Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Ni swala la muda ipo siku watakinukisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila mjue hii nchi si kama congo, burundi na uganda ambako mnaweza kuanzisha uasi mipakani mkaanza kusumbua nchi za watu. Hapa tz mkijaribu kuleta uasi mtapigika mpaka kwenu. Tena kama mmepata uraia tulieni msilete chokochoko za ajenda zenu za kikabilaMmechelewa sana Kutugundua poleni.
Kabisa mkuu wala sio uongoMkuu umezaliwa kabla ya uhuru??
Heshima yako mkuu!Kabisa mkuu wala sio uongo
Vita ya Ug nilikuwa nimeishamaliza secondary
Huyo hajui ni raia wa wapi anajipendekeza na Rwanda akidhani ni sifa watutsi hawana kawaida ya kuropoka hovyo na pia Mtutsi akijua unamjua yeye ni Mnyarwanda atakuchukia wao wanaona sifa wakiwa kwao na watambulike hivyo sio nje ya mipaka yao...Mmejazana sio?
HahahahahahaMmechelewa sana Kutugundua poleni.
Sawa sawaHuyo hajui ni raia wa wapi anajipendekeza na Rwanda akidhani ni sifa watutsi hawana kawaida ya kuropoka hovyo...
SA wanaua wageni wanaouza pipi na sigala ninyi mnawapa vyeo harafu wengine wanaongea mnasema unoko...Naona kila akikagua gwaride anaona watu warefu wembamba eti?
Ila tunajua kusaga kunguni
Taifa la wanoko 😄 🤣
HahahahahaMtufurumushe pia na kule TISS, PT na JWTZ tulikojazana kama Inzi sawa Mkuu? Mmechelewa mno.
Nakumbuka kuna kipindi Mobeyo alimwambia rais kuna kitu ntakuambia tukiwa wawili, nadhani ni hili aliloongea CDF juzi adharani, itakua mobeyo alipuuzwaNadhani tumechelewa CDF kaongea juzi kaona hata huko kwao wamejaa wao na ukiona kaamua kuongea hadharani ujue pana upinzani mkubwa wanapata wanapotaka kuchukua maamuzi wenyewe...
Chanzo cha hii taarifa yako?Wapo Ngara kule kagera wanataka wapewe wafanye mkoa wao.
Inawezekana Mkuu sema mimi najua haya muda sana maana ukiona mapendekezo ya kodi tu unajua haya sio ya Raia haya yaani gari aina ya ist eti inauzwa Tsh 17m sasa hivi na wao wanaona sawa kwa sababu ya kupandisha kodi hovyo bila kujali maisha ya Watanzania harafu wabongo wanaminyana kwenye bajaji za Tsh 8.5m daah...Nakumbuka kuna kipindi Mobeyo alimwambia rais kuna kitu ntakuambia tukiwa wawili, nadhani ni hili aliloongea CDF juzi adharani, itakua mobeyo alipuuzwa
Mbona wameshindwa kuingia uhayani, wameishia karagwe?hawa jmaa ni nyoka,, ni wastaarabu wanapoingia sana !!
Kawaida kwa jicho la nyama, ila kwa jicho la kijasusi ni hatari sana si kuwalegezea wala kuwaendekezaHao watusi mnawapaiza sana mbona wapo kawaida tu?
Kiboko ya watusi ni wahaya tu,Hao watusi mnawapaiza sana mbona wapo kawaida tu?
Fafanua bro !!!Kiboko ya watusi ni wahaya tu,
Wangekuwa na akili wangechinjana kama kuku.Kwasababu wana Akili kuliko nyie na uwepo Wao hapa Tanzania utawasaidia Kuwaambukiza Akili zao Kubwa na nyie Kuzitumia ili kuondokana na matatizo yenu makubwa Sugu ya Ujinga, Maradhi, Upumbavu, Umasikini, Ushamba na Ushirikina.
Unauliza Vita Middle East?Mmejazana sio?
Nyie mngekuwa na Akili mngeiacha CCM iwatawale kwa muda mrefu huku mkizidi kuwa Mazuzu na Amani yenu ya Kinafiki, Wivu wa Kishamba na Usununu / Roho Mbaya?Wangekuwa na akili wangechinjana kama kuku.