Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
Kuna jamaa yangu alikuwa na ubunifu wa ajabu yeye alikuwa anapachika kifaa kwenye mita mita yenyewe inachanganyikiwa basi ni free data, et data free tanesko, na watanesko walimpa ofa kwa ulipaji mzuri kumbe anawapiga kuna mwingine ndio anatumia mpaka saiz amefunga na mota za mashine kabisa mwaka wa sita sasa na sijui kama watamdaka bila. Ya mm kusema TANESCO, watu wabunifu bwana