Kwanini wazazi wanakuwa wagumu kuwapa watoto mitaji kuanzisha biashara?

Kwanini wazazi wanakuwa wagumu kuwapa watoto mitaji kuanzisha biashara?

goroko77

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2019
Posts
8,845
Reaction score
13,072
Hbr za siku,

Nina rafika yangu wazazi wake wote walikuwa waajiriwa wa taasisi za umma na kwa Kweli walifikia hadi nafasi za juu sana katika hizo taasisi walizo ajiriwa hivyo mishahara na pension zao ziko vizuri mno.

Hoja
Jamaa ni mwaka wa nne hana kazi ni kula kulala tu amejaribu kuomba angalu wampe 10m aanzishe baishara za kuuza simu na kisha kuuza rejareja nao pia wamemkatalia, wazazi wanamumbia akazane kutafuta kazi na hata ameombewa kujitolea katika taasisi mmoja ila jamaa alikwemda miezi mitatu tu akaacha kwa alikuwa anaona wageni wanakuja wapaya waliopata ajira na yeyr kuendelea kubaki bila mkataba hvyo akaona uchungu akarudi zake nyumbani kwenda kula na kulala.

Nimemshauri aanzishe hata biashra za kuuza cement na naondo kwani mtaa anao kaa Kuna majenzi sana yanaendelea na uhitaji ni mkubwa pia anasema wazazi wake hataki kufanya hzo Kazi na bora atulie nyumbani na kwenda kuwafata wadogo zake pindi wakitoka mashuleni.

"Wazazi toeni mitaji vijna wakajikwamue kiuchumi. Hakuna michongo kabisa wanao pata kaz ni wale wale na ndio maana hata TRA wamerudisha zoezi la ajira kwenye mamlaka hiyo ili kuendeleza kizazi katk taasisi hiyo.
 
Hbr za siku !
Nina rafika angu wazazi wake wote walikuwa waajiriwa wa taasis za ummma na kwa Kweli walifikia Hadi nafsi za juu sana katika hzo taasis walizo ajiriwa ,hvyo mishahara na pension zao ziko vzr mno

Hoja
Jamaa Ni mwaka wa nne Hana kazi Ni kula kulala tu amejaribu kuomba angalu wampe 10m aanzishe baishara za kuuza simu na Kisha kuuza rejareja nao pia wamemkatalia ,wazazi wanamumbia akazane kutafuta Kaz na hata ameombewa kujitolea ktk taasis mmoja ila jamaa alikwemda miezi mitatu tu akaacha kwa alikuwa anaona wageni wanakuja wapaya waliopata ajira na yey kuendelea kubaki bila mkataba hvyo akaona uchungu akarudi zake nyumbani kwenda kula na kulala

Nimemshauri aanzishe hata biashra za kuuza cement na na naondo kwani mtaa anao kaah Kuna majenzi sna yanaendelea na. Uhitaji Ni mkubwa pia .,anasema wazaz wake hataki kufanya hzo Kaz na Bora atulie nyumbani na kwmeda kuwafata wadogo zake pindi wakitoka mashuleni

"Wazazi toeni mitaji vijna wakajikwamue kiuchumi Haukana michongo kbsa wanao pata Kaz Ni wale wale Na ndio maana hata TRA wamerudisha zoezi la ajira kwenye mamlaka hyo ili kuendeleza kizazi katk taasis hyo
Kwani si wame msomesha ajiongeza tena wampe mtaji huo ni unyanyasaji wa wazee hao, mtoto kama hawezi kubuni au kutafuta kazi ni lofa tu kama malofa wengine, free food accommodation, clothing bado unasimbua wazazi kweli.
 
Hawana pesa hao, mwambie rafiki yako ajiongeze.

Pesa za upigaji ukiwa kazini ukistaafu hazipo.
Mkuu Bab ake alikuwa fisadi mzuri tu hvyo atakuwa kachota San ,had awaambie wazazi wake wanunue gar la tour apige Kaz za utalii mjini Arusha nayo pia wamemgomeaa kbsaa
 
Kwani si wame msomesha ajiongeza tena wampe mtaji huo ni unyanyasaji wa wazee hao, mtoto kama hawezi kubuni au kutafuta kazi ni lofa tu kama malofa wengine, free food accommodation, clothing bado unasimbua wazazi kweli.
Waliambiwa wazae watoto ?

