Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Wewe mkuu humtetei mzungu? au wewe huna dini?Yan unapomkuta mzanzibar anavyojitoa ufahamu kumtetea mwarabu utashangaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mkuu humtetei mzungu? au wewe huna dini?Yan unapomkuta mzanzibar anavyojitoa ufahamu kumtetea mwarabu utashangaa
Nisome mara ngapi?!Soma uzi mzima
Hakuna lolote na hakuna yeyote atamkumbuka huyo Nyerere. Yeye ndio tatizo. Ametuaribia nchi.So unaamini kabisa kabla ya waarabu zanzibar kulikua na kima tu hakukua na watu?
Unajua kwanin waarabu walipaita hapo Zanzibar
Back to your point wanakataa kuhusishwa na bara sababu wanataka kujitenga na hilo likifanikiwa majority watalia na kusaga meno huku wakimkumbuka kocha nyerere na minority wenye miziz mascut wataishi kama paradiso
Mkuu wewe humtetei mzungu?Hasa Wapemba ndio wanajiona waarabu hata jitu liwe jeusi kama lami!
Tuambie wewe ambae haupo upqnde wowote,je waarabu walihusika au la!??Mimi sio mtu wa dini but I gotta say tatizo liko wapi?
Nyie christians mnatetea wazungu vilevile, ninachokiona hapa ni kila mtumwa anatetea bwana wake.
huku kundi A likipinga kwamba bwana wake hakuhusika na utumwa na mwengine wazi'wazi akijua kwamba bwana wake amehusika na utumwa hivyo hili kundi B linaumia kwanini wanakataa wakati sisi bwana wetu alihusishwa na utumwa na hatukatai, ni lazima tuwe sawa.
while mimi nawaona wote ni bunch of braindeads and uncivilized idiots.
Walihusika according to history na haijalishi kama ni kweli au sio kweli which is something I don't give a damn about.Tuambie wewe ambae haupo upqnde wowote,je waarabu walihusika au la!??
nyie, nyie akina nani? aliyekuambia nipo hapa kwa niaba ya wakristo ni nani?.Mimi sio mtu wa dini but I gotta say tatizo liko wapi?
Nyie christians mnatetea wazungu vilevile, ninachokiona hapa ni kila mtumwa anatetea bwana wake.
huku kundi A likipinga kwamba bwana wake hakuhusika na utumwa na mwengine wazi'wazi akijua kwamba bwana wake amehusika na utumwa hivyo hili kundi B linaumia kwanini wanakataa wakati sisi bwana wetu alihusishwa na utumwa na hatukatai, ni lazima tuwe sawa.
while mimi nawaona wote ni bunch of braindeads and uncivilized idiots.
Waunguja hapo wanaingizwa mkenge,znz ikijitenga wategemee wapemba kushika visiwa vyote viwili na wao kuishi kama watumwaSo unaamini kabisa kabla ya waarabu zanzibar kulikua na kima tu hakukua na watu?
Unajua kwanin waarabu walipaita hapo Zanzibar
Back to your point wanakataa kuhusishwa na bara sababu wanataka kujitenga na hilo likifanikiwa majority watalia na kusaga meno huku wakimkumbuka kocha nyerere na minority wenye miziz mascut wataishi kama paradiso
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa umeongea kama hauishi dunia hii....Mimi sio mtu wa dini but I gotta say tatizo liko wapi?
Nyie christians mnatetea wazungu vilevile, ninachokiona hapa ni kila mtumwa anatetea bwana wake.
huku kundi A likipinga kwamba bwana wake hakuhusika na utumwa na mwengine wazi'wazi akijua kwamba bwana wake amehusika na utumwa hivyo hili kundi B linaumia kwanini wanakataa wakati sisi bwana wetu alihusishwa na utumwa na hatukatai, ni lazima tuwe sawa.
while mimi nawaona wote ni bunch of braindeads and uncivilized idiots.
Sasa wewe inakuuma nini, kwani unamjua asili yake? Waarabu ni patrilineal (kufuata baba) kwa hivyo hata akioa mswahili basi mtoto ni wake na anachukua kabila lake. Na akirudi kwao anamchukua mtoto wake. Lakini nyinyi munaendelea kuleta chuki tu.Yaani mtu mweusi tii, ana pua pana, lips pana na nywele fupi ngumu anajiita Mwarabu kama huyu FaizaFoxy wa humu
Kisa wameletewa Uislam na kuwa Waislam wanajiona sio watu weusi tena
Hata wazungu na waafrika wenyewe wamehusika sana na biashara ya utumwa, kwa hivyo usilikomalie kundi moja tu kwa biashara hiyo.wanakuambia mwarabu hakuhuska na biashara ya utumwa, kile kinachojulikana na wengi kuwa mwarabu alihuska ni ya uwongo uliotungwa na Westerners kuwafitnisha na ndugu zao katika Iman ya mnyazi mungu.
Nenda hospitali basi ukachukuwe dawa za kupunguza pressure maana naona umeumia sana.Hasa Wapemba ndio wanajiona waarabu hata jitu liwe jeusi kama lami!
Dini inakujaje hapo? Ukiwa mzungu lazima uwe na dini?Wewe mkuu humtetei mzungu? au wewe huna dini?
Ndio maana nimekuuliza, ina maana wewe humtetei mzungu au wewe sio christian?Dini inakujaje hapo? Ukiwa mzungu lazima uwe na dini?
Sidhani Kama hilo linawezekana kwa Sasa, wazanzibar waliopo bara ni wengi mno na wamejijenga vizuri kiuchumi, siyo rahisi kurudi Zanzibar.zanzibar = unguja + pemba., mimi binafsi naunga hoja yao ya kuwa na taifa lao huru.......then walioko huku bara warudi kwao, waje upya kama wawekezaji 😎 .........
Wakristo nasi tu waisraeli siyoDefinition ya sasa ya Uarabu haiangalii rangi, Sudan kuna watu weusi tii na ni Waarabu. Kwa sasa ukiongea Kiarabu na kuwa na mila na tamaduni za kiarabu wewe ni mwarabu.