Kwanini watusi wanataka kutambuliwa Tanzania?

Kwanini watusi wanataka kutambuliwa Tanzania?

Ni kabila la kikushi lenye asili kutokea Ethiopia, waliingia ardhi ya Rwanda kama wafugaji na baadae wakalitwaa hilo eneo dhidi ya wahutu na watwa. Wabelgiji walipofika waliikuta hali hiyo hiyo na kutokana na physique yao ya urefu, uso mwembamba na pua ndefu, wakawaona wao wapo karibu zaidi na uzungu kuliko wabantu

Hivyo, waliwaweka kuwa superior ethnic group kwa hapo Rwanda na Burundi ndio maana mtusi ni mtu anaejihisi superior sana na huwa hachanganyi damu kirahisi na wabantu kwa kuwaona inferior.

Kuhusu kuingia Tanzania, wameanza hata kabla ya mipaka kuchorwa na mkoloni, ndio maana ukifuatilia mila, mavazi na hata baadhi ya falme za zamani haswa muleba, Ngara na Karagwe utakuta wapo waliotokea Rwanda. Kwa hiyo interaction ya Watusi, wahutu na wahaya si kitu cha leo wala jana
Watatokea vipi Rwanda na unasema mipaka ilikuwa haijachorwa?

Hiyo route uliyoitaja si ndiyo route waliyokuja nayo wachaga wakaishia Kilimanjaro? kwa hiyo na wachaga ni watusi?
 
Serikali inatoa uraia kwa wakimbizi wakati wananchi bado hawapati huduma bora za kimaisha. Ni sawa na mtu mwenye familia yake halafu kila mwaka anawapa watu baki ukazi nyumbani kwake. Hata wanafamilia yake watajikuta wanakosa vile walivyotaiwa kuwa navyo.

Serikali isitishe zoezi la utoaji uraia mara moja na ifunge kambi za wakimbizi na kuwarudisha kwao. Burundi na Rwanda hakuna vita hivyo wawachukue raia wao.
Hawataki kurudi na Sheria za kimataifa zinasema inabidi warudi kwa hiari sio kwa lazima hapo ndio kimbembe kilipo
 
Mkuu hakuna nchi yenye watu wenye akili inaweza kubali kuendeshwa na watu wenye mtazamo wa PK,slim ashawashika makende hawawezi kukohoa,nadhani wahutu sasa wana vikao vya siri wanavizia PK aishiwe pumzi ,mambo yanayotokea Rwanda na Burundi ni kwa sababu kuna kabila mbili/tatu tu, kitu ambacho ni impossible kwa nchi yetu,
Madhira ya Congo pia yanachangiwa na miundombinu duni,hakuna barabara.
Pk mwenyewe haamini mtu mpaka anaweka mwanaye wa kike kuwa mshauri wake,
Kwa mindset ya mtutsi kamwe hawawezi kuachieve kitu sustainable ,watapata lakini watapoteza kikubwa zaidi ya walichopata.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Kwa hio unasema Paka akikata pumzi kinanuka?
 
Kama kuna kosa ambalo Tanzania inaweza kulifanya basi ni kupuuzia hawa watu wanitwa Watusi. Huko Congo, Burundi na Uganda n'ai walikua wakarimu kama Tanzania.

Watu wa Congo Kinshasa walipokua wakiambiwa kuhusu ubaya wa Watusi, waliona kama watu wa mpakani wanachuki binafsi na majirani zao. Lakini Leo hii Watusi wamepenya mpaka ikulu na Siri za nchi ya Congo ziko uchi mpaka Sasa.

Watanzania WA mikoa ya katika na ile yenye majirani wazuri, Huwa wakiambiwa ubaaya wa Watusi, wanadhani kuwa ni chuki za waha au wahangaza dhini ya majirani zao watusi.

Tanzania inatakwimu ya kupokea au kutoa uraia kwa wakimbizi wengi na idadi kubwa zaidi ni Kabila la Wahutu zaidi ya Watusi wachache.

Jambo la kujiuliza, ni kwanini Wahutu huchangamana vizuri na Makabila ya Tanzania na kuwa wamoja tofauti na Watusi. Watusi wamebaki na Miata aka Yao na kujitenga ingawa huwezi kujua kama haufuatilii. Mfano watusi wakiwa katika ngazi flani lazima atapenyeza watusi wenzie. Watusi akiwa naishi Tanzania basi lazima atakua na nyumba kwa Rwanda. Mtusi akiwa na Biashara yake basi lazima ataajiri Watusi wenzie.

