Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

kwani muziki WA injili una sifa zipi?hizo Ni chuki binafsi Tu wote wanaunba injili wapate pesa Na ndo mana show zao nyingi zinalipiwa hakuna show ya bure Ni wachache Sana wanafanya show za bure.Pili unapoandaa compilation ya nyimbo za din uzipendazo unafanya piracy[/QUO

hayo ya show mwenzangu siyajui, mana sijawahi kuhudhria na sitarajii, me nasikiliza tu either kwenye radio au nime download nimeweka kwenye flash nasikiliza ndani kwangu naongea na Mungu wangu basi, unaposema nafanya compilation ya nyimbo za dini nizipendazo eti nakuwa nafanya piracy, kwani tatizo liko wapi? kuna anaesikiliza nyimbo zote? na kikubwa huwa napenda nyimbo zinazonigusa mpaka nahisi uwepo wa Mungu na kupiga goti kuongea nae, sio alimradi nyimbo kuna wengine ndo hivyo anaimba hazieleweki ziko kundi gani au mwingine hata hakugusi inakuwa alimradi tu unasikiliza gospel
 
Praise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.

Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.

Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu

Nyie mnamuelewaje kwani???

New-song shukrani
Wasanii wengi wa injili miaka ya leo wapo kibiashara zaidi tofauti na zamani.Mimi mwenyewe nina albam zake sijaona jina Yesu. Ningemshauri ajitokeze afafanue ili kuelewesha umma wa wakristo tunaoamini katika Yesu Kristo
 
sijui kama watumishi wa Mungu wanamuhukumu au la, ila mimi nikiwa kama mkristo kwa kweli huyu kaka hata simuelewi na nyimbo zake huwa sijui nizeweke kwenye kundi gani, kiasi kwamba nilishaamua kuachana nazo, mimi huwa sipendi kusikiliza album nzima ya mtu kwahiyo mara nyingi huwa nachagua nyimbo za watu tofauti tofauti nnazozipenda natengeneza mix naweka sehemu moja ndo nasikiliza, kama ni gospel basi nategeneze mix ya waimba injili tofauti tofauti ndo nasikiliza, ila nyimbo za huyu kijana nimeshindwa kabisa niziweke wapi, mana kwenye gospel hazikai na kwenye bongo fleva hazikai. Kuna neno linasema Wanyama wanaofanana huenda pamoja na Ndege wanaofanana huruka pamoja, Ila wenzako wamekukataa kwasababu ya tofauti yako, ndo yanayomtokea gosbert, achague kama anataka kuwa moto au baridi, mkristo bila kumtajia jina la Yesu hajakuelewa bado, mana Kutaja jina la Mungu hata bongo fleva au taarabu wana litaja sana tu kwenye nyimbo zao.
Upo sahihi ni SHABIKI YANGU ILA KUIMBA GOSPAL SONGS BILA KUTAJA JINA LA YESU INA UKAKASI KIDOGO
kijana ameamua kuimba Gospel hicho nikitu bora sana ,na kama anapiga business out of it ni sawa pia
wao wanataka Goodluck awe akiitwa kuimba bure popote muda wowote akubari

Wajue kijana anatafuta maisha na amechagua kuimba Gospel kujipatia kipato

hao wanao myooshea vidole wao waangalie Banzi katika maisha yao

Go go go Gooluck
 
Mkuu huyu ni muimbaji wa nyimbo za dini na dini siyo injili pekee ni zaidi ya hapo ndio mana nkatolea mfano wa zaburi ambayo pia siyo injili.
Hata hivyo tunataka tulisikie hata nyimbo moja jina YESU...unajua kutamka jina hili sio mchezo
 
Kwa hizi picha midomo imekaa kama anavuta bangi vile.

Lakini tusimlaumu kama umewahi kuangalia gospel za Kenya za kisasa yaani ndo balaa hao wakina Willy Paul ni cha mtoto
Kenya gospal kama una moyo mgumu hauwezi elewa mfano piston..-lilanga la Yesu
 
Wasanii wengi wa injili miaka ya leo wapo kibiashara zaidi tofauti na zamani.Mimi mwenyewe nina albam zake sijaona jina Yesu. Ningemshauri ajitokeze afafanue ili kuelewesha umma wa wakristo tunaoamini katika Yesu Kristo
Exactly mkuu
 
Praise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.

Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.

Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu

Nyie mnamuelewaje kwani???

New-song shukrani
yule kijana anatakiwa apewe ushauri namna ya kuishi kwenye hii dunia. kwanza kabisa ule uvaaji wake, ulembuaji wa mimacho ile, kujikubua na kujiscrub utafikiri mademu, mimi huwa siwaangaliii wakiwa na kile kijamaa chenzie sijui kinaitwa kinani. inawezekana hana hayo mambo ya kipuuzi na hajui kama wenzie wenye hayo mambo huwa wanabehave like him kwasababu labda hajazaliwa kwenye ulimwengu wenye hao watu (mtu wa church zaidi), ashauriwe kuwa anatakiwa kuwa na miondoko fulani hivi ya kiuwanaume, ile ya kurembuarembua, kucheza kama daimondi, ni uchafu tu. zaidi ya yote, unajua kuna mambo unaweza kuambiwa na wanadamu, ila kama kweli umeokoka, membo mengine utaambiwa/utawekwa sawa tu na Roho Mtakatifu. Mungu amsaidie.
 
