Kwanini watusi wanataka kutambuliwa Tanzania?

Hapa penyewe kwenye comment wamo kibao, tafadhali serikali kuweni makini sana, wafanyabiashara wengi wakubwa wa kuuza vifaa vya mziki ni Watusi na wameajiri watutsi wenzao, ni wabaguzi kuliko mnavyojua, piteni pale barabara ya uhuru kwenye hotel ya mzee ndesa mle ndani muone walivyojazana
Fukuzeni haraka sana, yaani utawajua kwa lafudhi na lugha tu ni wabaguzi sana
Lile duka mle ndani ni watutsi watupu
 
Hao wangese wana ukabila sana ,ngumu sana kukuta wanachangamana na watu wengine
 

Acha roho mbaya na wivu wa kike,
 
Kwa hio unasema Paka akikata pumzi kinanuka?
PAKA akiondoka kama hawana mpango madhubuti panaweza kunuka,ni nadra sana mkiwa na vita za ndani kuachieve kitu kikubwa kama ku conquer maeneo ya nje,mnaweza kufanikiwa kuyapata,ila mtayapoteza kwa namna ileile mliyoyapata.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Akina Biteko wanahitajika kuwa wana trakiwa nashukuru linafanyika hivyo wasifikiri wanajua saaaana. Kila mtutsi ajue ana kamba nyuma yake kumfuatilia

Acheni chuki. Mbona wapo watusi wa kitanzania. Tena wapo Tabora kule.
 
Sahihi kabisa. Operesheni kimbunga ndio suluhisho. Iwaondoe wote warudi kwao hata wale waliozaliwa Tanzania.

Uzalendo kwanza.

Hapo unakosea , Mtusi aliyezaliwa Tanzania ana shida gani . Huyo ni raia wa Tanzania
 

Kwa Sasa hakuna wakimbizi wa Rwanda Tanzania
 

Punguza uongo na ujuaji.
 

Sasa Kama wafanya maamuzi ni watusi, Hilo suala la Usalama Lina kosa nguvu
 
Watoto wake kashawazungusha kwenye himaya
 
Akili za kijinga hizi wakati Kenya na Rwanda wanafungua mipaka waafrika waingie kusaidia uchumi wa nchi zao kuendelea anatokea mtanzania mmoja mwenye upeo mdogo kama wewe.

Wanafanya hivi ili nyie mjichanganye mruhusu [emoji23]hao wakenya tu bado hawajacomfirm
 
Do not recruit me in your hatred

Mimi mtu akinikosea nadeal nae one on one fair and square

Sitaki mtu anipe ajira ya kuchukua watu ambao personally sijawahi kukumbana nao kwenye crime

Wakiniletea crime mimi kama mimi then I will fvck em one on one

Sijui govt and blah blah....fvck the government!
 
Mbona tunawatambua kama watanzania wenye asili ya rwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…