Hawa watu wanakua na mikutano yao na agenda zao ambao wanazisimamia kimkakati. Mikakati ya hao watu huwezi kurithishwa vizazi mpaka vizazi.

Pale utakapoanza kumuona Mtusi kama ndugu yako na kujisahau , hapo ndipo kosa.

Sasa wameanza kutaka watambuliwe Kipekee hapa Tanzania.

Kwanini Wahutu walio wengi hawajawahi kuota KUTAMBULIWA lakini Watusi WANATAKA KUTAMBULIWA, Wana agenda Gani miaka ijayo?

Wakishatambuliwa watadai ardhi Yao ya asili itambulike, itakua eneo Gani la Tanzania?

Huko Congo walipokelewa na kuishi kwa miaka mingi, walianza vuguvugu la kutaka kutambulika kama hivi wanavyoanza Sasa hapa Tanzania.

Hawa watu sio wakufumbia macho. Kunatakiwa kuwa na Kitengo maalum Cha kuwachunguza watu wenye asili ya Rwanda hasa watusi.
Uko sahihi kabisa, ila Watutsi wengi wapo Burundi na si Rwanda. Wanajivunia zaidi Rwanda sababu wamesimika uongozi wao (Kagame)
 
kila mtu akae kwao
Haliwezekani hiyo
Watu kila leo wanakatisha border duniani
Unamkuta mtu kachoka maisha ya Norway anaenda Scotland
Au yuko zake bongo anaamua kuanza maisha mengine Botswana ni sawa tu
Hili hakuna wa kuzuia
 
Hima empire kuota kwa tanzania sio rahisi kama wanavyojidanganya labda ccm isiwe madarakani, wao wakae tu wafanye shughuli zao kama watanzania kama sio mtanzia basi uwe na vibali
Mamb ya kusema eti jamii ya watsi iliyopp Tanzania itambuliwe iyo haipo

Wataambiwa msijali tunaenda kuwakodia makarandinga ya jwtz na abood tunawajaza tunawapeleka kwenu hamtaki mnatawanywa kila mkoa
 
Watatokea vipi Rwanda na unasema mipaka ilikuwa haijachorwa?

Hiyo route uliyoitaja si ndiyo route waliyokuja nayo wachaga wakaishia Kilimanjaro? kwa hiyo na wachaga ni watusi?
Hayo maeneo yalikuwepo lakini yalitambulika kwa majina ya tawala za kiafrika, ni sawa na mtu aseme anaenda uhayani au unyamwezini ila mkoloni alipokuja ndio akaweka mipaka rasmi ambayo ilipuuza tawala na muingiliano wa asili wa waafrika.

Wachagga sidhani kama ni cushites ila sina hakika ya walipotoka. Cushites kwa watanzania ni wambulu, wanyiramba, wanyaturu etc ambao ukiangalia physique yao imekaa kihabesh na inarandana na watusi

Kingine, ukiongelea ukushi ni sawa na kuongelea ubantu ambazo zote ni asili kwa hiyo, msukuma na mkerewe wote ni wabantu ila kila mmoja ana lugha na tamaduni yake inayomtafsiri kama kabila

Wambulu ni wakushi ila haimaanishi wao ni watusi kwa sababu wote wana asili moja 🙏🏽
 
Mkuu hakuna nchi yenye watu wenye akili inaweza kubali kuendeshwa na watu wenye mtazamo wa PK,slim ashawashika makende hawawezi kukohoa,nadhani wahutu sasa wana vikao vya siri wanavizia PK aishiwe pumzi ,mambo yanayotokea Rwanda na Burundi ni kwa sababu kuna kabila mbili/tatu tu, kitu ambacho ni impossible kwa nchi yetu,
Madhira ya Congo pia yanachangiwa na miundombinu duni,hakuna barabara.
Pk mwenyewe haamini mtu mpaka anaweka mwanaye wa kike kuwa mshauri wake,
Kwa mindset ya mtutsi kamwe hawawezi kuachieve kitu sustainable ,watapata lakini watapoteza kikubwa zaidi ya walichopata.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Ni kweli ni vicious cycle, mauaji ya kimbari kati ya watusi na wahutu si mara ya kwanza kutokea mwaka 94, yalishawahi tokea nyuma huko
 
Back
Top Bottom