HERUFI KUBWA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 388
- 602
Kwani mtumishi wa Mungu utakiwi kuwa sharo mbona wapo wengi wazuri kwa kuvaa na wanajua kumtumikia Mungu why Goodluck gozbertMi mwenyewe simuelewi , huyu anaimba bongo fleva ila anajificha kwenye kivuli cha dini. Halaf ni sharo balo tofauti na kina legend Ambwene mwasonge
Hapo nimekuelewa jamii ya watu wamungu kwa upande wa sasa wamechukua jukumu la kuhukumuBible inasema watu wa Mungu watatambulika kwa matendo yao.
Kama matendo yake hayamtambulishi bas ni tatzo japo kumuhukumu sio kazi yetu ni ya Mungu.
Philips X2560
Kama wanamuhukumu bas wanakosea.Hapo nimekuelewa jamii ya watu wamungu kwa upande wa sasa wamechukua jukumu la kuhukumu
Kwani mtumishi wa Mungu utakiwi kuwa sharo mbona wapo wengi wazuri kwa kuvaa na wanajua kumtumikia Mungu why Goodluck gozbert
AmeshakusameheHata mm huwa na mawazo hayo hayo......Mungu anisamehe kama namuhisi tofauti.
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Sasa kama katika uimbaji wake hajawahi kumtaja Yesu Kristo, yeye Ni Mkristo wa namna gani?PRAISE THE LORD..
HIVI KWANINI WATU WAMEJARIBU KUMUANDAMA GOODLUCK GOZBERT MARA NYINGI WATUMISHI WA MUNGU WAMEKUWA WAKIMUONA WA DUNIA NA SABABU ZAO KUBWA NI UVAAJI WAKE,,,UIMBAJI WAKE HAPA WANAPENDA KUZUNGUMZIA SUALA LA KUTUNGIA BAADHI YA WASANII NYIMBO KAMA BARAKA PRINCE.....SUALA LINGINE YA KUWA UIMBAJI WAKE HAJAWAHI TAJA JINA LA YESU
NYIE MNAMUELEWAJE KWANI???
NEW-SONG SHUKRANI
Sasa kwanini asihamie ubongo flevani kabisa,kwanini anajificha?Mi mwenyewe simuelewi , huyu anaimba bongo fleva ila anajificha kwenye kivuli cha dini. Halaf ni sharo balo tofauti na kina legend Ambwene mwasonge