Mavazi ni utamaduni wa jamii husika sio sula la imani.aliye kudanganya mavazi sio sifa moja wapo ya utakatatifu ni nan
Usipoenda na mitindo ya dunia utashangaza sana.very unfortunately, Mungu anaangalia hata mavazi unayovaa,ndio maana kuna aina ya mavazi anaruhusu, menigne haruhusu, wala msifuatishe namna ya dunia hii.....usiishi kwa kubadilika kadiri dunia inavyotaka bali kadiri Neno la Mungu linavyotaka. usijevaa vibaya, mfano mwanamke kavaa mavazi ya kikahaba akasema Mungu anaangalia moyo sio mavazi, usije kaa pamoja na watu wenye mizaha wanaomdhihaki Mungu, chagua marafiki wa kuwa nao kondoo wa Bwana wanaijua sauti yake na humfuata, hakuna ukristo tofauti na ukristo wa watu wengine, kama kweli unaongozwa na Roho yule yule wa Kristo ambaye na wenzio wanaye lazima mtakuwa na tabia zinazoendana. binafsi huwa simwelewi kuanzia mapozi, nyimbo zake, kutunga nyimbo ya kidunia isiyokuwa ya kimungu, unajua bongoflava ni nyimbo za kishetani/hazihamasishi watu kumtumikia Mungu, zinahamasisha tu uzinzi, ugomvi na takataka za dunia hii, ukiona mtumishi anawatungia watu wa dunia nyimbo jua hana Mungu, anahitaji msaada.
Umesikiliza nyimbo zake? Ni kweli hataji jina la Yesu?Ni mwimbaji mzuri lakini hataji
Jina La YESU why?
labda wanahisi mungu ni lundenga,anakagua mavazi.Kwani mtumishi wa Mungu utakiwi kuwa sharo mbona wapo wengi wazuri kwa kuvaa na wanajua kumtumikia Mungu why Goodluck gozbert
Ila maandiko yanasema ukinikana duniani namimi nitakukana mbele ya Baba yangu, ili kumfikia Mungu wakweli lazma tupitie kwa Yesu na hata shetani akisikia mungu hashtuki mapepo pia majini pia lakini ukilitaja jina la Yesu kuna kitu kinatokea ktk Ulimwengu wa roho, so tusipambe dhambi tusitiane moyo kwenye hamna waimbe kweli ili watu wawe huru na dhambi wakombolewe kisawa sawajamaa target yake ni watu wote wenye imani tofauti ndomana hamtaji Yesu pia msanii mwengine ambaye hamtaji yesu kwenye nyimbo zake na anakiki ni Angel Benard. kiukweli wamefanikiwa kwa hili maana comments za nyimbo zao zina watu wa imani tofauti tofauti
Bible inasema watu wa Mungu watatambulika kwa matendo yao.
Kama matendo yake hayamtambulishi bas ni tatzo japo kumuhukumu sio kazi yetu ni ya Mungu.
Philips X2560
Eti hawa ndio hawamtaki hiyo bwana mdogo?
jamaa target yake ni watu wote wenye imani tofauti ndomana hamtaji Yesu pia msanii mwengine ambaye hamtaji yesu kwenye nyimbo zake na anakiki ni Angel Benard. kiukweli wamefanikiwa kwa hili maana comments za nyimbo zao zina watu wa imani tofauti tofauti
NakaziaYeye anataka wasikilize hadi waislam,,,mi nazipenda mno akitaja Mungu anatosha
Anaukaribu sababu ni producer waoNi muimbaji na mtunzi mzuri sana, sema ana swag za kibongofleva ndio maana haonekani kama muimba gospel, pia ana ukaribu na wasanii wa bongofleva kuliko wa gospo ndio maana anawatungia hata nyimbo
Sent using Jamii Forums mobile app