Kwanini watumishi wapya siku hizi hawafanyiwi orientation course

Kwanini watumishi wapya siku hizi hawafanyiwi orientation course

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mfanyakazi hujamfanyia induction akikosea maana yake anaweza kukuruka akitoa siri hana kosa maana yake hajui lolote. Zamani niliona zinaendeshwa kwanini ni kama zimesitishwa je ni wajibu wa Taasisi, au tume ya maadil au huko utumishi wenyewe nani anawajabika na orientation
 
Ndo vizuri , wasitoe orientation maana nyingi zimejielekeza kwenye kujipendekeza kwa utawala !!
Hawafundishi ufanyaji wa kazi na miiko ila kujipendekeza na hofu !
 
Back
Top Bottom