Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawo mafiga matatu hawana shida kwani mmoja akiondoka anabaki na wawili; shida iko wapi?Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko
Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress za mapenzi bila madhara.
kila muda kavaa msuli atafanya kaz gan zaid ya kunywa kahawa?....vumilieni tu mapanga muhimu mfuate kanuni za kuwa mke wa mtu!Hilo ndo jibu 100%,
wanaume wa ukanda wa pwani ni wavivu hawahudumii familia ipasavyo wapo radhi mke agawe uroda nje ili apate kula mtu km huyu hawezi kuuua kisa mapenzi sababu ya ujinga wake na wengi wao ni baba wa nyumbani ila wanaume wa pwani hapanaaa acha tuendelee kukomaa na wauaji tu
Anazeeka vibaya huyu mzee 😂 😂Bibi Faiza kila kitu lazima tu ujitahidi uislam uingie.
Kuwa na adabu mzee, inaonekana dini yako inafundisha kutukana imani za wengine, hio sio dini ni chama cha siasaLazima ataje, sababu ndiyo dini inayoruhusu hayo mavitu ya kufanya ufuksa.
Umefanyaje?Uislam.
Una mafundisho mema sana kwa maisha ya kila siku ya mwana-Adam.Umefanyaje?
Tuishi kwa kanuni tu mi siwezi lea mtu ako na mbupu aiseekila muda kavaa msuli atafanya kaz gan zaid ya kunywa kahawa?....vumilieni tu mapanga muhimu mfuate kanuni za kuwa mke wa mtu!
Nyie endeleeni na ndoa zenu huku mkiteseka,wenye akili tuna enjoyMnajulikana kwa uvivu na kupenda kulelewa wanaume wote wa pwani sio uislam wala ukristo
Wanaume suruwali waoga waoga laini lainiNyie endeleeni na ndoa zenu huku mkiteseka,wenye akili tuna enjoy
Is how wanavyo ya define mapenzi. Makabila ya pwan kwa tamaduni zao wao mapenzi ni accessible kirahisi sana, sex ni rahisi sana kupatikana. So ukimzingua ana list ndefu. Unlike makabila mengine its not that simpleUkisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko
Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress za mapenzi bila madhara.
Umemaliza mjadala kula 5Uislam.
🤣🤣🤣🤣Umemaliza mjadala
Thread ifungwe
We si unaona jk na jpm walivyo
Pata picha jpm ndo kamuoa dada yako afu akamfumania na mwanaume,unahisi nini kitatokea?