Nyimbo zake hazina uponyaji kiroho, hajawa tofauti na waimba taarabu tu.... Halafu huyu jamaa sio shoga kweli!!? Nna mashaka sana...
 
Upo sahihi ni SHABIKI YANGU ILA KUIMBA GOSPAL SONGS BILA KUTAJA JINA LA YESU INA UKAKASI KIDOGO
Yesu wako wewe na Roho yako Kama humumuelewi kwanini mnamsikiliza na kufight against kijana huyu.

Only God can judge him,Binadamu wanapoteza energy tu
 
Mnataka atinge ile misuti ya orange kama agent wa hallotel na shati la kung'aa ndio mtaamini kua anaimba nyimbo za Injili...?Hapo waimba Injili watabaki wanyakyusa tu maana wanajua kutupia crazy colour mpaka barabarani nawachanganya na askari wa usalama barabarani na yale ma-reflector [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] MWe wakina mwa[emoji8]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnataka atinge ile misuti ya orange kama agent wa hallotel na shati la kung'aa ndio mtaamini kua anaimba nyimbo za Injili...?Hapo waimba Injili watabaki wanyakyusa tu maana wanajua kutupia crazy colour mpaka barabarani nawachanganya na askari wa usalama barabarani na yale ma-reflector [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesu wako wewe na Roho yako Kama humumuelewi kwanini mnamsikiliza na kufight against kijana huyu.

Only God can judge him,Binadamu wanapoteza energy tu
Ingekuwa only God can judge every one, Basi kusingekuwa na makanisa na Mungu pia humponya mtu kupitia watu haohao kuna karama anaweka ili kufundisha Mungu hawezi kushuka moja kwa moja aje kumfundisha mwenyewe ila kupitia watu. Na pia hatumjaji Mtu yeyote anayempenda akiona sehemu kuna tatizo ni vema amwambie au afafanue.Wewe uliekaa kaimya endapo kweli kakosea na hukumwambia wewe ndiyo utahukumiwa.
 
Kuna kuimba gospel na kuishi gospel
Lkn kuimba ama kuishi gospel hakukufanyi uwe MTU Fulani mshamba mshamba
Wala hakukufanyi uwe unavaa kishamba,ilimradi tu uenende kwa hekima na heshima na ufanyacho kisiwe chukizo kwa Mungu,
Watu wanapretend sana wanapojifanya wanamjua Mungu,kwa nje wanabadili kila kitu,wanaongea mikono wamekunja wanavaa suti na mabuga uu,wanavaa nguo style za zamaaaaani huku wakisahau hata hizo za zamani wakati wake zilionekana za kusasa na za kihuni,kuna wakati nakumbuka ilikuwa dhambi mlokole kuvaa jeans,hizi zilikuwa zama za umbumbu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah..gospel singers wa kutoka mbeya ndio wako hivyo..suti koti inafika ugokoni na kiatu cheupe kirefuu..na shati la egoli linang'aaa


hahahahahahahhhhaahha uwiii niache mie jaman nakufa na mbav! nakumbuka mume wangu alipokuja kwetu kujitambulisha

iringa akashukia mafinga! hahaha yaan mpk leo huwa anacheka! alikurana na surual zarang ya ajabuuu alifika hom akiniona

anacheka mbayaaa ahahah ananiambia watu wa iringa/mbeya bora akose hela lakini avae suti! hahaha alafu suti zao sasa

hahaha utacheka ufwe! anawea kukupigia trauza ya kijani mtelezo na shat mtelezo kijani! na tai kijani! chini four angle ya hajaaaaa hahahha nyeupeee hhhhhhhahahahaa salute

ukita kurefresh mind nenda iringa na mbeya.... sijui kwa miaka hii!
 
Kwani mtumishi wa Mungu utakiwi kuwa sharo mbona wapo wengi wazuri kwa kuvaa na wanajua kumtumikia Mungu why Goodluck gozbert
Siyo kila anaeimba gospel ni mtumishi wa Mungu,wengine ni watumikia matumbo,
Kila MTU ni mtumishi wa Mungu mahali alipo,
Machinga ni mtumishi wa Mungu huko aliko mtaani na ktk matendo ya biashara take,mfanya kazi wa ofisini,askari,raising,mwanafunzi,mzazi,mtoto nk wote ni watumishi wa Mungu kadri ya wito wa kila MTU,
Injili inachapwa na yyte kwa vitendo popote alipo,
Hata kumridhisha mumeo ama mkeo ktk tendo la ndoa ni injili maana tumeagizwa tusinyimane na tuombe kabla ya kupiga tukio,NBsimaanishi zinaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
goodluck-gozbert.jpg


goodluck.jpg
Mbona yuko sawa tu wanadamu bhana kwahiyo wanataka aweje sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom