Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

🀣🀣Ha ha ha bwana HB kafurahi kwelikweli...

Ahsante mkuu nawe siku njema aaamin🀲
 
Inaonekana una wafahamu hawa watu vizuri. Vipenyo ni ngumu Sana kuwagundua
 
Mwanamme gani anajisifia sura, wewe jumbe brown tangu ulambe teuzi umekuwa tepetepe kweli?
Mkuu Nyboma teuzi ipi kaka?

Niko dambweni kwangu "kijiwe cha kahawa" muulize Erythrocyte anaujua unyonge wangu kiutafutaji...huwa nikimbana kihoja anakimbilia kunisifia utajiri wake wa mabanda yake ya biashara pale sabasaba 🀣

Karibu Al Kasus mwamba!
 
Defensive mechanism hii, sawa nitakaribia alkasusu hapo kijiweni kwako siku yoyote πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Harusi zinafungwa kimyakimya [emoji28][emoji28][emoji28]
Yes. Kuna friend wangu alishangaa amekutana na picha page ya kanisani ndoa imeahafungwaa. Acha kbs. Nikamwambia usifikiri ameoa tu hapana. Verring ilifanyika kwa huyo mwnaamke. Ananambia eti hata kazini kwao hawajui kama kaoa. Nikaona nisibishane naye. Kuoa si jambo rahisi kihivyo aisee. Sema jamaa kuna sababu zake alifunga na huyo bibie ila hakuna mapenz kabisa. Mapenz yote yamerudi huku.

Kwa ushauri zaidi tufollow kwa wingi page za ma mc, kumbi mbaki mbali na za kanisa kwa taarifa zaidi[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mkuu amini nikuambiacho ..

Karibu sana komredi...ndio kujuana huko mwamba!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… pamoja sana Polepole wa Mama yetu Mh. Samiah Suluhu Hassan naona bado uhamasishaji wa kuchanja unaendelea

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…