingie kazini leo wapi mwizi mkuu..??
Ukikamatwa unaminywaUmeme mbona unaibiwa tu usiku, halafu mchana hawaibi.
Yaani Ni kuunga nyanya umeme haupiti kwenye mita halafu pakikucha unatoa waya Sema mpaka uwe fundi
Jaribu kufanya hivyo kama hutaunganishwa na akina Sabaya.Hivi kinachofanya watu waogope kiasi hiki kuiba umeme ni nini hasa? Mbona mitaani wanakata mabomba ya maji na ku-bypass bila uwoga?
Ushafeli uenyekiti wewe..😅Inataka timing na bahati,my partner in crimes!Kesi ya uhujumu uchumi itahusika hapo unajua?Bora tuendelee kuwasha koroboi na mishumaa tu,partner!😂😂😂😂
Nimehisi ndani kwenye chama kuna pandikizi.Tuwe makini kwa kutoa udhuru wa magirini ili malengo yatimie.😂😂😂😂Ushafeli uenyekiti wewe..😅