Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

Hapana mkuu, nawachukia kwakua wanaturudisha nyuma. Wako.UVCCM wanajielewa sana. Hawapendi ujinga. Ila mataga wako kimaslahi zaidi

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
CCM ni BAHARI ....

Ndani yake ina kila aina ya watu.....kila aina ya hulka...

WEMA / WAZURI /WENYE ADABU HESHIMA NA MAADILI WAKO WENGI TU mkuu wangu....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si kwa povu atoalo....isije kuwa kahudumia sana "blaza la Mataga" Sasa anaugulia maumivu ha ha ha WAHUNI SI WATU....
Hivi kweli mimi ni wa kudate na MATAGA?[emoji23][emoji23] naweza nyonga mtu usingizini. Mataga ni opportunist popote pale..yaani wako very fake. Ni wale wanaenda na upepo. Hawajui wanasimamia nini. Its about them

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Acha kujiona upo classic sana na kufake kote UVCCM wamepita na wewe na malipo hujala sasa unalia lia nini hapa 😅
 
🤣🤣Ku date ni jambo jengine...too personal....wewe hujaona wadada wenye heshima wana date na mablazameni koko na wahuni mjini?!!!

Hwenda wana date KISTAREHE TU...no strings attached....🤣
 
Ume generalise sana afu Umeongea kishabiki sana Kama Kuna Kipenyo Kakuto. mbea Demu wako Kaa kimya
 
Acha kujiona upo classic sana na kufake kote UVCCM wamepita na wewe na malipo hujala sasa unalia lia nini hapa [emoji28]
Anayelia ni nani mkuu? Mwanaume mzima na uzi ukafungua[emoji23][emoji23][emoji23] mkeo anaachia tu geti.. mimi ni local mwenye principal zangu. Tuogope siye wanawake masela. Nitalala.na wewe mpk kunakucha hujaona mbususu yangu..

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ume generalise sana afu Umeongea kishabiki sana Kama Kuna Kipenyo Kakuto. mbea Demu wako Kaa kimya
Wewe utakuwa ni tapeli pia, naona mmekuja na kigezo cha informer mara kipenyo ila haiwaondelei sifa chafu mliyo nayo ya kutapeli watu hovyo. Kubalini tu maslahi yenu ni duni mno
 
Sasa mutaisafishaje mkuu. Maana no wale vijana hata wakaambiwa kaueni wanaenda. Ilimradi wadhifa upo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Unajua nini mkuu....

Ukweli una kawaida ya KUPANDA NGAZI....na UONGO hupanda LIFTI....

Unajua hulka za watu zinajulikana....kabla ya kuwa kiongozi.....ni jukumu la hao wanaopendekeza majina kuongeza UMAKINI....inawezekana kabisa kwani hayo si "rocket science"....
 
Hiyo mbususu unayo kweli ama changa la macho 😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…