Kwanini wazaramo hawaumizwi kimapenzi?

Kwanini wazaramo hawaumizwi kimapenzi?

Mzaramo hawezi kuwa na wivu wa mapenzi wala kuumizwa kwasababu kuchepuka ni sehemu ya mapenzi kwao

Yaani Mwanamke asipochepuka wanamshangaa na kumsuta mpaka achepuke na Wanaume kadhaa...asipochepuka wanamuuliza vp mwenzetu we Mgonjwa?

Si hilo tu, hata asipohudhuria katika vigodoro wanamshangaa sana

Hilo walishalizoea tangu enzi na enzi
Hoja zako mufilisi,na sio wazaramo sema waislam upumbavu wa kuuana kisa mapenzi walishatika huko.Huwezi ukakaa ukaona muislam kamtia shoka mkewe kisa mapenzi.

Hapo ndio tulipojichukulia point3,ule utaratibu wa kuoa wanawake 1_4 ndio umewanya wengi kuwa watulivu.

Kinachowatesa wenzetu unakuwa na mwanamke mmoja(taratibu)huwezi kuoa mwingine hivyo mwanamke anafanya atakavyo akijua hawezi kuachwa,yaan hata usikie analiwa wewe utabaki na moyoni au ndio mpigane muwane
 
Hilo ndo jibu 100%,

wanaume wa ukanda wa pwani ni wavivu hawahudumii familia ipasavyo wapo radhi mke agawe uroda nje ili apate kula mtu km huyu hawezi kuuua kisa mapenzi sababu ya ujinga wake na wengi wao ni baba wa nyumbani ila wanaume wa pwani hapanaaa acha tuendelee kukomaa na wauaji tu
Huku kukosa hoja mkuu,yaan wanaume hawahudumii familia zao????

Kitendo cha uislam kuruhusu mwanaume kuoa mwanamke zaidi ya mmoja hili jambo ndio limeleta utulivu mkubwa mko.

Kosa la kwenu (ukristo)kuruhusiwa kuoa mke mmoja yaan hata mwanamke awe muhuni,malaya wewe utakufa nae hili ndio maana linawapelekea muishi kwa dukuduku mwishowe unauana kila siku.

Wengi wanatoa hoja za chuki na kuukataa ukweli,kwenu kinachowatesa ni ile hali ya kuoa mke mmoja na kutokuwa na mfumo wa talaka na ndio maana mnaona bora muuane
 
Sasa niue na ilihali najua bado nadaiwa kuongeza mke au wake wengine ?
Alafu mind you sio kila mzaramo ni kilopolopo Kama mnavyosema kuwa tunaongea sana sio kweli ,mapenzi hayaumizi ikiwa unaishi kwenye misingi halisi ya uislamu sio habari ya uzaramo wala ukanda wa ziwa .
 
Mzaramo hawezi kuwa na wivu wa mapenzi wala kuumizwa kwasababu kuchepuka ni sehemu ya mapenzi kwao

Yaani Mwanamke asipochepuka wanamshangaa na kumsuta mpaka achepuke na Wanaume kadhaa...asipochepuka wanamuuliza vp mwenzetu we Mgonjwa?

Si hilo tu, hata asipohudhuria katika vigodoro wanamshangaa sana

Hilo walishalizoea tangu enzi na enzi
Utadhani Watswana (Botswana). Watswana akimkumbuka mpenzi wa zamani anmuaga kabisa Mme wake kuwa anaenda kulala kwa mpenzi wake wa Zamani. Ni kawaida sana na wala hakuna ugomvi.
 
Hoja zako mufilisi,na sio wazaramo sema waislam upumbavu wa kuuana kisa mapenzi walishatika huko.Huwezi ukakaa ukaona muislam kamtia shoka mkewe kisa mapenzi.

Hapo ndio tulipojichukulia point3,ule utaratibu wa kuoa wanawake 1_4 ndio umewanya wengi kuwa watulivu.

Kinachowatesa wenzetu unakuwa na mwanamke mmoja(taratibu)huwezi kuoa mwingine hivyo mwanamke anafanya atakavyo akijua hawezi kuachwa,yaan hata usikie analiwa wewe utabaki na moyoni au ndio mpigane muwane
Tukumbushe yule Bwana wa Kigamboni aliyemchoma Mkewe kwa gunia za mkaa alikuwa dini gani vile?
 
Huku Pwani mapenzi yanaanza kwa mtoto wakati hajabalehe, kwahiyo ni kawaida tu kwao,lakini tunaotokea Bara huko interior of Tanzania ambako hakuna vigodoro,tunajua mapenzi 20+ wakati mzaramo kwa umri huo awe me/ke anakuwa amecheza mechi nyingi hadi na wazee
 
Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko

Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress za mapenzi bila madhara.
Kipaumbele kwao ni msosi mzuri mzuri Tu sio mapenzi, uzaramoni unaweza Kula Binti, Dada MTU na hata Mama Mkwe na wote wakajua na hawana Shida.

Pili, uzaramoni Mtoto sio wa mume, ni wa upande wa kikeni (ujombani), Mjomba ana nguvu Sana KULIKO wewe mume.
 
Huku kukosa hoja mkuu,yaan wanaume hawahudumii familia zao????

Kitendo cha uislam kuruhusu mwanaume kuoa mwanamke zaidi ya mmoja hili jambo ndio limeleta utulivu mkubwa mko.

Kosa la kwenu (ukristo)kuruhusiwa kuoa mke mmoja yaan hata mwanamke awe muhuni,malaya wewe utakufa nae hili ndio maana linawapelekea muishi kwa dukuduku mwishowe unauana kila siku.

Wengi wanatoa hoja za chuki na kuukataa ukweli,kwenu kinachowatesa ni ile hali ya kuoa mke mmoja na kutokuwa na mfumo wa talaka na ndio maana mnaona bora muuane
Mnajulikana kwa uvivu na kupenda kulelewa wanaume wote wa pwani sio uislam wala ukristo
 
Hoja zako mufilisi,na sio wazaramo sema waislam upumbavu wa kuuana kisa mapenzi walishatika huko.Huwezi ukakaa ukaona muislam kamtia shoka mkewe kisa mapenzi.

Hapo ndio tulipojichukulia point3,ule utaratibu wa kuoa wanawake 1_4 ndio umewanya wengi kuwa watulivu.

Kinachowatesa wenzetu unakuwa na mwanamke mmoja(taratibu)huwezi kuoa mwingine hivyo mwanamke anafanya atakavyo akijua hawezi kuachwa,yaan hata usikie analiwa wewe utabaki na moyoni au ndio mpigane muwane
Yule jamaa aliyemchoma mtu na gunia la mkaa alikuwa dini gani ?
 
Yule wa mwanza alimwagwa ubongo nao walikuwa waislam huyu asijifiche kwnye dini wanaume wa pwani ni wavivu wapo tayari kushare k kisa apate kula
Hawana uchungu na mwanamke kwa sababu ni wanaume docile na hawadumii wanawake wao ndiyo wanahudumiwa.

Wanaoa wanawake wengi pia hiyo nayo inapunguza kujishikiza kwa mwanamke mmoja tu.
 
Back
Top Bottom