Ungu wa wapi ...taifa gani,Wakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Tatizo nyie hamjawahi kuishi na wazungu kule kwao, mnaona moja moja hapa wanao kuja kutalii au kufanya kazi kwa mda, ila ukweli wazungu wana kula sana ×2 ya wa Africa na wengi wana obesity......ulaji wao una weza kuuliganisha na kuku wa kufuga wa nyama broilers.Wakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Wamarekani ni watu gani mkuu ana watu wa rangi gani?Boss hoja yako nzuri lakini Kifupi tu ndugu, wamarekani sio wazungu. Wazungu wannatoka ulaya pekee
Hii pia mimi nimeshangaa sana yaani wazungu wawili kumemfanya hatutoe akili wa Afrika woteWazungu wako 2 hao uliokutana nao ndio uje kututolea mfano hapa?
40% ya wamarekani ni overweight na obese kutokana na kula hovyo na ulaji usiopangiliwa na inakadiriwa kufikia 2030 60% ya wamarekani watakua overweight kutokana na kula hovyo wewe unasema wazungu hawali sana? Kwa hiyo overweight wameitoa mbinguni?
Ukiangalia mataifa na watu walionenepeana hovyo Duniani utakuja kutuweka sisi waafrika na kula yetu ya hovyo unayoisema?
Shuleni mnasoma nini siku hizi? Yaani sample size ya watu 2 tayari ushafanya conclusion? Aisee.
Now days shuleni tunasomea ujinga😁😁😁Wazungu wako 2 hao uliokutana nao ndio uje kututolea mfano hapa?
40% ya wamarekani ni overweight na obese kutokana na kula hovyo na ulaji usiopangiliwa na inakadiriwa kufikia 2030 60% ya wamarekani watakua overweight kutokana na kula hovyo wewe unasema wazungu hawali sana? Kwa hiyo overweight wameitoa mbinguni?
Ukiangalia mataifa na watu walionenepeana hovyo Duniani utakuja kutuweka sisi waafrika na kula yetu ya hovyo unayoisema?
Shuleni mnasoma nini siku hizi? Yaani sample size ya watu 2 tayari ushafanya conclusion? Aisee.
Hujuwi usemaloWakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Inawezekana labda hawali chakula kibngi wakiwa huku, ila kwao wanakula sana nadhani sababu ya baridi. |Kuna siku niikwenda nao field sehemu moja inaitwa Maastrcht. Wakati tunarudi jioni tukapita kula dinner kwenye mji mmoja unaitwa Breda. Cha kuanzia tukaletewa starter kwanza, ambayo ulikuwa ni mlo kamili. Nilikula starter nikatosha na sikuimaliza.Wakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Kwanza wapi nimesema hao wazungu ni wamarekani?Wazungu wako 2 hao uliokutana nao ndio uje kututolea mfano hapa?
40% ya wamarekani ni overweight na obese kutokana na kula hovyo na ulaji usiopangiliwa na inakadiriwa kufikia 2030 60% ya wamarekani watakua overweight kutokana na kula hovyo wewe unasema wazungu hawali sana? Kwa hiyo overweight wameitoa mbinguni?
Ukiangalia mataifa na watu walionenepeana hovyo Duniani utakuja kutuweka sisi waafrika na kula yetu ya hovyo unayoisema?
Shuleni mnasoma nini siku hizi? Yaani sample size ya watu 2 tayari ushafanya conclusion? Aisee.
Umeandika ila ka hujatoa point, hakuna kanunu ya lazima ule milo kumi ama mitatu ama mitano,Wazungu wanakula kiafya na kufuata taratbu za ulaji tofauti na waafarica
Utakuta mtu ana umri wa miaka 50,60,70 anakula milo 3 kwa siku sawasawa na Mtu wa umri wa miak 10,20
Mmeng’enyo wa chakula unapungua umri unapozidi kwenda na mwili wako lazima kuendana na mabadiliko ya chakula.
Kuna umri wa kula milo 3,2 na 1 kwa Siku ukiendana na kula matunda
Umenena vyema mkuu. mtu anashindwa kuona tofauti kati ya mtu anaekula milo mingi kwa siku mfano milo mitano mpaka sita na yule wa mlo mmoja mpaka mitatu per day, mtu mwenye milo michache akila anakula kushiba maana anakuwa na masaa mengi pasipo kula tenaKuna vitu vinasababisha mwili wa mtu mmoja ku consume energy nying zaid ya mwingn mfano muscular composition, weather na mengine. Lakn pia mtu mwingn anakula mlo mmoja kwa siku mwingne milo 4 adi 5 sasa ukikaa na hawa utaona ulaji tofauti
fact mkuuMzungu anakula sana ila kwa awamu😅 ukijumlisha anachokula toka asubuhi mpaka jioni unaweza kujaza sinia😅
Aise bora umelisemea hili, kukaa na wazungu wawili wenye tabia fulani, basi ishakua tabaia ya wazungu wote.Wazungu wako 2 hao uliokutana nao ndio uje kututolea mfano hapa?
40% ya wamarekani ni overweight na obese kutokana na kula hovyo na ulaji usiopangiliwa na inakadiriwa kufikia 2030 60% ya wamarekani watakua overweight kutokana na kula hovyo wewe unasema wazungu hawali sana? Kwa hiyo overweight wameitoa mbinguni?
Ukiangalia mataifa na watu walionenepeana hovyo Duniani utakuja kutuweka sisi waafrika na kula yetu ya hovyo unayoisema?
Shuleni mnasoma nini siku hizi? Yaani sample size ya watu 2 tayari ushafanya conclusion? Aisee.