Maisha ya Sasa sio kama ya zamani ,ajira kizungumkuti Kwa ground mambo sio rahisi kama kuanzisha biashara unaweza usisimame hata miaka 5 .

Kama elimu watu wengi wanazo sio kama zamani .
 
M
Rafiki yako anaonekana Ni mzembe Hana bidii ya Kufanya kazi ndo maana hata wazazi wake hawana imani naye.
Mm nimekuwa namshauri ishu za kufanya nyepesi nyepesi ameshindwa SAS HV Yuko hapa ofcn kwangu kuzuga na kuniona ninavyo menyekaa
 
Mkuu Bab ake alikuwa fisadi mzuri tu hvyo atakuwa kachota San ,had awaambie wazazi wake wanunue gar la tour apige Kaz za utalii mjini Arusha nayo pia wamemgomeaa kbsaa
Haya mfano kwao Arusha huko dili kibao kama mjini pale watu ni wengi ,wanashindwa kumpa chochote akapiga dili.

Hao ndo wazazi weusi.
 
Waliambiwa wazae watoto ?

Maisha ya Sasa sio kama ya zamani ,ajira kizungumkuti Kwa ground mambo sio rahisi kama kuanzisha biashara unaweza usisimame hata miaka 5 .

Kama elimu watu wengi wanazo sio kama zamani .
Sawa sio rahisi kusimama bila sapoti ila anzisha waone juhudi zako, ndo wapate mwoyo litoto linaomba lipewe 10m ila halijawahi kupambana kupata 500k yakwake, hapo kweli kuna mtu wakufanya biashara au kupoteza pesa tu, wazazi wengi wanajua uwezo na akili za wanao so akiamua kutompa ntaji some time ni kumnusuru litakalo mpata akiwa na pesa.
 
Huyo atakuwa anataka biashara ya kuwaringishia wadada mtaani, haiwezekani wazee wake wamtupe kiasi hicho....jamaa atakuwa anabagua kazi na zoote anazotaka kuanzisha ni za kibishoo....ajaribu kilimo aone kama hawatamsapoti.
 
Sawa sio rahisi kusimama bila sapoti ila anzisha waone juhudi zako, ndo wapate mwoyo litoto linaomba lipewe 10m ila halijawahi kupambana kupata 500k yakwake, hapo kweli kuna mtu wakufanya biashara au kupoteza pesa tu, wazazi wengi wanajua uwezo na akili za wanao so akiamua kutompa ntaji some time ni kumnusuru litakalo mpata akiwa na pesa.
Inawezekana dogo ni malezi mpaka akaona kila kitu kipo .

Jamaa nilisoma nae advance alikuwa mtoto wa mwisho na kwao wapo wawili,alimaliza pale Mwalimu Nyerere na kazi alipata wilayani akakataa ..

Akafosi Mzee wake ampe mtaji mpaka akapewa anauza nguo kariakoo ,kashasimama kitambo .

Kwa ground alilelewa kinyanya sana na pesa alikuwa anapata Kwa wazazi mda wote yeye ndo wa mwisho ila Mzee wake sio haba alikuwa TRA..
 
Inawezekana dogo ni malezi mpaka akaona kila kitu kipo .

Jamaa nilisoma nae advance alikuwa mtoto wa mwisho na kwao wapo wawili,alimaliza pale Mwalimu Nyerere na kazi alipata wilayani akakataa ..

Akafosi Mzee wake ampe mtaji mpaka akapewa anauza nguo kariakoo ,kashasimama kitambo .

Kwa ground alilelewa kinyanya sana na pesa alikuwa anapata Kwa wazazi mda wote yeye ndo wa mwisho ila Mzee wake sio haba alikuwa TRA..
Duh inawezakana hiyo biashara inasimamiwa na wazazi wake ile hasara isionekane, kwasbb biashara hapa Tz ni most complicated hasa kwa anae anza, wenye mitaji mikubwa wanaweza kusimama kwa mda mrefu kwasbb hasara kwao haiathiri sana.
 
