Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

Mkuu huyu ni muimbaji wa nyimbo za dini na dini siyo injili pekee ni zaidi ya hapo ndio mana nkatolea mfano wa zaburi ambayo pia siyo injili.
Nakubaliana na wewe kuwa dini si injili peke yake, maana kuna dini ambazo msingi wake haujajengwa kwenye injili. Lakini dini isiyoitambua injili hiyo si dini ya kikristo, maana huwezi kumtenganisha Yesu Kristo na Injili yake.

Kwa misingi hiyo sijakataa kuwa yeye anaimba nyimbo za dini...sawa. Lakini dini hiyo si ya Kikristo. Tukubaliane hapo.
 
Kwa sababu wengi wana wivu. Wakiimba injili wanakata mauno ila mtu akikata kiuno hicho hicho kwenye bongo flava wanaleta unafiki.
 
Boriti ndani ya jicho la mwenzako,sio la kwako,muache mwenyewe atatoaa!
[HASHTAG]#only[/HASHTAG] God can judge us#

bichwa baya
 
Ni kweli kwamba hajawahi litaja jina la Yesu..!?

Hii kwangu mpya...
 
Kwani nyimbo za gospel zikoje?.je hebu niambie kipindi cha nyuma kabla ya yesu kristo kuja duniani waliokuepo walikua hawaimbi nyimbo za kumtukuza Mungu?
 
Uyo dogo kajitaidi sana kufanya mapinduzi kwenye nyimbo zakumtukuza Mungu.Nyimbo nyingi tunazoita za injili huo mtindo ni watu walioubuni kwaiyo kama kuna mtu kajitokeza kufanya maboresho kwa namna alivyoona mimi sidhani kama ni kosa.Mambo mengine tumekariri tu bila kujua dunia imetoka mbali na kumekua na mabadiliko kila zama zinapofika.Nyimbo yoyote yenye mahudhui yakutukuza Mungu ni nyimbo ya dini ndo maana kabla ata ya yesu kristo kuja watu walikua wanaimba tena kwa namna mbalimbali kuliko hizi tunazoimba leo.Kwaiyo hao watumishi wamwache uyo dogo afanye kile anachoona chafaa kwa Mungu wake na maisha yake maana uimbaji ni ajira pia.mengine tumwachie Mungu mwenyewe.
 

Haya mkuu na zile amri 10 za Mungu tuziache mana siyo ukristo ule. Ukristo amri ni moja tu upendo
 
huyu ni miongoni mwa wajanja wajanja wanaotumia gospel music kma kichaka cha kufanikisha mambo yao nyimbo zake zina maudhui ya kijanja tu, injiri sio kwa ajili ya kupata pesa ila pesa itakuja kma baraka lkn huyu na Flora mbasha ni wajasiriliamali .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…