Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Mzaramo hawezi kuwa na wivu wa mapenzi wala kuumizwa kwasababu kuchepuka ni sehemu ya mapenzi kwaoUkisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko
Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress za mapenzi bila madhara.
Hawako serious na mapenzi,unaoa au kuolewa lkn nje una mtu wako mmoja au wawili.Wana ngoma zao ambazo ukienda unajibebea au kuchukuliwa na yoyote yule na wanafurahia,kwahiyo wivu haupo....Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko
Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress za mapenzi bila madhara.
Uislam.Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko
Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress za mapenzi bila madhara.
kumbe ww mtangaPwani yote kuanzia Tanga mpk Mtwara kazi yetu ni kula raha tu so kupigana chini ni sekunde tu unadaka chuma ingine
Umemaliza mjadalaLabda tamaduni yao ya kuwa na mke zaidi ya mmoja ina saidia.
Pia kule kuongea kwao sana kuna kuna saidia, mara nyingi wakiwa na dukuduku hawakai nalo moyoni wanaongea sana.
Swadaktaa..Labda tamaduni yao ya kuwa na mke zaidi ya mmoja ina saidia.
Pia kule kuongea kwao sana kuna kuna saidia, mara nyingi wakiwa na dukuduku hawakai nalo moyoni wanaongea sana.
Ushawahi ona sisi masai tuna wivu wa hayo mapenzi?Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko
Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress za mapenzi bila madhara.
Bibi Faiza kila kitu lazima tu ujitahidi uislam uingie.Uislam.
Hao hawana nguvu za mwili tu, lakini ni walozi wazuri.Kuna watu wa aina 2,
mmoja anaua au kujiua
mwingine analoga au kukuloga
lakini maumivu na stress yako pale pale. πππ
Bado una utoto.Mapenzi yana kanda au mkoa?Still a kid!Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko
Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress za mapenzi bila madhara.
Lazima ataje, sababu ndiyo dini inayoruhusu hayo mavitu ya kufanya ufuksa.Bibi Faiza kila kitu lazima tu ujitahidi uislam uingie.
Hilo ndo jibu 100%,Hao kwanza hata kuhudumia mwanamke hawana,kwa hio hata akichepuka hawana cha kupoteza tofaut na wanaume wa sehemu zingne ambao unajitoa kwa mwanamke vikali halafu unakuja gundua anamegwa kisela wew unafikir nin kitatokea?
Hapa umetupigaUislam.