Kwanini wazazi wanakuwa wagumu kuwapa watoto mitaji kuanzisha biashara?

Kwanini wazazi wanakuwa wagumu kuwapa watoto mitaji kuanzisha biashara?

Wazazi wake wanamfahamu na wanampenda mtoto wao vizuri zaidi kuliko wewe uliyekutana naye ukubwani...!

That's it
Hakuna mapenzi hapo ni ujinga, Wazazi watakufa watamuachia maisha mabovu sana, na hata kama kuna mijengo ya urithi itauzwa tu na shida zinabaki palepale.
 
Abandike kibao nje ya nyumba yao "TUNAUZA ICE CREAM" na awe anauza kweli. Watu watasaidia kumwambia mzee mbona mwanao anakuchafulia jina, si umpe mtaji wa maana atoke!
Ila kama mzee kauzu haisaidii kitu
 
Wazazi wengi sana Wa Tanzania bado hawana exposure ya dunia inakoenda, bado kuna mifumo flani sana wanaiamini!

Hapa chini ni quote kutoka kwa jamaa angu mmoja Wa karibu sana akilaumu

" Familia yangu katika story huwa nikijaribu kuingiza mada za kujiajiri provided capital ipo ndani au nje ya uwezo wao basi unaona kabisaa wamebadirika na hawafurahi hayo maongezi, wanaona ni kama umekubali failure, umekataa tamaa, ila wanapenda sana kusikia umekuwa(.....) officer katika taasisi flani hapo wanaona ndio umefuzu na story hizo wanapenda kuziskia na utaskia wanakuambia tunakuombea sana iwe hivyo"

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Apite hivi akapambanie kombe mbele huko apo atazeeka Hana kazi Hana pesa na Hana biashara .
 
Hakuna mapenzi hapo ni ujinga, Wazazi watakufa watamuachia maisha mabovu sana, na hata kama kuna mijengo ya urithi itauzwa tu na shida zinabaki palepale.


Wazazi wengi wanakaza unakula msoto.

Badala ya kukupa mtaji pale pale unapomaliza chuo una miaka 23 ili uanze maisha kabisa.

Wao wanakukazia hawakupi mali zao wala mtaji wowote. Ila wanapofariki ndipo unapata urithi sababu ni mtoto wao wakati una miaka 40 ama 50 ushakuwa frustrated na traumatized sana kwa stress za unmployment.. hizo mali huwezi kuzitunza vizuri
 
Tukiachana na wazazi wa kibongo ambao tunajua weng hupenda watoto waajiriwe sababu biashara na fani zingine zina dharaulika kweny jamii

huyo rafik pia ni tatzo huwez kukaa ndan kula na kulala halaf unataka upewe M.10 ndipo uanze biashar hat mim ningekuwa mzazi wake simpi
ni risk kubwa
kutoka kulala had ku-manage M10 katkat ya wajanja walio anzia chin

huyu ni sawa na fund ujenz ambae hajasogeza hata tofali moja site halaf anaomba hela ya kupaua
 
Shida Vijana hamuaminiki hasa Vijana wa kibongo pesa ambayo hajaitolea jasho mwenyewe akipewa anaona Kama vile ameila betting full kwenda kuning'ia kitambaa cheupe. Kosa ikatize chupi mbele yake anayo wewe unadhani wazazi wake wajinga kiasi hicho mpaka wasimpe hiyo M10 aliyoomba? Alishazoea kula kulala ndio maana hata huko kazini alipiga miezi mitatu 3 tu akarudi home kugombania kiporo na madogo Faaala huyo... Mida mingine wazazi mnawasema bure tu na nyie mjitafakali kenge wasela nyie hivi wewe unadhani Kama ulikuwa tu unapewa Ada kwenda kulipa shule na unaila au unaipeleka chini ya uangalizi wa polisi [emoji38][emoji38][emoji38]je hiyo M10 so mtahamia viwanja vya Bata nyie kizazi Cha Mama Blueband imeisha
 
Huenda walishamchunguza wakagundua hana nidhamu ya pesa. Atafute zake mwenyewe ili ajue ugumu wa kupata pesa.
Ndo mana nilisema pale juu, "wazazi wake wanamjua na kumpenda mtoto wao vizuri zaidi ya mtu yoyote yule" sometimes tunakurupuka ku judge familia za watu kimakosa...

Mtoto mwenye nia ya kufanya biashara utaona jitihada zake mapema tu, kisha msaada unakuwa ni kum boost tu...

Wengi wanaosema naomba mtaji nifanye kitu flani...huwa ni uzushi sana...kutafta mtu wa kumlaumu...

Sidhani kama mtoto angekuwa ashafanya kitu flani awali, kama ni biashara, af wazazi wakaona mtoto wao anahitaji kuongezewa ktk biashara aloanzisha, af wakamkatalia kusudi...hawapo wazazi wa aina hiyo...

