HERUFI KUBWA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 388
- 602
- Thread starter
- #41
UNA UHAKIKA????Huyu muhuni achague moja kati ya baridi au moto
Kwenye dini Hamna usela km anavyojiaminisha yy
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNA UHAKIKA????Huyu muhuni achague moja kati ya baridi au moto
Kwenye dini Hamna usela km anavyojiaminisha yy
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Hakika. Na ndio maana wanamuonea wivu.Yeye anataka wasikilize hadi waislam,,,mi nazipenda mno akitaja Mungu anatosha
Huyu muhuni achague moja kati ya baridi au moto
Kwenye dini Hamna usela km anavyojiaminisha yy
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji120] [emoji120]Kuna mhuni mmoja aligongewa VISA na Yesu mwenyewe pale msalabani usidhani Mungu anatutenga sisi wengine,imani ya mtu iko ndani ya moyo hauwezi kuiona ila yule aliye sirini ndio anajua imani zetu naamini mtavurugika sana siku ya mwisho masela tuko mkono wa kuume wa Bwana.
Binadamu anaweza kukuhukumu kwa monekano. Bila kujali Imani yako ikoje. Monekano sio ImaniKuna mhuni mmoja aligongewa VISA na Yesu mwenyewe pale msalabani usidhani Mungu anatutenga sisi wengine,imani ya mtu iko ndani ya moyo hauwezi kuiona ila yule aliye sirini ndio anajua imani zetu naamini mtavurugika sana siku ya mwisho masela tuko mkono wa kuume wa Bwana.
YUPI BORA? MTUMISHI WA MUNGU SHAROBARO AU MTUMISHI WA MUNGU ANAYETAFUNA KONDOO WAKEMi mwenyewe simuelewi , huyu anaimba bongo fleva ila anajificha kwenye kivuli cha dini. Halaf ni sharo balo tofauti na kina legend Ambwene mwasonge
KWANI YESU NA MUNGU SI NI KITU KIMOJA SO AKITAJA MUNGU IMETOSHAHajawahi hata nyimbo moja kutaja jina la YESU
UMEFANYA CONCLUSION MAPEMA..KWANI YESU NA MUNGU SI NI KITU KIMOJA SO AKITAJA MUNGU IMETOSHA
AISEE BORA SHARO....YUPI BORA? MTUMISHI WA MUNGU SHAROBARO AU MTUMISHI WA MUNGU ANAYETAFUNA KONDOO WAKE
Au mtu wako wa karibuHAPANA SOMA THREAD ZANGU UAMINI
HAPANA NAMPENDA TU SIPENDI WATU WAMUONGELEE VIBAYA WAKATI NYIMBO ZAKO ZINANIBARIKIAu mtu wako wa karibu
HAPO NIMEKUELEWA NITAJIE MFANO WA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI??Kiufupi ni msanii wa nyimbo za injili akijitahidi kutoka huko atakua muimbaji wa nyimbo za injili.
Mkuu,umenichekesha sana na comment yako!Alitakiwa avae mabwanga na suti za kung'aa kama mabati ndio aonekane sio wakidunia
Acha uongoooHajawahi hata nyimbo moja kutaja jina la YESU