Duh inawezakana hiyo biashara inasimamiwa na wazazi wake ile hasara isionekane, kwasbb biashara hapa Tz ni most complicated hasa kwa anae anza, wenye mitaji mikubwa wanaweza kusimama kwa mda mrefu kwasbb hasara kwao haiathiri sana.
Ila madogo wengi wakiona kwao zipo basi wanakuwa na jeuri kinoma .

Kuna Wana wanajua kabisa makwao hamna kitu na wanajilipua mapema kabla hali haijakuwa mbaya.

Kwa ground mambo magumu asili ya malezi yatampa mtoto dira afanyaje nini kukabiliana na maisha.
 
Hbr za siku,

Nina rafika yangu wazazi wake wote walikuwa waajiriwa wa taasisi za umma na kwa Kweli walifikia hadi nafasi za juu sana katika hizo taasisi walizo ajiriwa hivyo mishahara na pension zao ziko vizuri mno.

Hoja
Jamaa ni mwaka wa nne hana kazi ni kula kulala tu amejaribu kuomba angalu wampe 10m aanzishe baishara za kuuza simu na kisha kuuza rejareja nao pia wamemkatalia, wazazi wanamumbia akazane kutafuta kazi na hata ameombewa kujitolea katika taasisi mmoja ila jamaa alikwemda miezi mitatu tu akaacha kwa alikuwa anaona wageni wanakuja wapaya waliopata ajira na yeyr kuendelea kubaki bila mkataba hvyo akaona uchungu akarudi zake nyumbani kwenda kula na kulala.

Nimemshauri aanzishe hata biashra za kuuza cement na naondo kwani mtaa anao kaa Kuna majenzi sana yanaendelea na uhitaji ni mkubwa pia anasema wazazi wake hataki kufanya hzo Kazi na bora atulie nyumbani na kwenda kuwafata wadogo zake pindi wakitoka mashuleni.

"Wazazi toeni mitaji vijna wakajikwamue kiuchumi. Hakuna michongo kabisa wanao pata kaz ni wale wale na ndio maana hata TRA wamerudisha zoezi la ajira kwenye mamlaka hiyo ili kuendeleza kizazi katk taasisi hiyo.
Huyo unayemwongelea ni me au ke??
 
Hbr za siku,

Nina rafika yangu wazazi wake wote walikuwa waajiriwa wa taasisi za umma na kwa Kweli walifikia hadi nafasi za juu sana katika hizo taasisi walizo ajiriwa hivyo mishahara na pension zao ziko vizuri mno.

Hoja
Jamaa ni mwaka wa nne hana kazi ni kula kulala tu amejaribu kuomba angalu wampe 10m aanzishe baishara za kuuza simu na kisha kuuza rejareja nao pia wamemkatalia, wazazi wanamumbia akazane kutafuta kazi na hata ameombewa kujitolea katika taasisi mmoja ila jamaa alikwemda miezi mitatu tu akaacha kwa alikuwa anaona wageni wanakuja wapaya waliopata ajira na yeyr kuendelea kubaki bila mkataba hvyo akaona uchungu akarudi zake nyumbani kwenda kula na kulala.

Nimemshauri aanzishe hata biashra za kuuza cement na naondo kwani mtaa anao kaa Kuna majenzi sana yanaendelea na uhitaji ni mkubwa pia anasema wazazi wake hataki kufanya hzo Kazi na bora atulie nyumbani na kwenda kuwafata wadogo zake pindi wakitoka mashuleni.

"Wazazi toeni mitaji vijna wakajikwamue kiuchumi. Hakuna michongo kabisa wanao pata kaz ni wale wale na ndio maana hata TRA wamerudisha zoezi la ajira kwenye mamlaka hiyo ili kuendeleza kizazi katk taasisi hiyo.
Siamaini katika biashara ya mtaji wa kupewa na nitamshangaa sana Baba wa namna hiyo
Biashara anzisha mwenyewe pambana ufikie pahala then ndo utanishawishi Mimi Baba nikuongezee fedha uzidi zaidi na zaidi
Hii mitaji ya kupewa unaenda jaribisha biashara niamini hutoboi nakwambia
 
Back
Top Bottom