Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

Simkubali kwa lolote namengi yakusema ila kigugu mizi kimenikata ndaludi
 
aliye kudanganya mavazi sio sifa moja wapo ya utakatatifu ni nan
Mavazi ni utamaduni wa jamii husika sio sula la imani.
Anachokivaa mkristo wa New york kanisani akikivaa mkristo wa Mneya inaweza kuonekana si sahihi.
Si kwasababu ya dini ila kwasababu ya utamaduni wa mahala husika
 
Anakula sana watoto wetu sisi wachungaji ndo maana hatumuelewi.
 
Usipoenda na mitindo ya dunia utashangaza sana.
Kwamba leo hii uvae mavazi yale ya magamba ya miti kwasababu huendi na mitindo ya dunia.
Hayo maandiko unayatafsiri kama gazeti ndugu.
Mavazi yaliyovaliwa miaka 100 iliyopita hayavaliwi leo na ukivaa leo utasahangaza kwasababu dunia imeshayaacha.
Nakumbuka wanawake walipoanza kuvaa suruali miaka ya nyuma ilishangaza sana lakini sasa imezoeleka kwasababu kizazi kilochokua kinashangaa ama kimeondoka ama kimekubaliana.
Suruali unazoshona leo kwa fundi hazikushonwa miaka 70 iliyopita kulikua na mitindo. Pengine watu wa miaka ya 70 hapo mnapendelea mitindo bado ya miaka yenu na mnahisi ndo mitindo ya kiMungu naona ni kushindwa tu kujua mambo kwa ufikiri sahihi.
Ukiona unashangaa sana mambo leo ujue unaishi kwenye dunia ambayo hutakiwi kuwepo au unaiishi jana huku ukisingizia maandiko kwamba yametoa maelekezo tusifanye hivyo.
Unaweza ukawa hata hutumii simu wewe wala TV kwakua wakati wa Kristo havikuwepo.
Wakristo tujitahidi kuwa tunazungumza hoja lasivyo tutakua tunamuaibisha Kristo kwa uprimitive wetu tukiujengea hoja ya kristo
 
na huyu wa zamani anaimba ndombolo ya Yesu hahahaha wapo wengi tu
 
Anaweza, nilikuwa sikumkubali mwanzoni ila sasa tunaenda sawa
 
Sio tu kumwelewa., mimi simfahamu kabisa!
 
...hauwezi kushindana!!ooh kushindana na mwanadamu mwenye kinywa yayaah x2
...vita vya maneno kuna watu ni majemedari, ukisema mshindane mbona mikono utainua,
..kupigwa vita ni kawaida isikusumbuee...
...wewe ni mti wenye matunda zoea mawe,
Lia kidogo nyamaza ili uchungue uishe.....DAAAH DOGO KAWAIMBIA HUU WIMBO.
 
Ila maandiko yanasema ukinikana duniani namimi nitakukana mbele ya Baba yangu, ili kumfikia Mungu wakweli lazma tupitie kwa Yesu na hata shetani akisikia mungu hashtuki mapepo pia majini pia lakini ukilitaja jina la Yesu kuna kitu kinatokea ktk Ulimwengu wa roho, so tusipambe dhambi tusitiane moyo kwenye hamna waimbe kweli ili watu wawe huru na dhambi wakombolewe kisawa sawa
 

Angel Benard huwa anamtaja sana Yesu. Sikiliza vzr nyimbo zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…