Kwanini watu wembamba huwa na akili kubwa kuliko wale wanene?

Kwanini watu wembamba huwa na akili kubwa kuliko wale wanene?

ujatupa vigezo ulivyotumia na pia ulifanya kwa kuzingatia nini it was much better kama ungesema uliangalia nn,, ukapima kwa kutumia nn,,,pia sample yako ilikuaje
 
Sehemu kubwa ya kichwa cha kibonge imekaliwa na mafuta badala ya akili ndiomaana
 
Hahahahahahahahaha haah!jf bana!!!
 
Hivyo basi taarifa (nerve impulses)zinakuwa zinapita kwa ku jump kwenye nodes of ranvier na kupelekea taarifa kufika haraka kwenye ubongo hivyo basi hata feedback inakuwa pia ni haraka na pia uwezo wa kufikiri kwa haraka na kutenda pia huwa ni haraka

Ina maana taarifa ikisafiri kwa haraka ndio uwezo wa kufikiri? Tunaomba ushahidi wa kitafiti kutumia njia za kitafiti za kisayansi.

Kwa watu wembamba zile nerve impulses zina move smoothly hivyo hupelekea taarifa kuchelewa kufika kwenye ubongo

Hivi mwendo wa 'smooth' na mwendo wa 'jump' upi unaweza kuwa na speed kubwa?

Haya sasa mm nimetumia biology ku defend point yangu na wewe tetea yako kwa kutoa facts tuone

Biology uliyotumia ni branch gani? Neuroscience?
 
Kautafiti kangu kadogo tu kamefanya niweze kugundua kuwa Binadamu wembamba huwa na uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wale wenzao wanene.

Je hali hii hutokana na nini?
Hakuna bonge mwenye akili sababu kila mwenye akili bonge hushauliwa na wataalamu wenye akili kufanya mazoezi, diet nk ili apungue na kuwa mwembamba (mwenye akili).
 
uzito ukizidi uwezo wa kufikiri unapungua, ni kama cm au laptop ikijaa vitu inakuwa inafunguka pole pole sanaa,
 
Nina wasi wasi wewe na ndugu D. Bashite mlikua mnasoma materia ya aina moja, hii ni kama vile hoja ya ukubwa wa pua na wingi wa makamasi, ila kama unautani na watu wanene hapo nakuelewa.
 
Hiyo ni nature, hata mbegu ya ulezi ni ndogo sana ila ni more nutritious kuliko mbegu ya muhindi ambayo ni kubwa au nyama ya kware ni tamu kuliko ya kuku, Hata ndege wa kuruka wadogo wako more organized kuliko ndege wakubwa kama hondohondo ambao hata viota wanashindwa kutengeneza. wadada wembamba wako more sexual kuliko wadada tipwa tipwa.....
 
Kautafiti kangu kadogo tu kamefanya niweze kugundua kuwa Binadamu wembamba huwa na uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wale wenzao wanene.

Je hali hii hutokana na nini?
NYONGEZA
Watu wembamba wana roho mbaya sana. Mfano ni yule jamaa wa ''kuleeeeee'' tunayependaga kumuiga kwa kila jambo.
 
Kautafiti kangu kadogo tu kamefanya niweze kugundua kuwa Binadamu wembamba huwa na uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wale wenzao wanene.

Je hali hii hutokana na nini?
mbona maproffesa wengi ni vibonge??
 
Kaah , Akili zipo sasaa maana Lila MTU anachagua kile kinachomfaa Mimi nachagua pesa neo nakuwa mnenee
 
Back
Top Bottom