Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hapa mkuu nilitaka kumaanisha ile wanavyosema too much is harmful ndio maana nikakutolea mfano wa temp against the rate of reactions kwamba ukiongeza temperature rate inaongezeka lakini ukiongeza zaidi kuliko kiwango kinachotakiwa hiyo reti inapungua au kusimama kabisaHR acha vituko mkuu, unaongelea in situ au? Anyway hujaprove bado kama mabonge wana myelin shealth kubwa kuliko wembamba. Halafu u talked about impulse transmission along the axon, what about neurotransmiters at the synapses? Kwa maneno mengine hii kitu iko far beyond theories, lots of things should be put into consideration. Nafikiri mtoa mada anaongelea mabonge wenye baadhi ya metabolic disorders zinazoaffect uwezo wa kiakili, lkn sio watu wote wanene ni vilaza
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Enhee unatangaza vita. ngoja vibonge waje
Mfano mbunge wa geita cjui anaitwa nani yule, ana akili sanaKautafiti kangu kadogo tu kamefanya niweze kugundua kuwa Binadamu wembamba huwa na uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wale wenzao wanene.
Je hali hii hutokana na nini?
Unamtafuta le mutuz bila Shaka!Kautafiti kangu kadogo tu kamefanya niweze kugundua kuwa Binadamu wembamba huwa na uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wale wenzao wanene.
Je hali hii hutokana na nini?
Nimekusoma mkuu HR triple 6, inaelekea zama zako ulikimbiza kemia na baiolojia.Yani hapa mkuu nilitaka kumaanisha ile wanavyosema too much is harmful ndio maana nikakutolea mfano wa temp against the rate of reactions kwamba ukiongeza temperature rate inaongezeka lakini ukiongeza zaidi kuliko kiwango kinachotakiwa hiyo reti inapungua au kusimama kabisa
Ha ha ha ha ,kawaida tu mkuuNimekusoma mkuu HR triple 6, inaelekea zama zako ulikimbiza kemia na baiolojia.
Sawa lakini ukimwangalia Bulembo mbona biology inaweza kuwa imepotea njia??mkuu utafiti wako una walakini kidogo
Watu wanene wana lipids nyingi ambazo zinasaidia kutengeneza myelin sheath
Hivyo basi taarifa (nerve impulses)zinakuwa zinapita kwa ku jump kwenye nodes of ranvier na kupelekea taarifa kufika haraka kwenye ubongo hivyo basi hata feedback inakuwa pia ni haraka na pia uwezo wa kufikiri kwa haraka na kutenda pia huwa ni haraka
Kwa watu wembamba zile nerve impulses zina move smoothly hivyo hupelekea taarifa kuchelewa kufika kwenye ubongo
Haya sasa mm nimetumia biology ku defend point yangu na wewe tetea yako kwa kutoa facts tuone