Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

Waambie waende Mombasa kuna vitu na pesa za bure.
Hapa Tz waende kwa Mpalange.
 
Huyu alinikuta niko na mke wangu tumekaa mahali akaleta zile za kukonyeza nikamtuma mtu ampe onyo, nilivyoenda enda washroom nikakuta amekuja kwenye meza yangu kumtongoza mke wangu nilimzaba kofi moja zito sana akarise pale ilikuwa nimmalize siku ile sema tu watu waliingilia pale nikaamua kuondoka kwa amani.
Akina mama wana roho ya huruma, na wanavutiwa sana wakitongozwa (inabaki juu yake kukubali au kukataa).
Sio ajabu mkeo alimtafuta jamaa na kumpa pole ya nguvu + kugegedwa.

Nakushauri, acha kumpeleka mkeo bar kama humuamini na una roho ya wivu na kujifanya kidume. Utaishia jela au mortuary, ukimuacha akiendelea kugegedwa kwa kwenda mbele
 
Jinga lingine hili hapa, kwa comparison ya ajira za kitanzania wanajeshi wanapokea mishahara mizuri tu usidanganywe na mtu.

Hao Polisi unaowaona wanaendekeza njaa ukae ukijuwa, kila Polisi anapokea posho ya shilling laki tatu kila mwezi bila kujari cheo, na hii ni nje ya mishahara yao ambayo kila mtu analipwa kutokana na level yake.
Inamaanisha kila siku analipwa 10,000/= huoni hela ndogo sanaaa hiyo hata kama ipo nje ya mshahara? Mimi kila siku napokea 50,000/= hiyo ni nje ya mshahara.
 
Objection mkuu

Iambie JF kwamba hakuna utofauti kati ya MATAGA na UVCCM.
THERE IS A THIN LINE BETWEEN MATAGA AND UVCCM

KWELI SI KWELI?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Si kweli mkuu wangu....

Mataga wako ndani ya UVCCM...I am not among them kabisaaa.....

Nimeiva itikadi ya chama na si "msukure" wa vikundi koko....🤣
 
Jana Ulirudi Usiku

Huyu alinikuta niko na mke wangu tumekaa mahali akaleta zile za kukonyeza nikamtuma mtu ampe onyo, nilivyoenda enda washroom nikakuta amekuja kwenye meza yangu kumtongoza mke wangu nilimzaba kofi moja zito sana akarise pale ilikuwa nimmalize siku ile sema tu watu waliingilia pale nikaamua kuondoka kwa amani.
Ulijuaje kama ni yeye? mkuu
 
Back
Top Bottom