Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Wakati wa mwezi mtukufu wa ramadhan unakaribia vijana wanavuta jiko na wengine wanaongeza mke wa pili,tatu mpaka wa nne kama dini inavyoruhusu.
Kuna tukio limetokea juzi mama wa binti ni muislam Safi tu na mumewe ni shekh mkubwa Ila mama wa binti amekataa mtoto wake kuolewa mke wa pili,
Je hii ni haki muislam unakataa mtoto wako kuolewa mke wa pili kama dini inavyoruhusu.
Naomba kuwasilisha
Kuna tukio limetokea juzi mama wa binti ni muislam Safi tu na mumewe ni shekh mkubwa Ila mama wa binti amekataa mtoto wake kuolewa mke wa pili,
Je hii ni haki muislam unakataa mtoto wako kuolewa mke wa pili kama dini inavyoruhusu.
Naomba kuwasilisha