Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Maji rahisi sana tofauti na umeme ujuzi,sehemu ya kuibia na nk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaalum wetu umemsahau..? Sasa hivi huyo tunamgeuza ng'ombe!Nimehisi ndani kwenye chama kuna pandikizi.Tuwe makini kwa kutoa udhuru wa magirini ili malengo yatimie.😂😂😂😂
Acha roho mbaya huko sio kuhujumu ni kuiba kwa nia nzuri ya kujipunguzia gharama. Kikubwa tuibe kwa ustaarabu.Usifikirie kuhujumu miundombinu ya Serikali.
Ukimamatwa,, utaishia jela ama kupigwa hela ndefu sana..(kama faini au hongo)
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Ukiona hawaibi ujue hawana ujuzi na umeme, nimekaa miaka 3 msewe pale hatujawahi kulipa luku tunalipa buku kila baada ya miezi miwili luku iwe active. Utoto raha sanaHivi kinachofanya watu waogope kiasi hiki kuiba umeme ni nini hasa? Mbona mitaani wanakata mabomba ya maji na ku-bypass bila uwoga?
Aisee, Msewe sio?Ukiona hawaibi ujue hawana ujuzi na umeme, nimekaa miaka 3 msewe pale hatujawahi kulipa luku tunalipa buku kila baada ya miezi miwili luku iwe active. Utoto raha sana
Duuu, Tandale kabisa?Pale Tandale kuna jamaa anaiba daily.
Hapo itategemea na mita imewekwa wapi!!ndio maana siku hizi mita nyingi wanaweka juu ya nguzo!!Umeme mbona unaibiwa tu usiku, halafu mchana hawaibi.
Yaani Ni kuunga nyanya umeme haupiti kwenye mita halafu pakikucha unatoa waya Sema mpaka uwe fundi
Huko huko Msewe miaka kadhaa nyuma hela ya umeme ya mwezi tulikuwa tunampa mwenye nyumba hela yoyote uliyonayo mfukoni. Yeye kazi yake ni kuhakikisha umeme upo muda wote.Ukiona hawaibi ujue hawana ujuzi na umeme, nimekaa miaka 3 msewe pale hatujawahi kulipa luku tunalipa buku kila baada ya miezi miwili luku iwe active. Utoto raha sana
Usidhubutu kuiba au kuhujumu miundombinu ya TANESCO na unapoona viashiria vyovyote tupigie simu mara moja kwa namba zetu 0748550000.Hivi kinachofanya watu waogope kiasi hiki kuiba umeme ni nini hasa? Mbona mitaani wanakata mabomba ya maji na ku-bypass bila uwoga?
Hahaha dili hili hapaUsidhubutu kuiba au kuhujumu miundombinu ya TANESCO na unapoona viashiria vyovyote tupigie simu mara moja kwa namba zetu 0748550000.
Tunatoa zawadi nono kuanzia Tsh laki moja na kuendelea
Kiasi cha zawadi kinatokana na kiasi cha upotevu kilichookolewa
TANESCO, tupo Kazini
Asante sana mwizi mwenzetu. Hebu sasa tupe maujanja ili tuendelee na kazi yetu bila wasiwasi. Hapo juu mimi naona unatuogopesha ili tuache kazi hii, tupatie suluhisho basi.Umeme unahitaji ufundi na utundu mwingi. Vilevile changamoto nyingine ni urefu wa nguzo au juu ukutani.
Ukianza utundu(wizi)kila mtu anakuona mubashar.
Halafu,umeme ni moto ule.Ukileta maskhara unakufa au kupata majeraha au ulemavu.
Tofauti na maji ambapo miundombinu ipo ardhini.Ukianza wizi wako wachache wataweza kugundua.
Unaunganisha kwa ulaini huku umeshika jembe kama upo bustanini.
Swali lingine,mwizi mwenzetu.