Kwanini watu wengi wanaona aibu kununua Condom dukani/pharmacy au kwanini watu wengi huogopa kuingia lodge/guest house kuulizia vyumba?

Kwanini watu wengi wanaona aibu kununua Condom dukani/pharmacy au kwanini watu wengi huogopa kuingia lodge/guest house kuulizia vyumba?

Tipstipstor

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2021
Posts
1,528
Reaction score
3,352
Kama umefanya kazi ya kuuza duka la rejareja au pharmacy utakuta wateja wengi wanaotaka condoms wakikuta wateja wengine wanashindwa kabisa kusema kuwa wanahitaji condoms, utakuta mtu anaanza kuulizia bei za mikate mara soda akisubiri wateja wengine waondoke ndio aseme shida yake. Hii imekaaje wadau?

Na pia kama umefanya kazi receptionist kwenye lodge/guest houses utagundua mara nyingi kuna watu huwa ni waoga sana kuingia hata kuulizia vyumba...unakuta mtu anaingia lodge huku anatetemeka tetemeka , cjui kwanni aisee ni uoga au?
 
Kama umefanya kazi ya kuuza duka la rejareja au pharmacy utakuta wateja wengi wanaotaka condoms wakikuta wateja wengine wanashindwa kabisa kusema kuwa wanahitaji condoms, utakuta mtu anaanza kuulizia bei za mikate mara soda akisubiri wateja wengine waondoke ndio aseme shida yake. Hii imekaaje wadau ?

Na pia kama umefanya kazi receptionist kwenye lodge/guest houses utagundua mara nyingi kuna watu huwa ni waoga sana kuingia hata kuulizia vyumba...unakuta mtu anaingia lodge huku anatetemeka tetemeka , cjui kwanni aisee ni uoga au ?
Kama wanaogopa kuingia gesti, ujasiri wa kugegedana uchochoroni wanaupata wapi?
 
Dahh noma sana kuna siku nlienda kununua KY gel...dah inahitaji sana ukauzu maana wauzaji wanaweza kuhisi huyu jamaa anaenda kuvua kambale nini
Sasa hiyo ndio nzuri kabisa yaani wanajua jamaa ni konki master mzee wa 4WD
 
Mimi nauliza vzr tu. Tena napenda nikiwakuta wamama au wadada
 
Kama umefanya kazi ya kuuza duka la rejareja au pharmacy utakuta wateja wengi wanaotaka condoms wakikuta wateja wengine wanashindwa kabisa kusema kuwa wanahitaji condoms, utakuta mtu anaanza kuulizia bei za mikate mara soda akisubiri wateja wengine waondoke ndio aseme shida yake. Hii imekaaje wadau ?

Na pia kama umefanya kazi receptionist kwenye lodge/guest houses utagundua mara nyingi kuna watu huwa ni waoga sana kuingia hata kuulizia vyumba...unakuta mtu anaingia lodge huku anatetemeka tetemeka , cjui kwanni aisee ni uoga au ?
Hayawani maana yake ni mnyama kwasababu hana haya au aibu ambayo ni sifa ya binadamu yyt Kama io kitu huna basi wewe majinuni Kama waokota makopo coz that basic character of a human being huna.
😎
 
Mm mbona huwa nanunua sana kondomu pharmacy, usiogope huwa hawakuulizi umapeleka wapi

Wala sio nyara za serikal zile bali ni ulinzi wako
 
Back
Top Bottom