Siyo uislam jamii hizo ni matrilineal automatically zinakuwa siyo aggressive sana.Najua hili jibu makafiri wamelichukia na kuliponda sana lakini ndo JIBU KUU. Pwani imestaarabishwa mno na Uislamu; mfumo mzima wa maisha umewekwa humo na anayeufuatilia ana uwezo kutatua changamoto nyingi zinazomkabili bila kuathiriwa na hisia zake binafsi. Si mapenzi tu, lakini nyie haters hebu fuatilieni pia kesi za mauaji zinazotokea sehemu za pwani za mambo km
-madeni
-mali/urithi
-hisia za uchawi n.k kisha linganisheni na huko bara (porini) kwenu.
Si wa kwanza wewe kutoa kauli kama hiyo, tena nimewahi kuzisikia kali zaidi ya hiyo; lakini mwishowe walipoonjeshwa mahaba ya pwani niliwasikia wakiwa wamepagawa kwa maraha hadi kufikia kugugumia kwa sauti kama ya mbuzi 'meee meee' wakati wa kupokea jihogo la jang'ombe lililonakshiwa kwa mafuta ya nazi kavu ya mdondo.Siwataki hata bure
Una hoja hapa kiongozi, lakini bado naendelea kuamini hiyo dini, kwa huku kwetu imechangia sana hali hiyo.Siyo uislam jamii hizo ni matrilineal automatically zinakuwa siyo aggressive sana.
Mkoa mwingine wenye jamii matrilineal ni Singida hauna rekodi ya mauaji
Hii sasa ndo fani yenu sio utafutajiSi wa kwanza wewe kutoa kauli kama hiyo, tena nimewahi kuzisikia kali zaidi ya hiyo; lakini mwishowe walipoonjeshwa mahaba ya pwani niliwasikia wakiwa wamepagawa kwa maraha hadi kufikia kugugumia kwa sauti kama ya mbuzi 'meee meee' wakati wa kupokea jihogo la jang'ombe lililonakshiwa kwa mafuta ya nazi kavu ya mdondo.
Yeah, ndo maana tunawaomba msaada wa vyakula kila leo, sio?!!!Hii sasa ndo fani yenu sio utafutaji
Yani nyie mnatia hadi hurumaYeah, ndo maana tunawaomba msaada wa vyakula kila leo, sio?!!!
Unafuatilia vizuri lakini?!!!!Yani nyie mnatia hadi huruma
Nataka nilale usiku mwemaUnafuatilia vizuri lakini?!!!!
Na kwako, kama nakuona vile unavyojiachia hapo kutandani......mguu mmoja huku mwingine kuleeee kwa raha zako.Nataka nilale usiku mwema
"kausha damu, chu*i mkononi" yote yametokea kwa hao... wataalam wa kukopa nakuhama mtaa.Yani nyie mnatia hadi huruma
Hamna kitu wale majungu ndo kitu wanaweza"kausha damu, chu*i mkononi" yote yametokea kwa hao... wataalam wa kukopa nakuhama mtaa.
Mkuu Denaa JG, mbona umalaya wao hauendani na athari za zinaa kama Aids na Kaswende? Yaani ni vipi, kama ni kweli kwamba huko Pwani, kupewa mfereji na mke wa mtu sio issue, kwamba maambukizi ya maradhi ya zinaa ni makubwa Kanda ya Magharibi na nyanda za juu kuliko Pwani? Mfano, Njombe, maambukizi ya Ukimwi ni takriba 14%, wakati Pwani ni below 5% ?Wazaramo naturally ni malaya ndio maana hawana wivu wa mapenzi, simply hawatoi moyo wao kizembe kwa mtu mmoja hata awe mume au mke wa ndani.
Hawajui kupoteza muda kumfikiria mtu mmoja wao muda mwingi wako mbio mbio tu, kanuni yao ni moja tu; ukinizingua nakuzingua lakini ukija na story tunapiga na kucheka tutacheka ukipenda, hamna kununiana.
uislam unaua kwa bomuUislam.
Wazaramo kwanza hutumia wake zao kama mtaji wa kuongeza kipato. Nimeshaishi nyumba ya kupanga Kinondoni mbona mwanamke wa Kizaramo alikuwa anamegwa tu na mume anajuwa.Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko
Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress za mapenzi bila madhara.
Sahihi kabisa, mzaramo hakai na dukuduku, ni moja ya jamii inayoishi maisha simple sana na kuridhika nayo.Labda tamaduni yao ya kuwa na mke zaidi ya mmoja ina saidia.
Pia kule kuongea kwao sana kuna kuna saidia, mara nyingi wakiwa na dukuduku hawakai nalo moyoni wanaongea sana.
Chalinze Kuna wakwere ni jamii hiyo hiyo ya kizaramo na hata lugha wanasikilizanaHivi wanaokaa chalinze ni kabila gani kama ndio wazaramo basi wanawake wa kizaramo mlindwe
Ushauliwa mara ngapi na bomu la Uislam?uislam unaua kwa bomu
Dear kumbe umejikita kwenye threads za mapenzi!Ushauliwa mara ngapi na bomu la Uislam?
Bara ipi unayozungumza? Vitoto vinatifuana vichakani na wazee wasiokuwa na aibu!Huku Pwani mapenzi yanaanza kwa mtoto wakati hajabalehe, kwahiyo ni kawaida tu kwao,lakini tunaotokea Bara huko interior of Tanzania ambako hakuna vigodoro,tunajua mapenzi 20+ wakati mzaramo kwa umri huo awe me/ke anakuwa amecheza mechi nyingi hadi na wazee