Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,996
- 6,290
Ndo hapo sasa
Nakubaliana na wewe kuwa dini si injili peke yake, maana kuna dini ambazo msingi wake haujajengwa kwenye injili. Lakini dini isiyoitambua injili hiyo si dini ya kikristo, maana huwezi kumtenganisha Yesu Kristo na Injili yake.Mkuu huyu ni muimbaji wa nyimbo za dini na dini siyo injili pekee ni zaidi ya hapo ndio mana nkatolea mfano wa zaburi ambayo pia siyo injili.
Kwani nyimbo za gospel zikoje?.je hebu niambie kipindi cha nyuma kabla ya yesu kristo kuja duniani waliokuepo walikua hawaimbi nyimbo za kumtukuza Mungu?sijui kama watumishi wa Mungu wanamuhukumu au la, ila mimi nikiwa kama mkristo kwa kweli huyu kaka hata simuelewi na nyimbo zake huwa sijui nizeweke kwenye kundi gani, kiasi kwamba nilishaamua kuachana nazo, mimi huwa sipendi kusikiliza album nzima ya mtu kwahiyo mara nyingi huwa nachagua nyimbo za watu tofauti tofauti nnazozipenda natengeneza mix naweka sehemu moja ndo nasikiliza, kama ni gospel basi nategeneze mix ya waimba injili tofauti tofauti ndo nasikiliza, ila nyimbo za huyu kijana nimeshindwa kabisa niziweke wapi, mana kwenye gospel hazikai na kwenye bongo fleva hazikai. Kuna neno linasema Wanyama wanaofanana huenda pamoja na Ndege wanaofanana huruka pamoja, Ila wenzako wamekukataa kwasababu ya tofauti yako, ndo yanayomtokea gosbert, achague kama anataka kuwa moto au baridi, mkristo bila kumtajia jina la Yesu hajakuelewa bado, mana Kutaja jina la Mungu hata bongo fleva au taarabu wana litaja sana tu kwenye nyimbo zao.
Ukijibiwa nitag ©kwani ananyimbo ngapi ? na je zote hajamtaja yesu?
Umemaliza kila kituBible inasema watu wa Mungu watatambulika kwa matendo yao.
Kama matendo yake hayamtambulishi bas ni tatzo japo kumuhukumu sio kazi yetu ni ya Mungu.
Philips X2560
Mungu ni cheo kama Rais.
YESU ni jina la Mungu kama Magufuli lilivyo jina la Rais.
Steve Jobs - Giant Of Technology.
Nakubaliana na wewe kuwa dini si injili peke yake, maana kuna dini ambazo msingi wake haujajengwa kwenye injili. Lakini dini isiyoitambua injili hiyo si dini ya kikristo, maana huwezi kumtenganisha Yesu Kristo na Injili yake.
Kwa misingi hiyo sijakataa kuwa yeye anaimba nyimbo za dini...sawa. Lakini dini hiyo si ya Kikristo. Tukubaliane hapo.
Pamoja Mkuu!Mh!, mkuu shkamo[emoji1538]