jailos mrisho
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 647
- 1,360
Umenena vyema kabisaaa! Ni suala la muda tu hao wanaotaka kujitenga wakifanikiwa. Hi post itunzwee! Minority arabs watarud kwa mkono wa aman, then gues what next!! Wataanza kuwatenga majority ambao ni wamakonde walioikana asili yao na kudhani wao ni sawa na waapuuz waarabu! Wakati huo bara hatutahitaj usumbufuu wa kuwakaribisha kwa kukwepa manyanyasoo..So unaamini kabisa kabla ya waarabu zanzibar kulikua na kima tu hakukua na watu?
Unajua kwanin waarabu walipaita hapo Zanzibar
Back to your point wanakataa kuhusishwa na bara sababu wanataka kujitenga na hilo likifanikiwa majority watalia na kusaga meno huku wakimkumbuka kocha nyerere na minority wenye miziz mascut wataishi kama paradiso
Mwisho wa siku wataorganize the second revolution which i dont think they will succeed this time!