Kwanini wazaramo hawaumizwi kimapenzi?

Kwanini wazaramo hawaumizwi kimapenzi?

Hawana uchungu na mwanamke kwa sababu ni wanaume docile na hawadumii wanawake wao ndiyo wanahudumiwa.

Wanaoa wanawake wengi pia hiyo nayo inapunguza kujishikiza kwa mwanamke mmoja tu.
Huko bara wapo waislam wenye wake wengi matukio yapo sababu ya kuhudumia, ile umiliki na ufahari mwanaume haimtoki hata awe na wake 100 ila km hahudumii inavyotakiwa inapoteza hiyo ufahari ndo hayo matokeo yake mke anagongwa nje mwanaume anaona poa hana cha kupoteza
 
Mafanikio au matatizo ya kimapenzi hutegemea mambo mengi ikiwa ni pamoja na afya ya kimwili, hali ya kihisia, mazingira na mahusiano ya kibinafsi. Hata hivyo, haiwezekani kufikiria kwamba watu kutoka eneo fulani hawahusiki na tatizo la kimapenzi kwa sababu ya asili yao ya kijiografia. Kwa hiyo ni muhimu kuwa na uelewa wa kina juu ya suala hili na kuhakikisha kwamba tunashughulika na ukweli na uhalisia wa masuala ya kimapenzi.
 
Huko bara wapo waislam wenye wake wengi matukio yapo sababu ya kuhudumia, ile umiliki na ufahari mwanaume haimtoki hata awe na wake 100 ila km hahudumii inavyotakiwa inapoteza hiyo ufahari ndo hayo matokeo yake mke anagongwa nje mwanaume anaona poa hana cha kupoteza
Kabisa kwanza wao kwa mwaka anaweza kuoa hata Mara nne au kuhama kwake na kuhamia kwa mwanamke bila hata aibu.

Wanaume wa pwani wanaishi Kama kunguru tu.
 
Kabisa kwanza wao kwa mwaka anaweza kuoa hata Mara nne au kuhama kwake na kuhamia kwa mwanamke bila hata aibu.

Wanaume wa pwani wanaishi Kama kunguru tu.
Wanajificha kwenye chaka la dini lakini ukweli ni kuwa hawavuji jasho kama ilivyoagizwa, mi na uanamke wangu huu ningekuwa mwanaume namuhudumia mke kwa kila kitu halafu nimkute anashikwa tu na mtu mwingine aaaiii nakuua kiukweli
 
Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko

Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress za mapenzi bila madhara.
Uelewa tu!

Mzaramo kwake uke wa mwanamke sio ishu ya kui consider kiviile,halafu hawekeziKwa ke kama wa pande hizi halafu Kuna options pale Kuna fumanizi ni talaka au na yeye anachepuka halafu haimuumi!!

Tatizo sisi tunawekeza Sana Kwa ndio maana inauma!mzaramo Hana hela za kuchezea!
 
Wanajificha kwenye chaka la dini lakini ukweli ni kuwa hawavuji jasho kama ilivyoagizwa, mi na uanamke wangu huu ningekuwa mwanaume namuhudumia mke kwa kila kitu halafu nimkute anashikwa tu na mtu mwingine aaaiii nakuua kiukweli
Uhudumie kila kitu halafu mtu akupandishie mabega au afanye usaliti lazima pachimbike.

Ila Pwani wala hawana shida kwanza wao ni ngumu kukuta mwanamke ana watoto wa baba mmoja au mwanaume mwenye watoto wa mama mmoja tu ni nadra sana.
 
Back
Top Bottom