Wazazi wanawajua watoto wao vizuri zaidi ya marafiki...
 
Sawa sio rahisi kusimama bila sapoti ila anzisha waone juhudi zako, ndo wapate mwoyo litoto linaomba lipewe 10m ila halijawahi kupambana kupata 500k yakwake, hapo kweli kuna mtu wakufanya biashara au kupoteza pesa tu, wazazi wengi wanajua uwezo na akili za wanao so akiamua kutompa ntaji some time ni kumnusuru litakalo mpata akiwa na pesa.
Ila kweli
Duh inawezakana hiyo biashara inasimamiwa na wazazi wake ile hasara isionekane, kwasbb biashara hapa Tz ni most complicated hasa kwa anae anza, wenye mitaji mikubwa wanaweza kusimama kwa mda mrefu kwasbb hasara kwao haiathiri sana.
 
Duh inawezakana hiyo biashara inasimamiwa na wazazi wake ile hasara isionekane, kwasbb biashara hapa Tz ni most complicated hasa kwa anae anza, wenye mitaji mikubwa wanaweza kusimama kwa mda mrefu kwasbb hasara kwao haiathiri sana.
Umeongee point mno game ya biashra a ha kbsa mm Niko ajira binafsi ila natamani smtm niajiriwe tu na mm mank bishta haitabiriki
 
Kushinda kulala nyumban kajitahidi haoneshi juhudi binafsi
 
Hpna Hawa wazazi hawan motive za kuajiajiri wao hupendelee Kaz Zaid na mzee wake kawekeza kwenye apartment so yey mzee na mkee hawaaminiktk kujitafutiaa aanaini kwemye ajira tu na kupiga ufisadi
Ndo mana nilisema pale juu, "wazazi wake wanamjua na kumpenda mtoto wao vizuri zaidi ya mtu yoyote yule" sometimes tunakurupuka ku judge familia za watu kimakosa...

Mtoto mwenye nia ya kufanya biashara utaona jitihada zake mapema tu, kisha msaada unakuwa ni kum boost tu...

Wengi wanaosema naomba mtaji nifanye kitu flani...huwa ni uzushi sana...kutafta mtu wa kumlaumu...

Sidhani kama mtoto angekuwa ashafanya kitu flani awali, kama ni biashara, af wazazi wakaona mtoto wao anahitaji kuongezewa ktk biashara aloanzisha, af wakamkatalia kusudi...hawapo wazazi wa aina hiyo...

Wazazi wanawajua watoto wao vizuri zaidi ya marafiki...
 
Sasa mshauri kitu kizuri tu mwambie ajenge banda la genge la kuuza nyanya hapo hapo kwao halafu aone baba yake atachukuwa hatuwa gani.
🤣🤣🤣🤣🤣 Ila wee dkt acha kbsa hufai unajuwa kukera sana
 
Nimejikuta napata hasira tu aiseeee....
Yaani vijana wa skuizi wengi mnaulemavu wa akili kabisa.....
Yaani pamoja na mzazi kukusomesha na ukapata maarifa then bado unaona kama unaonewa bado...😕
 
Abandike kibao nje ya nyumba yao "TUNAUZA ICE CREAM" na awe anauza kweli. Watu watasaidia kumwambia mzee mbona mwanao anakuchafulia jina, si umpe mtaji wa maana atoke!
Ila kama mzee kauzu haisaidii kitu
Mm na mm ilinitokea hvyo nimepigika mno ila broo ana pesa mno Hadi kuonga mademu viwanja hajawai niwezesha Jambo lolote nikaona isiwe ujinga nikaanza kuuza kuni za masheree ya harusi siku moja nikasikia Kuna harusi sehemu fln huko moshono nilikwenda kuomba tenda ya kuzambaza kuni kumbe nilimkuta yey ndio mwemye kiti wa kamati was ile harusi jamaa alijisikiaa vibaya sna pindi nilivyo itwa nijeleze kuhusu Bei na Aina za kuni jamaa alibaki kushanga tokeaa siku zile aliniheshimu mno
 
Wazazi wengi sana Wa Tanzania bado hawana exposure ya dunia inakoenda, bado kuna mifumo flani sana wanaiamini!

Hapa chini ni quote kutoka kwa jamaa angu mmoja Wa karibu sana akilaumu

" Familia yangu katika story huwa nikijaribu kuingiza mada za kujiajiri provided capital ipo ndani au nje ya uwezo wao basi unaona kabisaa wamebadirika na hawafurahi hayo maongezi, wanaona ni kama umekubali failure, umekataa tamaa, ila wanapenda sana kusikia umekuwa(.....) officer katika taasisi flani hapo wanaona ndio umefuzu na story hizo wanapenda kuziskia na utaskia wanakuambia tunakuombea sana iwe hivyo"

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Wahaya ndio wanatabia hzo za kupenda privilege na. Title kubwa
 
Back
Top Bottom