miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Mmezoea wanawake laini laini eh? Karibu kigumu master. MATAGA tu wamekutoa jasho sembuse TISS? Vijana wa mataga walivyo wa ovyo kwlei wakakupelekesha hivyo?[emoji23][emoji23] halaf unataka tudanganya uniform zao ni kaunda eti[emoji23]Nimeliona hilo na hawa wanachoreshwa sana saba nafahamu wengi tu, huwenda akawa ni mmoja wao [emoji28]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app