leah2
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 584
- 1,437
Hahahaha! Watu mna vituko!broo think twice,edit and repost it again![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha! Watu mna vituko!broo think twice,edit and repost it again![]()
wewe utakua mnene sana
Swali la changamoto, je mtu mwenye lipids nyingi (obesity) ina maana myelin shealth yake ni thicker kuliko mtu mwembamba? Kama ndio how do you prove? Unafahamu mtu mwembamba anaweza kuwa na dyslipidemia (mvurugiko wa viwango vya lipids kwenye damu kati ya high na low density fats)?mkuu utafiti wako una walakini kidogo
Watu wanene wana lipids nyingi ambazo zinasaidia kutengeneza myelin sheath
Hivyo basi taarifa (nerve impulses)zinakuwa zinapita kwa ku jump kwenye nodes of ranvier na kupelekea taarifa kufika haraka kwenye ubongo hivyo basi hata feedback inakuwa pia ni haraka na pia uwezo wa kufikiri kwa haraka na kutenda pia huwa ni haraka
Haya sasa mm nimetumia biology ku defend point yangu na wewe tetea yako kwa kutoa facts tuone
Kautafiti kangu kadogo tu kamefanya niweze kugundua kuwa Binadamu wembamba huwa na uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wale wenzao wanene.
Je hali hii hutokana na nini?
Mkuu hao wenye obesity ni special caseSwali la changamoto, je mtu mwenye lipids nyingi (obesity) ina maana myelin shealth yake ni thicker kuliko mtu mwembamba? Kama ndio how do you prove? Unafahamu mtu mwembamba anaweza kuwa na dyslipidemia (mvurugiko wa viwango vya lipids kwenye damu kati ya high na low density fats)?
HR acha vituko mkuu, unaongelea in situ au? Anyway hujaprove bado kama mabonge wana myelin shealth kubwa kuliko wembamba. Halafu u talked about impulse transmission along the axon, what about neurotransmiters at the synapses? Kwa maneno mengine hii kitu iko far beyond theories, lots of things should be put into consideration. Nafikiri mtoa mada anaongelea mabonge wenye baadhi ya metabolic disorders zinazoaffect uwezo wa kiakili, lkn sio watu wote wanene ni vilazaMkuu hao wenye obesity ni special case
Ngoja nikupe mfano huu nahisi utaelewa vizuri
Temperecha ikiongezeka the rate of the chemical reactions increases up to certain point called optimum temperature(At this point there is maximum collision between substrates and enzymes) hivyo basi ukiongeza temperecha zaidi the rate of the reactions decreases muda mwingine inaweza ika stop kabisa kwa sababu zile enzaimu aktivu saiti zinakuwa dinechadi kwa hiyo ile katalytiki efekti inakuwa haipo tena
Pia katika hiyo optimo pointi ukipunguza temperecha hiyo reti of kemiko riaksheni ina pungua kwa sababu kollisheni kati ya substrate na enzyme inakuwa ndogo kwa kuwa enzyme ina kuwa ini aktive
I hope utakuwa umenielewa nataka kusema nn